IZZO BUSINESS, MBEYA BOY, KUFANYA SHOO YA PASAKA MBEYA, HICHI NDICHO ALICHOKIPOST KUHUSIANA NA SHOW HIYO

on Tuesday, April 15, 2014 - No comments:

Mkali Izzo busines anayefanya vyema katika mziki wa Bongofleva aaamua kula sikukuu yake ya pasaka na watu wake wa Green city. Mkali huyo ambaye kwa sasa anatamba na ngoma yake ya Tumoghele na brand ya T-shirrts za TUMOGHELE 255 ambazo zimekamata sana soko la bongo ameachia habari hiyo katika ukurasa wake wa facebook. Sow hiyo itabamba pande za Club Maisha siku ya tarehe 20 mwez wa nne jumapili ya pasaka kwa uchakavu wa 7000 tu kabla ya show na mlangoni basi mtonyo unaongezeka na kuwa kitu kizima, 10000. 
MBEYA CITY.....JUMAPILI HII YA PASAKA TAREHE  20/04/2014....NITAKUWEPO PALE NEW MAISHA CLUB....HOME SWEET HOME EASTER  SEASON....KARIBUNI TUFURAHI PAMOJA !!! #bless

SI SHOO YA KUKOSA UONE WAKUKAYA 

WANAVYOFANYA YAO

Tagged as:
Unknown About Unknown

“You have no idea how much the last few days have meant to me," I began. "Meeting you has been the best thing that's ever happened to me.” Get the latest entertainment updates from Best Hope Media or call +255 655 987 588

Get Updates

Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.

Share This Post

Related posts

0 comments:

Like, share and send to friends