MAWASILIANO KATI YA JIJI LA DAR ES SALAAM NA MIKOA YOTE YA TANZANIA YAKATIKA KUTOKANA NA KUJAA KWA MAJI KATIKA DARAJA LA MTO RUVU

on Sunday, April 13, 2014 - No comments:

Hili ni eneo la Ruvu darajani likiwa limefurika maji hadi kwenye kingo za mto
Kutokana na mvua kali zinazoendelea kunyesa mkoani DSM na mikuoani kumekuwa na madhara makubwa sana hassa kwa upande wa miundombinu ya barabara. Mvua hizo zimesababisha kufungwa kwa barabara nyingi sana hapa mjini kutokana na maji kujaa na kukatisha juu ya madaraja. Siku ya jana haikuwa nzuri kwa upande wa Bagamoyo kutokana na kuvunjika kwa kuta za daraja linalounganisha mji huo na jiji la DSM, lakini leo imekuwa ni siku mbaya zaidi kwani jiji la DSM litakosa mawasiliano na mikoa yote na nchi za jirani zinazotegemea usafiri huo kutokana na kuzuiwa kwa magari kuvuka daraja hilo ili kuepusha maafa ambayao yanaweza kutokea.
Kwa taarifa tuliyonayo hakuna gari linaloruhusiwa kupita na kuna msongamano mkubwa sana wa magari na wato katika eneo hilo
Mwanaharakati Mzalendo Media inawapa Pole sana watanzania kwa hali mbaya na adha mnazozipata kutokana na mafuriko haya.

Tagged as:
Unknown About Unknown

“You have no idea how much the last few days have meant to me," I began. "Meeting you has been the best thing that's ever happened to me.” Get the latest entertainment updates from Best Hope Media or call +255 655 987 588

Get Updates

Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.

Share This Post

Related posts

0 comments:

Like, share and send to friends