YOUNG DEE ATEMBELEA MADUKA YA TIGO NA KUGAWA ZAWADI MBALIMBALI KWA WATEJA NA MASHABIKI ZAKE

on Thursday, February 11, 2016 - No comments:

Msanii wa kizazi kipya Young Dee akikabidhi zawadi ya tisheti kwa mmoja wa wateja wa Tigo wa tawi la  Makumbusho mapema leo alipofanya ziara ya kutembelea maduka matatu ya Tigo ya Makumbusho ,Tegeta na Manzese  na kugawa zawadi na kupiga picha na mashabiki wake kuelekea sikukuu ya wapendanao mwishoni mwa wiki hii .
Msanii wa kizazi kipya Young Dee akifurahi jambo na mmoja wa wateja wa tawi zawadi ya tisheti kwa mmoja wa wateja wa Tigo wa tawi la  Makumbusho mapema leo alipofanya ziara ya kutembelea maduka matatu ya Tigo ya Makumbusho ,Tegeta na Manzese  na kugawa zawadi na kupiga picha na mashabiki wake kuelekea sikukuu ya wapendanao mwishoni mwa wiki hii. 
Msanii wa kizazi kipya Young Dee akifurahi jambo na mmoja wa wateja wa Tigo tawi la Makumbusho baada ya kumkabidhi  zawadi ya tisheti mapema leo alipofanya ziara ya kutembelea maduka matatu ya Tigo ya Makumbusho ,Tegeta na Manzese  na kugawa zawadi na kupiga picha na mashabiki wake kuelekea sikukuu ya wapendanao mwishoni mwa wiki hii .



Wafanyakazi wa  Tigo wa tawi la  Makumbusho wakiwa katika picha ya pamoja na msanii wa kizazi kipya Young Dee akiwa  mapema leo alipofanya ziara ya kutembelea maduka matatu ya Tigo ya Makumbusho ,Tegeta na Manzese  na kugawa zawadi na kupiga picha na mashabiki wake kuelekea sikukuu ya wapendanao mwishoni mwa wiki hii .

Msanii wa kizazi kipya Young Dee akihojiwa na mwandishi Emmanuel Onyango   katika  Tigo wa tawi la  Makumbusho mapema leo alipofanya ziara ya kutembelea maduka matatu ya Tigo ya Makumbusho ,Tegeta na Manzese  na kugawa zawadi na kupiga picha na mashabiki wake kuelekea sikukuu ya wapendanao mwishoni mwa wiki hii 

Msanii wa kizazi kipya Young Dee akitazama simu zinazouzwa katika duka la  Tigo tawi la Tegeta mapema leo alipofanya ziara ya kutembelea maduka matatu ya Tigo ya Makumbusho ,Tegeta na Manzese  na kugawa zawadi na kupiga picha na mashabiki wake kuelekea sikukuu ya wapendanao mwishoni mwa wiki hii 

Wafanyakazi wa Tigo tawi la Tegeta wakiwa katika picha ya pamoja na msanii wa kizazi kipya Young Dee mapema leo alipofanya ziara ya kutembelea maduka matatu ya Tigo ya Makumbusho ,Tegeta na Manzese  na kugawa zawadi na kupiga picha na mashabiki wake kuelekea sikukuu ya wapendanao mwishoni mwa wiki hii .

Msanii wa kizazi kipya Young Dee akitoa zawadi ya tisheti kwa mmoja wa wateja wa tawi la Manzese   simu zinazouzwa katika duka la  Tigo tawi la Tegeta mapema leo alipofanya ziara ya kutembelea maduka matatu ya Tigo ya Makumbusho ,Tegeta na Manzese  na kugawa zawadi na kupiga picha na mashabiki wake kuelekea sikukuu ya wapendanao mwishoni mwa wiki hii 

Msanii wa kizazi kipya Young Dee akikabidhi zawadi ya tisheti kwa  mmoja wa wateja wa tawi la Manzese zawadi ya tisheti mapema leo alipofanya ziara ya kutembelea maduka matatu ya Tigo ya Makumbusho ,Tegeta na Manzese  na kugawa zawadi na kupiga picha na mashabiki wake kuelekea sikukuu ya wapendanao mwishoni mwa wiki hii 

Tagged as:
Unknown About Unknown

“You have no idea how much the last few days have meant to me," I began. "Meeting you has been the best thing that's ever happened to me.” Get the latest entertainment updates from Best Hope Media or call +255 655 987 588

Get Updates

Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.

Share This Post

Related posts

0 comments:

Like, share and send to friends