REAL MADRID MABINGWA UEFA CHAMPIONS LEAGUE 2014 KWA USHINDI WA REAL MADRID 4- 1 ATLÈTICO MADRID

on Saturday, May 24, 2014 - No comments:

Hii ni baadhi ya picha za mwanzo hadi mwisho wa mchezo huu uliotazamwa na mamilioni ya watu dunia nzima. Atletico Madrid walianza kwa kushindo kikubwa kwa kuwapa pigo moja Real Madrid na kuwawanya wachanganyikiwe kabisa uwanjani hapo. Lakini AM wakashindwa kuzitumia nafasi nyingi walizopata na kuwafanya RM kuamka kutoka usingizini na kuwapa kipigo cha mbwa mwizi AM na kuibuka kifua mbele kwa bao 4 kwa 1 na kuwafanya kuwa washindi wa ligi hiyo kubwa zaidi duniani mwaka 2014




Tagged as:
Unknown About Unknown

“You have no idea how much the last few days have meant to me," I began. "Meeting you has been the best thing that's ever happened to me.” Get the latest entertainment updates from Best Hope Media or call +255 655 987 588

Get Updates

Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.

Share This Post

Related posts

0 comments:

Like, share and send to friends