ALBAMU YA KWANZA KUUZWA KWA BEI KUBWA ZAIDI NCHINI TANZANIA, YAKADIRIWA KUFIKIA TSH. 200,000/= AU ZAIDI

on Friday, July 3, 2015 - No comments:

 
Star wa muziki Barnaba, amejinadi kuwa albamu yake mpya itaingia sokoni kwa bei ya dola 100 ama zaidi, pesa ambazo zinakadiriwa kufikia shilingi laki 2 za Tanzania kwa nakala 1.Mkali huyo amekuwa akijiamini kutokana na ubora wa nyimbo, utofauti na uwekezaji mkubwa anaoendelea kuufanya kukamilisha kazi hiyo.Barnaba ameeleza kuwa, baadhi ya rekodi kutoka albam hizo zimekwishapelekwa nchi mbalimbali ikiwepo Afrika Kusini na Ujerumani kwaajili ya 'Mastering', zikitarajiwa kutoka kwa mfumo wa DVD, na vile vile CD za kawaida, kwa bei hiyo ambayo hata hivyo amesisitiza kuwa inaweza kuongezeka zaidi.

Source: EATV

Tagged as:
Unknown About Unknown

“You have no idea how much the last few days have meant to me," I began. "Meeting you has been the best thing that's ever happened to me.” Get the latest entertainment updates from Best Hope Media or call +255 655 987 588

Get Updates

Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.

Share This Post

Related posts

0 comments:

Like, share and send to friends