Aunt ambaye amekuwa ni mjamzito kwa miezi kadhaa siku ya jana asubuhi alifanikiwa kujifungua salama mtoto wa kike ambaye amemwita jina la Cookie. Aunt amemshukuru Mungu kwa kujifungua kwa njia ya kawaida bila kufanyiwa operation.
Aunt amekuwa kwenye mahusiano na dansa wa Diamond platinumz kwa kipindi sasa ambapo wafanikiwa kupata mtoto wao wa kwanza katika mahusiano yao.
Pia amepewa pongezi kutoka kwa marafiki na ndugu wa karibu wa staa huyo kwa kufikia hatua hiyo akiwemo Diamond na wengine wengi.
0 comments: