Habari, Michezo, Siasa, Elimu, Muziki na Matangazo
What's New Here?
An entrance area to Kilimahewa
THE BEAUTIFULNESS OF KILIMAHEWA(MZUMBE-MOROGORO)
CAPTAIN'S CONDUCT BLUSTED DRIVERS FIND MORE DEAD
"...a formal, approved document used to guide both project execution and project control. The primary uses of the project plan are to document planning assumptions and decisions, facilitate communication among stakeholders, and document approved scope, cost, and schedule baselines. A project plan may be summarized or detailed." See more...
Characteristics of Project Plans
- Scope
- defines what will be covered in a project.
- Resource
- what can be used to meet the scope.
- Time
- what tasks are to be undertaken and when.
- Quality
- the spread or deviation allowed from a desired standard.
- Risk
- defines in advance what may happen to drive the plan off course, and what will be done to recover the situation.
A PROJECT PLAN
"...a formal, approved document used to guide both project execution and project control. The primary uses of the project plan are to document planning assumptions and decisions, facilitate communication among stakeholders, and document approved scope, cost, and schedule baselines. A project plan may be summarized or detailed." See more...
Characteristics of Project Plans
- Scope
- defines what will be covered in a project.
- Resource
- what can be used to meet the scope.
- Time
- what tasks are to be undertaken and when.
- Quality
- the spread or deviation allowed from a desired standard.
- Risk
- defines in advance what may happen to drive the plan off course, and what will be done to recover the situation.
Baada ya ma celebrity hao wawili kujipatia mtoto na kumpa jina la "Ivy Blue" sasa jina hilo limekuwa Topic kila sehemu hasa kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter.
Ambapo watu wengine wamelitamfsiri jina 'Ivy" linamaanisha namba 4 kwa kirumi ambapo inasemekana labda ni kwasababu Jay Z na Beyonce wote walizaliwa siku ya tarehe 4 na wakaoona siku ya terehe 4 december na wengine walidai kwamba labda ni muendelezo wa Album zake mtu mzima Jigga wa Blu print 1,2 & 3...
Na huku maana ya neno "Blue" likijulikana kuwa ni rangi ambayo Jay Z anaipenda tangu akiwa na umri mdogo.....not only that, wengine wakaja na tafsiri yao na Ki Free Mason na kudai kuwa jina la mtoto huyo wa Beyonce & Jay Z lina maana hiii...
•Ivy = Illuminati's Very Youngest
•Blue = Born Living Under Evil
na haya maneno ukiyageuza nyuma kwenda mbele inakua (Elub Yvi) ambapo kwa Lugha ya ki Latin inamaanisha ni Mtoto wa Shetani.
Je kuna ukweli wowote juu ya uvumi huo?
JINA LAZUA UTATA....!
Baada ya ma celebrity hao wawili kujipatia mtoto na kumpa jina la "Ivy Blue" sasa jina hilo limekuwa Topic kila sehemu hasa kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter.
Ambapo watu wengine wamelitamfsiri jina 'Ivy" linamaanisha namba 4 kwa kirumi ambapo inasemekana labda ni kwasababu Jay Z na Beyonce wote walizaliwa siku ya tarehe 4 na wakaoona siku ya terehe 4 december na wengine walidai kwamba labda ni muendelezo wa Album zake mtu mzima Jigga wa Blu print 1,2 & 3...
Na huku maana ya neno "Blue" likijulikana kuwa ni rangi ambayo Jay Z anaipenda tangu akiwa na umri mdogo.....not only that, wengine wakaja na tafsiri yao na Ki Free Mason na kudai kuwa jina la mtoto huyo wa Beyonce & Jay Z lina maana hiii...
•Ivy = Illuminati's Very Youngest
•Blue = Born Living Under Evil
na haya maneno ukiyageuza nyuma kwenda mbele inakua (Elub Yvi) ambapo kwa Lugha ya ki Latin inamaanisha ni Mtoto wa Shetani.
Je kuna ukweli wowote juu ya uvumi huo?
The year was totally bad as most of the things happened seems hurting. This is ents cause great prothe list of some events that cause great loss of Tanzanians life. Not only that these events lead to great properties loss.
Kabla watanzania hawajasahau machungu ya milipuko ya mabomu ya Mbagala ikafuatia milipuko mingine mikubwa ya mabomu huko GongolaMboto, ambapo zaidi ya watanzania wenzetu 25 walipoteza uhai,512 walijeruhiwa na kusababisha idadi ya nyumba 5511 kuharibiwa kuharibiwa. Cha kusikitisha zaidi ni less consideration ya viongozi katika suala hilo, kwa mfano ucheleweshwaji wa misaada na fidia kwa waathirika wa janga hilo.
Ilishakuwa historia kwa watanzania kusikia ajali za vyombo vya majini, lakini haikuwa hivyo tena kwa mwaka huu mnamo tarehe 10/09/2012 ambapo watanzania 619 waliponea chupuchupu kupoteza maisha na wengine 203 kupoteza maisha kutokana na ajali mbaya ya meli ya MV ICELANDERS iliyozama na kusabisha hilo pamoja na hasara isiyofahamika(Unknown cost).
Ikawa kama enzi za NUHU na safina mvua kali ajabu abayo inasemekana haijawahi kutokea katika jiji la DSM kusababisha vifo vya watu wanaosemekana kufrikia idadi ya watu 40na kusababisha wengine wengi yapata 5029 kukosa makazi na kupoteza mali zao.
Yote tisa kumi Serikali tawala imeshindwa kutoa misaada ya kueleweka kwa waanga wa janga hilo. Tatizo ni kutokuwa na serikali ambayotutafika haiko makini.Je tutafika kwa staili hiyo? Undugulization umetawala mno katika serikali ya Tanzania.
UMASKINI , uJINGA NA MARADHI HAVIWEZI ISHA TANZANIA HII WITHOUT CHANGING OUR ATTITUDES(HAVING POSITIVE ATTITUDE).IT PAINS!! THE WAY THE YEAR 2011 ENDED!
The year was totally bad as most of the things happened seems hurting. This is ents cause great prothe list of some events that cause great loss of Tanzanians life. Not only that these events lead to great properties loss.
Kabla watanzania hawajasahau machungu ya milipuko ya mabomu ya Mbagala ikafuatia milipuko mingine mikubwa ya mabomu huko GongolaMboto, ambapo zaidi ya watanzania wenzetu 25 walipoteza uhai,512 walijeruhiwa na kusababisha idadi ya nyumba 5511 kuharibiwa kuharibiwa. Cha kusikitisha zaidi ni less consideration ya viongozi katika suala hilo, kwa mfano ucheleweshwaji wa misaada na fidia kwa waathirika wa janga hilo.
Ilishakuwa historia kwa watanzania kusikia ajali za vyombo vya majini, lakini haikuwa hivyo tena kwa mwaka huu mnamo tarehe 10/09/2012 ambapo watanzania 619 waliponea chupuchupu kupoteza maisha na wengine 203 kupoteza maisha kutokana na ajali mbaya ya meli ya MV ICELANDERS iliyozama na kusabisha hilo pamoja na hasara isiyofahamika(Unknown cost).
Ikawa kama enzi za NUHU na safina mvua kali ajabu abayo inasemekana haijawahi kutokea katika jiji la DSM kusababisha vifo vya watu wanaosemekana kufrikia idadi ya watu 40na kusababisha wengine wengi yapata 5029 kukosa makazi na kupoteza mali zao.
Yote tisa kumi Serikali tawala imeshindwa kutoa misaada ya kueleweka kwa waanga wa janga hilo. Tatizo ni kutokuwa na serikali ambayotutafika haiko makini.Je tutafika kwa staili hiyo? Undugulization umetawala mno katika serikali ya Tanzania.
UMASKINI , uJINGA NA MARADHI HAVIWEZI ISHA TANZANIA HII WITHOUT CHANGING OUR ATTITUDES(HAVING POSITIVE ATTITUDE).Like, share and send to friends
KARIBU
Popular Posts
-
KUWENI NA SUBIRA WADAU WETU TCU WAMEIONDOA ILE SELECTION STATUS FUATA HATUA HIZI ILI KUWEZA KUONA CHUO ULICHOCHAGULIWA Ingia kwenye website...
-
KUPATA MATOKEO YA DARASA LA SABA MWAKA 2015 BOFYA HAPA... (2015 RESULTS CLICK HERE) NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2013 E...
-
CHUO CHA UHASIBU ARUSHA CHATANGAZA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA CHUO HICHO KATIKA FANI MBALIMBALI KWA MWAKA WA MASOMO 2012/2013 The...
-
Kupata matokeo ya kidato cha nne 2013 BOFYA HAPA Kupata matokeo ya QT 2013 BOFYA HAPA MATOKEO CSEE 2013 ...
-
S4567 SACRED HEART S4568 ROYAL S4569 ST MARIE EUGENIE S4570 MAGUNGU S4571 KIJUNGU S4572 IPWAGA S4573 UWANJA WA TAIFA S4574 ITONA S4575 MESSA...
-
MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2015 BOFYA HAPA Kupata matokeo hayo bofya hapo chini MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2013 (NATIONAL FORM FOUR RESUL...
-
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI MWAKA WA MASOMO 2012/2013 MAELEK...
-
Bofya hapa kuangalia matokeo ya darasa la saba Waweza pia kuchagua mkoa unaotaka kwa kubofya kwenye mkoa husika ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA ...
-
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa, anawatangazia vijana wenye sifa za kujiunga na mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa kwa kujitolea kwa mwaka 2...
-
The following candidates have been selected to join LGTI for the academic year 2013/2014 which starts on Saturday, the 24th of ...