MAJINA YA WANAFUNZI WALIOMALIZA KIDATO CHA SITA AMBAO WAMECHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA JKT KWA MUJIBU WA SHERIA MWAKA 2015

on Sunday, May 24, 2015 - No comments:


Kama ilivyo ada nchini kwa wahitimu wote kidato cha sita wanatakiwa kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa 
(JKT) kwa mujibu wa sheria ili kupata mafunzo ya kijeshi.
Leo hii Jeshi la Kujenga Tifa limetangaza na kutoa majina ya wahitimu wote wa kidato cha sita mwaka huu 2015 ambao watatakiwa kuanza kuripoti katika kambi husika za Mafunzo ya kijeshi (JKT), kuanzia mwezi Juni 08 2015 na mafunzo yataanza rasmi Juni 15 2015.Mafunzo hayo yatachukua muda wa miezi 3 hadi hapo mwezi Septemba 15 2015.

Bofya linka hapa chini uweze kusoma majina ya wanafunzi hao na kambi walizopangiwa.

Vikosi Walivyopangiwa Vijana kwa mujibu wa Sheria 2015

Tafadhali bonyeza jina la kikosi kutafuta jina lako
 BULOMBORA -KIGOMA RWAMKOMA - MUSOMA KANEMBWA
   
 MSANGE - TABORA MAKUTOPORA - DODOMA RUVU - PWANI
   
 MGAMBO - TANGA MARAMBA - TANGA MLALE - SONGEA
   
 MAFINGA - IRINGA MTABILA - KIGOMA

TAHADHARI:Unapojaribu kufungua na kushindwa kuyaona majina ya Wanafunzi hao ni kutokana mtandao wa jkt,com kuelemewa na watumiaji (SERVER LIMIT CAPACITY) .Watu wanaotembelea mtandao huo kwa muda huo ni wengi sana unashauriwa kusubiri muda kidogo na kuingia tena.

Tagged as:
Unknown About Unknown

“You have no idea how much the last few days have meant to me," I began. "Meeting you has been the best thing that's ever happened to me.” Get the latest entertainment updates from Best Hope Media or call +255 655 987 588

Get Updates

Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.

Share This Post

Related posts

0 comments:

Like, share and send to friends