Wako wapi hawa katika mziki wa Bongo?

on Friday, April 8, 2016 - No comments:

Muziki wenye ladha ya Kitanzania almaarufu BONGO FLAVOUR ulikuwa umeshamiri sana na kujizolea mashabiki wengi wa rika zote hapa nchini Tanzania.
Muziki huu ulikuwa unachagizwa zaidi na makundi mbalimbali yalokuwa yakijipambanua zaidi kijiografia ya maeneo yao.
 
MFANO WA MAKUNDI YA MUZIKI WA BONGO FLAVOUR NI KAMA HAYA
  1. TMK a.k.a Wanaumeee 
  2. EAST COAST TEAM 
  3. HARD BLASTERS CREW 
  4. GANSTERS WITH MATATIZO(GWM)
  5. WATU PORI
  6. USWAHILINI MATOLA
  7. WAGOSI WA KAYA
  8. DAR STAMINA
Kwa kuorodhesha machache tu!

MAKUNDI HAYA YALISAIDIA SANA KUKUZA,KUDUMISHA NA KUENDELEZA MUZIKI WA BONGO FLAVOUR HAPA NCHINI TANZANIA MAKUNDI HAYA LEO YAKO WAPI?
MBONA HAYASIKIKI TENA?

Tagged as:
Unknown About Unknown

“You have no idea how much the last few days have meant to me," I began. "Meeting you has been the best thing that's ever happened to me.” Get the latest entertainment updates from Best Hope Media or call +255 655 987 588

Get Updates

Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.

Share This Post

Related posts

0 comments:

Like, share and send to friends