NINI TATIZO DULLAH MJUKUU WA AMBUA NA PLANET BONGO KUTOKA EATV

on Friday, May 29, 2015 - No comments:


Siku ya kesho itakua mbaya sana kwa mashabiki wa show pendwa sana na vijana kutoka ting'a nambari wani nchini Tanzania kutokana na taarifa za kufika ukomo kwa show hiyo.
Dullah kupitia E-news aliwashukuru mashabiki wa kipindi hicho kwa kuwa naye kwa muda wa miaka saba tangu alipokabidhiwa mikoba hiyo na mwanadada maarufu Salama Jabir ambaye kwa sasa anaendesha kipindi cha Mkasi ambacho hufanya mahojiano na watu mbalimbali maarufu hapa nchini.
Kupata full stori kuhusiana na kufika ukomo kwa show hiyo usiache kusikiliza East African Radio siku ya kesho ambapo atajumuika na mkongwe wa show hiyo Salama pamoja na Dj Kim kuanzia saa nne hadi sita ili uweze kujua nini sababu ya kufika ukomo kwa show hiyo

Tagged as:
Unknown About Unknown

“You have no idea how much the last few days have meant to me," I began. "Meeting you has been the best thing that's ever happened to me.” Get the latest entertainment updates from Best Hope Media or call +255 655 987 588

Get Updates

Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.

Share This Post

Related posts

0 comments:

Like, share and send to friends