What's New Here?



Bracket - Alive Ft. Diamond & Tiwa Savage (Official video)



“Mwana” is Alikiba’s most anticipated music video to date. ‘Mwana’ is Alikiba's 1st official release through his worldwide partnership with his record label and management company ROCKSTAR4000 and Rockstar Publishing. The Music Video ‘Mwana’ is the first single from Alikiba’s 3rd Album, released after a 3-year hiatus from the music scene. Alikiba describes this album as his “most personal and mature project that pushed his versatile talentand creativity to inner depths.”

Fans can also follow Alikiba on any of his social media and official digital networks:


FOLLOW ALIKIBA:

Official Website: www.IamAlikiba.com
Facebook: www.facebook.com/rockstar.alikiba
Twitter: @OfficialAlikiba ortwitter.com/officialalikiba
Instagram: @OfficialAlikiba orinstagram.com/officialalikiba

Alikiba - Mwana (Official Music Video)

“Mwana” is Alikiba’s most anticipated music video to date. ‘Mwana’ is Alikiba's 1st official release through his worldwide partnership with his record label and management company ROCKSTAR4000 and Rockstar Publishing. The Music Video ‘Mwana’ is the first single from Alikiba’s 3rd Album, released after a 3-year hiatus from the music scene. Alikiba describes this album as his “most personal and mature project that pushed his versatile talentand creativity to inner depths.”

Fans can also follow Alikiba on any of his social media and official digital networks:


FOLLOW ALIKIBA:

Official Website: www.IamAlikiba.com
Facebook: www.facebook.com/rockstar.alikiba
Twitter: @OfficialAlikiba ortwitter.com/officialalikiba
Instagram: @OfficialAlikiba orinstagram.com/officialalikiba
DJ Mzoefu na Blogger DJ Choka leo amefunguka baada ya kusikiliza mkwaju mpya wa Izzo Bizness  Mr Xmass na Kuguswa na moja ya line ya track hiyo.

NAOMBA KUZUNGUMZA HIKI.

"Nimesikiliza wimbo mpya wa @izzo_biznesss zaidi ya mara kumi na kuna #LINE nyingi kaziimba lakini mstari huu ndio umenigusa. "TUMEPANDA GARI MOJA TUMELIPWA TOFAUTI"
Hii line imenigusa KINOMA kwasababu ninauzoefu wakuwa kwenye TOUR BUS muda mrefu sana nikiwa na wasanii wakubwa wa hapa nyumbani na nimeshasafiri TOUR zote kubwa hapa TANZANIA.

Kuna tour nyingine wasanii wanalipwa kwa kumwangalia msanii, utasikia ananyimbo ngapi Huyu basi alipwe hivi, utakuta msanii mkubwa hapa bongo anawekwa kwenye show moja na hawa wasanii wadogo ambao husema wamepewa hela nyingi kwasababu anahit song kwa wakati huo.

Chaajabu msanii aliyepewa hela nyingi anaenda kuboronga lakini anayelipwa hela ndogo bora mradi liende yeye ndio anaenda kuwarusha mashabiki KINOMA NOMA. Kinachokuja kuendelea msanii mdogo analeta dharau na kuanza kusema hawa wakongwe wameshachuja. Kinachowafanya wawe vile ni kwasababu nyie waandaaji mnawaweka KIMATABAKA, Wasanii fulani walale HOTEL ile na hawa walale hotel ile pale, unadhani kutakuwa na nini hapo.

Wasanii wa BONGO wangekuwa wanalipwa sawa kwenye show zao za TOUR ingeleta maana sana halafu hili neno ya kwamba mimi nalipwa zaidi kuliko msanii mwingine iwe kwenye zile show zao moja moja wanazopiga mikoani au kwenye vimeo vyao vingine vyakutafutia UGALI.

#NIMEMALIZA" Alisema DJ Choka.

WIMBO WA IZZO BUSINESS X-MASS WAMKUNA DJ CHOKA - MR. APETITE

DJ Mzoefu na Blogger DJ Choka leo amefunguka baada ya kusikiliza mkwaju mpya wa Izzo Bizness  Mr Xmass na Kuguswa na moja ya line ya track hiyo.

NAOMBA KUZUNGUMZA HIKI.

"Nimesikiliza wimbo mpya wa @izzo_biznesss zaidi ya mara kumi na kuna #LINE nyingi kaziimba lakini mstari huu ndio umenigusa. "TUMEPANDA GARI MOJA TUMELIPWA TOFAUTI"
Hii line imenigusa KINOMA kwasababu ninauzoefu wakuwa kwenye TOUR BUS muda mrefu sana nikiwa na wasanii wakubwa wa hapa nyumbani na nimeshasafiri TOUR zote kubwa hapa TANZANIA.

Kuna tour nyingine wasanii wanalipwa kwa kumwangalia msanii, utasikia ananyimbo ngapi Huyu basi alipwe hivi, utakuta msanii mkubwa hapa bongo anawekwa kwenye show moja na hawa wasanii wadogo ambao husema wamepewa hela nyingi kwasababu anahit song kwa wakati huo.

Chaajabu msanii aliyepewa hela nyingi anaenda kuboronga lakini anayelipwa hela ndogo bora mradi liende yeye ndio anaenda kuwarusha mashabiki KINOMA NOMA. Kinachokuja kuendelea msanii mdogo analeta dharau na kuanza kusema hawa wakongwe wameshachuja. Kinachowafanya wawe vile ni kwasababu nyie waandaaji mnawaweka KIMATABAKA, Wasanii fulani walale HOTEL ile na hawa walale hotel ile pale, unadhani kutakuwa na nini hapo.

Wasanii wa BONGO wangekuwa wanalipwa sawa kwenye show zao za TOUR ingeleta maana sana halafu hili neno ya kwamba mimi nalipwa zaidi kuliko msanii mwingine iwe kwenye zile show zao moja moja wanazopiga mikoani au kwenye vimeo vyao vingine vyakutafutia UGALI.

#NIMEMALIZA" Alisema DJ Choka.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , Prof. Anna Tibaijuka amegoma kujiuzulu kwakuwa haoni sababu ya kufanya hivyo

Akiendelea kuzungumza na waandishi muda huu anasema watu wanaona kujiuzulu ni 'fashion' ila yeye hayuko katika 'fashion' hiyo

Tibaijuka: Nikijiuzulu hata Rais atanishangaa maana katika yale mapendekezo ya Bunge hakuna sehemu iliyonitaka kujiuzulu. 

Tibaijuka: Lengo la kuzungumza na Waandishi wa habari ni kuzungumza yale niliyokosa nafasi ya kujitetea wakati wa sakata la #TegetaEscrow
Source: Jestina George

UTATA SAKATA LA AKAUNTI YA TEGETA ESCROW, WAZIRI TIBAIJUKA AGOMA KUJIUZULU

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , Prof. Anna Tibaijuka amegoma kujiuzulu kwakuwa haoni sababu ya kufanya hivyo

Akiendelea kuzungumza na waandishi muda huu anasema watu wanaona kujiuzulu ni 'fashion' ila yeye hayuko katika 'fashion' hiyo

Tibaijuka: Nikijiuzulu hata Rais atanishangaa maana katika yale mapendekezo ya Bunge hakuna sehemu iliyonitaka kujiuzulu. 

Tibaijuka: Lengo la kuzungumza na Waandishi wa habari ni kuzungumza yale niliyokosa nafasi ya kujitetea wakati wa sakata la #TegetaEscrow
Source: Jestina George

Utaratibu wa kutunuku matokeo ya mtihani wa kidato cha nne na cha sita kwa kutumia mfumo wa GPA

UTARATIBU WA KUTUNUKU MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE NA CHA SITA KWA KUTUMIA MFUMO WA GPA

Utaratibu wa kutunuku matokeo ya mtihani wa kidato cha nne na cha sita kwa kutumia mfumo wa GPA

Katibu Mtendaji Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) anatangaza nafasi za mafunzo ya Ualimu yatakayoanzaJanuari 2015 kama ifuatavyo:
KUNDI LA I
Waombaji wenye sifa za kujiunga na mafunzo ya ualimu ambao waliwasilisha maombi yao Wizarani awamu ya pili kwa ajili ya kuchaguliwa kujiunga na mafunzo mwaka wa masomo 2014/15. Waombaji hawa wamechaguliwa na kupangiwa vyuo kulingana na Programu za mafunzo (Angalia orodha iliyoambatanishwa). Waliochaguliwa wanatakiwa kufanya maandalizi ya kujiunga na vyuo walivyopangiwa kwa kuzingatia maelekezo ya fomu zilizoambatishwa za kujiunga na chuo husika. Tarehe rasmi ya kuripoti vyuoni itatolewa mapema Januari 2015.

KUNDI LA II
Kukaribisha maombi ya kujiunga na mafunzo ya ualimu mwaka wa masomo 2014/15 katika programu zifuatazo:
1.     Stashahada ya Kawaida ya Elimu ya Awali na Stashahada ya Kawaida ya Elimu ya Msingi – Sayansi (Tarajali) (Miaka 3)
Wanaotakiwa kuomba mafunzo haya ni:
a)     Wahitimu wa kidato cha IV 2013 ambao hawakupata nafasi za kujiunga na kidato cha V katika shule za sekondari za Serikali mwaka wa masomo 2014/15. Orodha ya wahitimu husika imeambatishwa na tangazo hili (Angalia orodha iliyoambatanishwa).
b)      Waombaji wengine wenye ufaulu usiopungua Daraja la III katika mtihani wa Kidato cha IV uliofanyika kwenye kikao kimoja (single sitting) kati ya mwaka 2004 na 2013.

Mafunzo yatatolewa katika vyuo vifuatavyo:
a)    Stashahada ya Kawaida ya Elimu ya Awali
IlongaMhondaMtwara (K)Mtwara (U)SumbawangaKinampandaTarimeKatokeTandala, na Tabora.
b)   Stashahada ya Kawaida ya Elimu ya Msingi – Sayansi (Tarajali)
TukuyuKasuluSongeaKorogweButimbaMpwapwaMorogoro, na Kleruu.
 2.     Stashahada ya Kawaida ya Elimu ya Msingi -Walimu kazini (Miaka 2)
Wanaotakiwa kuomba mafunzo haya ni: Walimu Kazini shule za msingi (In-Service) ngazi ya Cheti Daraja ‘A’ wenye uzoefu wa kazi usiopungua miaka 2 na  walio katika mpango wa mafunzo kwa mwaka wa masomo 2014/15 katika Halmashauri zao.

Mafunzo yatatolewa katika vyuo vya Bustani na Marangu.

Waombaji wenye sifa watume maombi yao kwa njia ya “Online” kwa kujaza fomu zinazopatikana kwenye Tovuti ya NACTE: www.nacte.go.tz.

Mwisho wa kutuma maombi ni terehe 31 Desemba 2014. Orodha za waombaji watakaochaguliwa kujiunga na Mafunzo haya na tarehe rasmi ya kuripoti vyuoni itatolewa mapema Januari 2015.


Imetolewa na:
KATIBU MTENDAJI
BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI (NACTE)
DESEMBA 2014

TANGAZO LA NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA STASHAHADA NA CHETI

Katibu Mtendaji Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) anatangaza nafasi za mafunzo ya Ualimu yatakayoanzaJanuari 2015 kama ifuatavyo:
KUNDI LA I
Waombaji wenye sifa za kujiunga na mafunzo ya ualimu ambao waliwasilisha maombi yao Wizarani awamu ya pili kwa ajili ya kuchaguliwa kujiunga na mafunzo mwaka wa masomo 2014/15. Waombaji hawa wamechaguliwa na kupangiwa vyuo kulingana na Programu za mafunzo (Angalia orodha iliyoambatanishwa). Waliochaguliwa wanatakiwa kufanya maandalizi ya kujiunga na vyuo walivyopangiwa kwa kuzingatia maelekezo ya fomu zilizoambatishwa za kujiunga na chuo husika. Tarehe rasmi ya kuripoti vyuoni itatolewa mapema Januari 2015.

KUNDI LA II
Kukaribisha maombi ya kujiunga na mafunzo ya ualimu mwaka wa masomo 2014/15 katika programu zifuatazo:
1.     Stashahada ya Kawaida ya Elimu ya Awali na Stashahada ya Kawaida ya Elimu ya Msingi – Sayansi (Tarajali) (Miaka 3)
Wanaotakiwa kuomba mafunzo haya ni:
a)     Wahitimu wa kidato cha IV 2013 ambao hawakupata nafasi za kujiunga na kidato cha V katika shule za sekondari za Serikali mwaka wa masomo 2014/15. Orodha ya wahitimu husika imeambatishwa na tangazo hili (Angalia orodha iliyoambatanishwa).
b)      Waombaji wengine wenye ufaulu usiopungua Daraja la III katika mtihani wa Kidato cha IV uliofanyika kwenye kikao kimoja (single sitting) kati ya mwaka 2004 na 2013.

Mafunzo yatatolewa katika vyuo vifuatavyo:
a)    Stashahada ya Kawaida ya Elimu ya Awali
IlongaMhondaMtwara (K)Mtwara (U)SumbawangaKinampandaTarimeKatokeTandala, na Tabora.
b)   Stashahada ya Kawaida ya Elimu ya Msingi – Sayansi (Tarajali)
TukuyuKasuluSongeaKorogweButimbaMpwapwaMorogoro, na Kleruu.
 2.     Stashahada ya Kawaida ya Elimu ya Msingi -Walimu kazini (Miaka 2)
Wanaotakiwa kuomba mafunzo haya ni: Walimu Kazini shule za msingi (In-Service) ngazi ya Cheti Daraja ‘A’ wenye uzoefu wa kazi usiopungua miaka 2 na  walio katika mpango wa mafunzo kwa mwaka wa masomo 2014/15 katika Halmashauri zao.

Mafunzo yatatolewa katika vyuo vya Bustani na Marangu.

Waombaji wenye sifa watume maombi yao kwa njia ya “Online” kwa kujaza fomu zinazopatikana kwenye Tovuti ya NACTE: www.nacte.go.tz.

Mwisho wa kutuma maombi ni terehe 31 Desemba 2014. Orodha za waombaji watakaochaguliwa kujiunga na Mafunzo haya na tarehe rasmi ya kuripoti vyuoni itatolewa mapema Januari 2015.


Imetolewa na:
KATIBU MTENDAJI
BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI (NACTE)
DESEMBA 2014

Like, share and send to friends

Jiunge nasi