MAJINA YA WANAFUNZI AMBAO HAWAJACHAGULIWA KUJIUNGA NA VYUO VIKUU MWAKA WA MASOMO 2013/2014

on Thursday, August 8, 2013 - No comments:




Call for Second Round  to Applicants who have Not been Selected during First round Application 
Wanafunzi hao walio omba kujiunga na masomo ya chuo mwaka wa masomo 2013/2014 wanatakiwa kuomba tena vyuo kupitia mfumo walio utumia mara ya kwanza kwa mtandao CAS TCU .
Kukosa kwao nafasi za kujiunga na chuo zimesababishwa na sababu mbalimbali zikiwemo
  1. Kukosa sifa za kujiunga katika kozi husika
  2. Ushindani mkubwa uliopo katika kozi husika
  3. Kushindwa kutuma maombi katika fani mbalimbali
Wahusika hao inabidi waombekupitia mfumo wa kawaida wa kuombea vyuo ndani ya siku 19 kuanzia tarehe 29 Julai 2013 hadi tarehe 9 Agosti 2013

Tagged as:
Unknown About Unknown

“You have no idea how much the last few days have meant to me," I began. "Meeting you has been the best thing that's ever happened to me.” Get the latest entertainment updates from Best Hope Media or call +255 655 987 588

Get Updates

Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.

Share This Post

Related posts

0 comments:

Like, share and send to friends