FID Q KWENYE ORODHA YA MARAPA 20 BORA AFRIKA

on Sunday, July 5, 2015 - No comments:

Akilinganishwa na rapa kutoka South Afrika, Nigeria, Ghana na wengine kibao boa wa Afrika, Fid amesema
"Naamini tutafika namba 1 baada ya kuachia hivi vichupa (video) ambazo zipo kwenye ratiba zinazofata, sote kwa pamoja tuseme Amen."
Je unamkubali Fid Q kama rapa bora Tanzania?
Jiunge na marapper wengine kwenye kipindi cha Rush Hour, Ijumaa saa 19:00usiku kwenye MTV Base (DStv 322).

Tagged as:
Unknown About Unknown

“You have no idea how much the last few days have meant to me," I began. "Meeting you has been the best thing that's ever happened to me.” Get the latest entertainment updates from Best Hope Media or call +255 655 987 588

Get Updates

Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.

Share This Post

Related posts

0 comments:

Like, share and send to friends