What's New Here?

Showing posts with label Sports. Show all posts
Showing posts with label Sports. Show all posts


Nyota wa zamani wa Liverpool na Cameroon Rigobert Song hatimaye amezinduka baada ya kuzimia kwa siku mbili mfululizo. Daktari wa Hospital ya mjini Yaounde amesema kuwa mlinzi huyo atasafiri kuelekea Ufaransa kuendelea na matibabu zaidi. Song mwenye miaka 40 aliripotiwa kuzimia akiwa nyumbani kwake siku ya jumapili.
 
BBC wameripoti kuwa daktari mkuu wa Yaounde Hospital Central Emergency Centre Louis Joss Bitang A Mafok amesema Song ameondolewa kifaa maalum cha kupumualia na tayari anapumua kawaida. Song anashikilia rekodi ya kucheza michezo 137 kwenye timu yake ya taifa pamoja na kucheza fainali nne za kombe la dunia huku AFCON akiwa amecheza fainali nane.


Nyota wa zamani wa Liverpool na Cameroon Rigobert Song hatimaye azinduka



Nyota wa zamani wa Liverpool na Cameroon Rigobert Song hatimaye amezinduka baada ya kuzimia kwa siku mbili mfululizo. Daktari wa Hospital ya mjini Yaounde amesema kuwa mlinzi huyo atasafiri kuelekea Ufaransa kuendelea na matibabu zaidi. Song mwenye miaka 40 aliripotiwa kuzimia akiwa nyumbani kwake siku ya jumapili.
 
BBC wameripoti kuwa daktari mkuu wa Yaounde Hospital Central Emergency Centre Louis Joss Bitang A Mafok amesema Song ameondolewa kifaa maalum cha kupumualia na tayari anapumua kawaida. Song anashikilia rekodi ya kucheza michezo 137 kwenye timu yake ya taifa pamoja na kucheza fainali nne za kombe la dunia huku AFCON akiwa amecheza fainali nane.


Egyptian club Al Ittihad sack Cameroon international Samuel Nlend after he tests positive for AIDS
Cameroon forward Samuel Nlend
Siku chache baada ya kusaini dili la kuichezea klabu ya Al Ittihad ya nchini Misri, Samuel Nlend (Miaka 21) amejikuta katika wakati mgumu baada ya mkataba wake kusitishwa kutokana na kukutwa na maambukizi ya virusi vya UKIMWI. Habari hizo ziliripotiwa na chombo cha habari kutoka Misri,   KingFut.com kuwa taaria hiyo ilitolewa na msemaji wa klabu hiyo alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari.
Hakuna sheria inayomkataza mtu kujishughulisha na masuala ya soka lakini Nlend hatoweza kupata nafasi ya kufanya kazi katika nchi nyingine kutokana na hali yake ya afya, aliongeza.
Nini maoni na matazamo wako juu ya suala hili? 
Usisite kuacha maoni yako hapa chini na tutayajibu.

Mshambuliaji wa Cameroon asitishiwa mkataba baada ya kupatikana na maambukizi ya ukimwi

Egyptian club Al Ittihad sack Cameroon international Samuel Nlend after he tests positive for AIDS
Cameroon forward Samuel Nlend
Siku chache baada ya kusaini dili la kuichezea klabu ya Al Ittihad ya nchini Misri, Samuel Nlend (Miaka 21) amejikuta katika wakati mgumu baada ya mkataba wake kusitishwa kutokana na kukutwa na maambukizi ya virusi vya UKIMWI. Habari hizo ziliripotiwa na chombo cha habari kutoka Misri,   KingFut.com kuwa taaria hiyo ilitolewa na msemaji wa klabu hiyo alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari.
Hakuna sheria inayomkataza mtu kujishughulisha na masuala ya soka lakini Nlend hatoweza kupata nafasi ya kufanya kazi katika nchi nyingine kutokana na hali yake ya afya, aliongeza.
Nini maoni na matazamo wako juu ya suala hili? 
Usisite kuacha maoni yako hapa chini na tutayajibu.
Kupitia ukurasa wake wa facebook, Eddo Kumwembe aliandika kitu kuhusiana na dili hilo. Hichi ndicho alichokiandika 
"DEAL DONE. Am happy kuwatangazia kuwa nimesaini deal na Supersport kwa ajili ya kuwa Mchambuzi wao katika matangazo ya Ligi Kuu England kwa kiswahili. Nitakuwa naenda Johannesburg kila Ijumaa na kurudi Dar es salaam Jumatatu...Thanks everyone."

Mchambuzi wa soka nchini, Eddo Kumwembe ala shavu nchini Afrika ya kusini

Kupitia ukurasa wake wa facebook, Eddo Kumwembe aliandika kitu kuhusiana na dili hilo. Hichi ndicho alichokiandika 
"DEAL DONE. Am happy kuwatangazia kuwa nimesaini deal na Supersport kwa ajili ya kuwa Mchambuzi wao katika matangazo ya Ligi Kuu England kwa kiswahili. Nitakuwa naenda Johannesburg kila Ijumaa na kurudi Dar es salaam Jumatatu...Thanks everyone."

Faith Chepgetich Kipyegon wa Kenya siku ya Jumanne alishinda mbio za mita 1500 za wanawake na kuipa Kenya medali ya tatu ya dhahabu katika michezo ya Olimpiki ya Rio 2016.
Kipyegon alimtoka bingwa wa dunia Genzebe Dibaba wa Ethiopia katika dakika za mwisho na kumaliza mbio hizo katika muda wa dakika 4, sekunde 08.92 wakati Dibaba alichukua medali ya fedha katika muda wa dakika 4, sekunde 10.27
Jennifer Simpson wa Marekani alichukua medali ya shaba katika nafasi ya tatu kwa muda wa dakika 4, sekundu 10.53
Ushindi wa Kipyegon umeifanya Kenya kupata medali ya dhahabu kila siku kuanzia Jumapili na mpaka sasa ina medali tatu za dhahabu na tatu za fedha na kuongoza bara la Afrika ikifuatiwa na Afrika Kusini yenye medali moja ya dhahabu, nne za fedha na moja ya shaba

Kenya yapeta Afrika, Faith Kipyegon anyakua medali ya dhahabu mita 1500 Rio Olympics


Faith Chepgetich Kipyegon wa Kenya siku ya Jumanne alishinda mbio za mita 1500 za wanawake na kuipa Kenya medali ya tatu ya dhahabu katika michezo ya Olimpiki ya Rio 2016.
Kipyegon alimtoka bingwa wa dunia Genzebe Dibaba wa Ethiopia katika dakika za mwisho na kumaliza mbio hizo katika muda wa dakika 4, sekunde 08.92 wakati Dibaba alichukua medali ya fedha katika muda wa dakika 4, sekunde 10.27
Jennifer Simpson wa Marekani alichukua medali ya shaba katika nafasi ya tatu kwa muda wa dakika 4, sekundu 10.53
Ushindi wa Kipyegon umeifanya Kenya kupata medali ya dhahabu kila siku kuanzia Jumapili na mpaka sasa ina medali tatu za dhahabu na tatu za fedha na kuongoza bara la Afrika ikifuatiwa na Afrika Kusini yenye medali moja ya dhahabu, nne za fedha na moja ya shaba


Mwanariadha wa Kenya mwanadada Jemima Sumgong ameshinda mbio za Marathon na kubeba medali ya dhahabu katika michuano ya Olympic nchini Brazil leo.


Sumgong,31,ameshinda kwa kutumia saa 2 na dk 24:04 na amekuwa ni mwanamke wa kwanza wa Kenya kuchukua medali ya dhahabu ya Olympic katika mbio za Marathon.

Mwanariadha mwanadada wa Kenya abeba medali ya dhahabu katika michuano ya Olympic



Mwanariadha wa Kenya mwanadada Jemima Sumgong ameshinda mbio za Marathon na kubeba medali ya dhahabu katika michuano ya Olympic nchini Brazil leo.


Sumgong,31,ameshinda kwa kutumia saa 2 na dk 24:04 na amekuwa ni mwanamke wa kwanza wa Kenya kuchukua medali ya dhahabu ya Olympic katika mbio za Marathon.
Mchezaji tenesi namba 1 kwa ubora duniani kwa upande wa wanawake Serena Williams amejiondoa katika michuano ya Rogers Cup Itakayofanyika Montreal kwasababu ya kuwa majeruhi. Mwanadada huyu ambaye ametwaa taji hilo mara 2 hajacheza michuano yeyote tangu ashinde taji la Wimbledon na amejiondoa kutokana na tatizo la bega linalomsumbua.

Serena Williams ajitoa kwenye michuano ya Rogers Cup

Mchezaji tenesi namba 1 kwa ubora duniani kwa upande wa wanawake Serena Williams amejiondoa katika michuano ya Rogers Cup Itakayofanyika Montreal kwasababu ya kuwa majeruhi. Mwanadada huyu ambaye ametwaa taji hilo mara 2 hajacheza michuano yeyote tangu ashinde taji la Wimbledon na amejiondoa kutokana na tatizo la bega linalomsumbua.



Mwaka huu umekuwa mzuri kwa timu ya Barca kwa mauzo mazuri ya jezi na kufikia jezi milioni 3,637 huku ikiziacha mbali kabisa Manchester na Real Madrid

Timu tano zinazoongoza kwa mauzo ya jezi duniani 2015/2016



Mwaka huu umekuwa mzuri kwa timu ya Barca kwa mauzo mazuri ya jezi na kufikia jezi milioni 3,637 huku ikiziacha mbali kabisa Manchester na Real Madrid
Mpaka sasa taarifa kutoka Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB), mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kati ya Ndanda na Young Africans umepangwa kufanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam mara baada ya Yanga kuomba hivyo na Ndanda kama timu mwenyeji kuridhia kuuhamisha kutoka Nangwanda Sijaona wa Mtwara.
Kwa nyakati tofauti, mwishoni mwa wiki iliyopita Young Africans ilituma maombi kwa Ndanda kadhalika TPLB kuomba ridhaa ya mchezo huo kufanyika Dar es Salaam kwa kuwa inatarajiwa kusafiri Jumapili alfajili kwenda Angola kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidia ya Sagrada Esperanca ya Angola.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka TPLB, Ndanda imekubali ombi la Young Africans iliyoomba mchezo huo uhamishwe kwa malengo ya kuisaidia Young Africans kuwahi usafiri ndege kwenda Angola ambako wanatarajiwa kucheza na wapinzani wao ama Mei 17 au 18, mwaka huu.
Cloudsfm Radio's photo.

Mechi ya kati ya Yanga na Ndanda kufanyika uwanja wa taifa Dar es salaam.

Mpaka sasa taarifa kutoka Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB), mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kati ya Ndanda na Young Africans umepangwa kufanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam mara baada ya Yanga kuomba hivyo na Ndanda kama timu mwenyeji kuridhia kuuhamisha kutoka Nangwanda Sijaona wa Mtwara.
Kwa nyakati tofauti, mwishoni mwa wiki iliyopita Young Africans ilituma maombi kwa Ndanda kadhalika TPLB kuomba ridhaa ya mchezo huo kufanyika Dar es Salaam kwa kuwa inatarajiwa kusafiri Jumapili alfajili kwenda Angola kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidia ya Sagrada Esperanca ya Angola.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka TPLB, Ndanda imekubali ombi la Young Africans iliyoomba mchezo huo uhamishwe kwa malengo ya kuisaidia Young Africans kuwahi usafiri ndege kwenda Angola ambako wanatarajiwa kucheza na wapinzani wao ama Mei 17 au 18, mwaka huu.
Cloudsfm Radio's photo.
Na;Mwanakalamu
Kwanza napenda nikuombe radhi mpenzi msomaji wa makala hii kumuhusu Tanzania One Juma Kaseja kwa kushindwa kuwa nanyi kwa siku mbili mfululizo.Palikuwa na tatizo la kiufundi hivyo nikashidwa kuwaletea uhondo.Katika sehemu iliyopita tuliishia pale nilipokuwa na Kaseja mdogo kule ziwani tumekaa mchangani,Tuendelee.
Baada ya kukaa pale mchangani tukiangalia mazingira ya pale ufukweni kwa muda huku kila mtu akiwa na lake kichwani mwake , nikapata cha kuongea.
''Hivi kama nataka kuoga nitaenda kuoga wapi wakati pana watu kibao?''
''Hapa wamegawa kwa wavulana na wasichana, unaona wale akina mama? pale wanaoga wanawake na hapa tulipo ni sehemu ya kuoga wanaume , wamegawa hivi hivi ufukwe mzima''Alieleza Kaseja mdogo.
''Sawa , ila mbona hapa kuna wakawake pia?''Niliuliza.
''Hapa pana wasichana pia kwa kuwa wavuvi wanakuja na samaki hivyo huja kununua samaki pia hata kama mtu atataka kuoga anakuwa amevaa bukta''Hapo nikafungua tena akili huku nikijiuliza kama nitaweza kuoga ziwani kwa muda wote nitakao kuwa pale kijini.
''Sawa nimekuelewa Kaseja wangu, kwa hiyo huwa unakuja kufanya mazoezi ya kudaka huku?''
'' Mie nadaka pale uwanjani huku kwenye mchanga watu waoga ndo hujifunzia huku mie najifunzia kwenye jamvi la uwanja wa taifa''Anajigamba  mtoto.
''Kwa hiyo uwanja wenu una kapeti/jamvi kabisa?'' Nauliza kinafiki lakini kabla ya kunijibu anainuka na kukimbilia mahali ambapop wengi wanakimbilia, kumbe wavuvi wamekuja kutoka kuvua watu wnakimbilia mgao naona kundi kubwa la watu wameshika mtumbwi ambao nilihisi ulihitaji watu wanne tuu kuuweka ufukweni.
Baada ya dakika kama kumi hivi Kaseja mdogo anakuja na samaki mkononi na ananishawishi tuelekee nyumbani akanitengenezee samaki wale nile.
Tukiwa njiani Kaseja mdogo ananieleza mambo mengi juu ya watoto wenzake wanaopenda kudaka na wanajiita Kaseja ila anaamini hakuna wa kumfikia yeye ambaye ni mrithi halisi wa Kaseja Tanzania one.
Namtazama usoni kumsoma bila mwenyewe kugundua , anaonekana kuwa makini na alichokuwa anakiongea , aliamini alichokisema ambacho bila shaka yoyote kilitoka moyoni mwake maana alikisema kwa ari kubwa sana.
Moyo wangu ukaumia baada ya kufikiria kama ataingia kwenye kundi la watoto na vijana wengi waliojaribu kuwa kama Kaseja katoka kila mkoa nchini, kila wilaya, kila kata, kila kijiji ama hata mtaa ni mamia ya watoto lakini wanishia kudaka kwenye mabonanza yanayoandaliwa na wanasiasa  karibu na kipindi cha uchaguzi.Ni mamia ya watoto lakini wengi wanaishia kuwa maarufu mitaani mwao umaarufu unaopelekea kupewa ofa za pombe ama wanawake pale wanapofanikiwa kudaka vyema.
Lakini nilimfikiria tena Kaseja Tanzania one anayedakia Mbeya City, ana historia yenye mikasa mingi ambayo kwa mpenda soka halisi lazima umuumize.Kaseja ambaye amewafanya wengi kupenda kudaka, amewafanya wengi kufuatilia soka, Kaseja aliyewafanya hata wasichana ambao soka si kitu wanachokipenda lakini wakajikuta wakipenda soka ili tuu kumtazama, Kasejahalisi ambaye amefanya maelfu ya watu kuishabikia klabu ya Simba , Kaseja aliyewaliza watu wa simba pale alipohamia Yanga lakini alifanikiwa kupewa heshima ya mashabiki hata alipokuwa upande wa pili.Kaseja ambaye hata watoto wasiowahi kumwona wanaliimba jina lake,Kaseja golikipa ambaye anaingia kwenye rekodi za kuwa  katika kundi dogo la wachezaji waliodumu kwenye soka kwenye kipindi kirefu.
Ndiyo Kaseja aliyetemwa na Simba kienyeji licha ya kuitumikia kwa zaidi ya miaka saba, ndiyo ni huyo huyo huyo ambaye leo hii kuna viongozi wa soka wanatamani wapenda soka tumsahau kwa nguvu , tuusahau na mchango wake kwenye soka la Bongo ama Afrika mashariki kwa Ujumla kwa kuwa tuu  hajawai kuleta tunzo ya uchezaji bora Afrika ndiyo ni huyo ambaye leo hii kuna mtoto ambaye anatamani kuwa kama yeye licha ya kutomwona.
Tunafika nyumbani hapo nakutana na taarifa inayonitaka niondoke siku inayofuata kurudi jijini Dar es salaam , taarifa ambayo inamfanya hata Kaseja mdogo asikitike.
Lakini namwahidi kitu ambacho kinamfanya arukeruke kwa furaha.
Ni kitu kani hicho?
TUKUTANE KESHO AMBAPO TUTAMALIZIA SIMULIZI HII YA KASEJA NA KUNZA NYINGINE ITAKAYOMUHUSU AMIS TAMBWE.

Juma Kaseja, tajiri anayekipiga na Mbeya City Fc (Sehemu ya tatu)

Na;Mwanakalamu
Kwanza napenda nikuombe radhi mpenzi msomaji wa makala hii kumuhusu Tanzania One Juma Kaseja kwa kushindwa kuwa nanyi kwa siku mbili mfululizo.Palikuwa na tatizo la kiufundi hivyo nikashidwa kuwaletea uhondo.Katika sehemu iliyopita tuliishia pale nilipokuwa na Kaseja mdogo kule ziwani tumekaa mchangani,Tuendelee.
Baada ya kukaa pale mchangani tukiangalia mazingira ya pale ufukweni kwa muda huku kila mtu akiwa na lake kichwani mwake , nikapata cha kuongea.
''Hivi kama nataka kuoga nitaenda kuoga wapi wakati pana watu kibao?''
''Hapa wamegawa kwa wavulana na wasichana, unaona wale akina mama? pale wanaoga wanawake na hapa tulipo ni sehemu ya kuoga wanaume , wamegawa hivi hivi ufukwe mzima''Alieleza Kaseja mdogo.
''Sawa , ila mbona hapa kuna wakawake pia?''Niliuliza.
''Hapa pana wasichana pia kwa kuwa wavuvi wanakuja na samaki hivyo huja kununua samaki pia hata kama mtu atataka kuoga anakuwa amevaa bukta''Hapo nikafungua tena akili huku nikijiuliza kama nitaweza kuoga ziwani kwa muda wote nitakao kuwa pale kijini.
''Sawa nimekuelewa Kaseja wangu, kwa hiyo huwa unakuja kufanya mazoezi ya kudaka huku?''
'' Mie nadaka pale uwanjani huku kwenye mchanga watu waoga ndo hujifunzia huku mie najifunzia kwenye jamvi la uwanja wa taifa''Anajigamba  mtoto.
''Kwa hiyo uwanja wenu una kapeti/jamvi kabisa?'' Nauliza kinafiki lakini kabla ya kunijibu anainuka na kukimbilia mahali ambapop wengi wanakimbilia, kumbe wavuvi wamekuja kutoka kuvua watu wnakimbilia mgao naona kundi kubwa la watu wameshika mtumbwi ambao nilihisi ulihitaji watu wanne tuu kuuweka ufukweni.
Baada ya dakika kama kumi hivi Kaseja mdogo anakuja na samaki mkononi na ananishawishi tuelekee nyumbani akanitengenezee samaki wale nile.
Tukiwa njiani Kaseja mdogo ananieleza mambo mengi juu ya watoto wenzake wanaopenda kudaka na wanajiita Kaseja ila anaamini hakuna wa kumfikia yeye ambaye ni mrithi halisi wa Kaseja Tanzania one.
Namtazama usoni kumsoma bila mwenyewe kugundua , anaonekana kuwa makini na alichokuwa anakiongea , aliamini alichokisema ambacho bila shaka yoyote kilitoka moyoni mwake maana alikisema kwa ari kubwa sana.
Moyo wangu ukaumia baada ya kufikiria kama ataingia kwenye kundi la watoto na vijana wengi waliojaribu kuwa kama Kaseja katoka kila mkoa nchini, kila wilaya, kila kata, kila kijiji ama hata mtaa ni mamia ya watoto lakini wanishia kudaka kwenye mabonanza yanayoandaliwa na wanasiasa  karibu na kipindi cha uchaguzi.Ni mamia ya watoto lakini wengi wanaishia kuwa maarufu mitaani mwao umaarufu unaopelekea kupewa ofa za pombe ama wanawake pale wanapofanikiwa kudaka vyema.
Lakini nilimfikiria tena Kaseja Tanzania one anayedakia Mbeya City, ana historia yenye mikasa mingi ambayo kwa mpenda soka halisi lazima umuumize.Kaseja ambaye amewafanya wengi kupenda kudaka, amewafanya wengi kufuatilia soka, Kaseja aliyewafanya hata wasichana ambao soka si kitu wanachokipenda lakini wakajikuta wakipenda soka ili tuu kumtazama, Kasejahalisi ambaye amefanya maelfu ya watu kuishabikia klabu ya Simba , Kaseja aliyewaliza watu wa simba pale alipohamia Yanga lakini alifanikiwa kupewa heshima ya mashabiki hata alipokuwa upande wa pili.Kaseja ambaye hata watoto wasiowahi kumwona wanaliimba jina lake,Kaseja golikipa ambaye anaingia kwenye rekodi za kuwa  katika kundi dogo la wachezaji waliodumu kwenye soka kwenye kipindi kirefu.
Ndiyo Kaseja aliyetemwa na Simba kienyeji licha ya kuitumikia kwa zaidi ya miaka saba, ndiyo ni huyo huyo huyo ambaye leo hii kuna viongozi wa soka wanatamani wapenda soka tumsahau kwa nguvu , tuusahau na mchango wake kwenye soka la Bongo ama Afrika mashariki kwa Ujumla kwa kuwa tuu  hajawai kuleta tunzo ya uchezaji bora Afrika ndiyo ni huyo ambaye leo hii kuna mtoto ambaye anatamani kuwa kama yeye licha ya kutomwona.
Tunafika nyumbani hapo nakutana na taarifa inayonitaka niondoke siku inayofuata kurudi jijini Dar es salaam , taarifa ambayo inamfanya hata Kaseja mdogo asikitike.
Lakini namwahidi kitu ambacho kinamfanya arukeruke kwa furaha.
Ni kitu kani hicho?
TUKUTANE KESHO AMBAPO TUTAMALIZIA SIMULIZI HII YA KASEJA NA KUNZA NYINGINE ITAKAYOMUHUSU AMIS TAMBWE.
Kama ni mfuatiliaji mzuri wa mitandao ya soka barani Ulaya huenda utakuwa umekutana na taarifa za kusikitisha kwa taifa la Cameroon, usiku wa May 6 2016 Cameroon na Afrika  kwa ujumla ilipata taarifa za kushtusha, baada ya kupokea taarifa za kifo cha kiungo wa kimataifa wa Cameroon aliyekuwa anaichezea Dinamo Bucuresti Patrick Ekeng.

ryder-matos-y-ekeng-presentacion-8
Ekeng enzi za uhai wake
Ekeng amefariki baada ya kuanguka uwanja dakika ya 70 wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Romania uliokuwa unahusisha klabu yake ya Dinamo Bucuresti  dhidi ya Viitorul, mchezo ambao ulikuwa unarushwa live kwenye TV, tukio la Ekeng kuanguka limetokea wakati akiwa kasimama peke yake bila ya mpira.
mbia
Mbia alipost picha waliyopiga pamoja wakiwa timu ya taifa ya Cameroon
Taarifa za kifo cha Ekeng ambaye zilithibitishwa masaa mawili baada ya kufikishwa hospitali, zinakuja baada ya miaka 13 toka Cameroon impoteze kiungo wake Marc-Vivien Foe kwa stahili kama hiyo, tukio ambalo lilitokea June 26 2003 wakati wa michuano ya Kombe la mabara iliyokuwa inafanyika Ufaransa na mchezo ulikuwa dhidi ya Colombia.
mbiaa
Beki wa Arsenal Bellerin na mshambuliaji wa Man United Anthony Martial ni miongoni mwa mastaa walioguswa na kifo cha Ekeng
Ekeng alizaliwa March 26 1990 na amefariki akiwa na umri wa miaka 26 baada ya kuanguka uwanjani, Ekeng ndio alikuwa kaanza kupata nafasi katika kikosi cha timu ya taifa ya Cameroon ya wakubwa, muda mchache baada ya taarifa za kifo chake kuthibitika, mastaa wa soka walianza kupost na kuonesha huzuni kwa taarifa hizo.

Taarifa kuhusiana na mchezaji kutoka Cameroon Patrick Ekeng aliyepoteza maisha uwanjani

Kama ni mfuatiliaji mzuri wa mitandao ya soka barani Ulaya huenda utakuwa umekutana na taarifa za kusikitisha kwa taifa la Cameroon, usiku wa May 6 2016 Cameroon na Afrika  kwa ujumla ilipata taarifa za kushtusha, baada ya kupokea taarifa za kifo cha kiungo wa kimataifa wa Cameroon aliyekuwa anaichezea Dinamo Bucuresti Patrick Ekeng.

ryder-matos-y-ekeng-presentacion-8
Ekeng enzi za uhai wake
Ekeng amefariki baada ya kuanguka uwanja dakika ya 70 wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Romania uliokuwa unahusisha klabu yake ya Dinamo Bucuresti  dhidi ya Viitorul, mchezo ambao ulikuwa unarushwa live kwenye TV, tukio la Ekeng kuanguka limetokea wakati akiwa kasimama peke yake bila ya mpira.
mbia
Mbia alipost picha waliyopiga pamoja wakiwa timu ya taifa ya Cameroon
Taarifa za kifo cha Ekeng ambaye zilithibitishwa masaa mawili baada ya kufikishwa hospitali, zinakuja baada ya miaka 13 toka Cameroon impoteze kiungo wake Marc-Vivien Foe kwa stahili kama hiyo, tukio ambalo lilitokea June 26 2003 wakati wa michuano ya Kombe la mabara iliyokuwa inafanyika Ufaransa na mchezo ulikuwa dhidi ya Colombia.
mbiaa
Beki wa Arsenal Bellerin na mshambuliaji wa Man United Anthony Martial ni miongoni mwa mastaa walioguswa na kifo cha Ekeng
Ekeng alizaliwa March 26 1990 na amefariki akiwa na umri wa miaka 26 baada ya kuanguka uwanjani, Ekeng ndio alikuwa kaanza kupata nafasi katika kikosi cha timu ya taifa ya Cameroon ya wakubwa, muda mchache baada ya taarifa za kifo chake kuthibitika, mastaa wa soka walianza kupost na kuonesha huzuni kwa taarifa hizo.

Na: Mwanakalamu

Sehemu iliyopita ya simulizi hii tuliishia pale Kaseja mdogo kutoka katika kijiji hichi kilicho kando kando ya ziwa Nyasa upande wa Tanzania aliyekuja na kipande cha gazeti moja la michezo nchini Malawi chenye picha ya Juma Kaseja,tuendelee na simulizi hii ya kusisimua.
Nilimtazama yule mtoto kwa huruma kwani nilihisi  redio ni kitu pekee kilichomfanya akawa na mahaba ya dhati kwa mwanamichezo huyu nguli nchini.Nilimhurumia pale nilipofikiri kama Maji maji itashuka daraja , nafasi yake ya kumwona Juma Kaseja ingekuwa ndogo sana katika maisha yake.Pia nilifikiria kama Juma Kaseja baada ya kumaliza mkataba wake pale Mbeya City ataenda timu gani? 
Atarudi Dar es Salaam? 
Ataongeza Mkataba Mbeya City?
Atakuwa wapi?
Nikamshukuru yule mtoto  kwa kifungua kinywa chake alichonipa na kumuuliza kama ataweza kunipelekea ziwani ili nami nikalishangae tena luile ziwa nililokuwa nimekaa juu yake kwa siku kadhaa nikiwa na hofu kuu.
Akiwa na furaha alikubali kunipeleka, kwa kuwa ilikuwa Jumamosi watoto wengi walikuwa mitaani wakienda na kurudi kutoka ziwani na ndoo kichwani, samaki mkononi.
''Mbona kila anayetoka ziwani anarudi na samaki?''Namuuliza rafiki yangu mpya nikiachana kabisa na mwenyeji wangu ambaye alikuwa shuleni.
''Wamewanunua wengine wanapewa tuu, kama yule pale kapewa''Anaongea akimwonesha mama mmoja aliyekuwa na rundo la samaki wabichi mikononi.
''Umejuaje?''
''Nimejua kwa kuwa samaki wale si wa kununua wale unapewa tuu''
''Kwa hiyo hata sie tutapewa?''
''Ndiyo tukikuta wanatoka kuvua tutapewa na wewe mgeni ndo utajaziwa''
'Ila naona aibu kuomba''Naongea nikimtazama usoni yule rafiki.
''Usijali wakiniona nipo na wewe halafu nikaenda utaona maajabu ya kaseja kufunga magoli''Alijigamba akimalizia na kicheko.
''Kaseja si golikipa atafungaje magoli?''Namuuliza kwa kumtega.
''Aliwafunga Yanga kwa penati kipindi cha marehemu Mafisango siku ile ya tano bila, pia akiwa Yanga aliwahi kufunga magoli mawili kama sikosei pia alitoa pasi ya goli siku ile Okwi alipofunga dhidi ya waarabu kwenye ule usiku wa maajabu tulipotia kitumbua mchanga''Ananikumbusha mengi juu ya umahiri wa Juma Kaseja na kuniacha mdomo wazi.
''Lakini pia alikosa penati kule Sudan''Namkumbusha.
''Nakumbuka achana na kukosa penati yule jamaa anadaka sana penati , kama nifanyavyo mie''Ananikumbusha hilo rafiki yangu huyo.
''Naaam huyo ndiye Juma Kaseja'' Naongea wakati huo tulikuwa tumeshafika ziwani tunaamua kukaa kwenye mchanga ufukweni.
Tukutane kesho katika kisa hiki cha kweli kumuhusu Tanzania one aliyebaki kwenye soka.

Juma Kaseja, tajiri anayekipiga na Mbeya City FC (Sehemu ya Pili)


Na: Mwanakalamu

Sehemu iliyopita ya simulizi hii tuliishia pale Kaseja mdogo kutoka katika kijiji hichi kilicho kando kando ya ziwa Nyasa upande wa Tanzania aliyekuja na kipande cha gazeti moja la michezo nchini Malawi chenye picha ya Juma Kaseja,tuendelee na simulizi hii ya kusisimua.
Nilimtazama yule mtoto kwa huruma kwani nilihisi  redio ni kitu pekee kilichomfanya akawa na mahaba ya dhati kwa mwanamichezo huyu nguli nchini.Nilimhurumia pale nilipofikiri kama Maji maji itashuka daraja , nafasi yake ya kumwona Juma Kaseja ingekuwa ndogo sana katika maisha yake.Pia nilifikiria kama Juma Kaseja baada ya kumaliza mkataba wake pale Mbeya City ataenda timu gani? 
Atarudi Dar es Salaam? 
Ataongeza Mkataba Mbeya City?
Atakuwa wapi?
Nikamshukuru yule mtoto  kwa kifungua kinywa chake alichonipa na kumuuliza kama ataweza kunipelekea ziwani ili nami nikalishangae tena luile ziwa nililokuwa nimekaa juu yake kwa siku kadhaa nikiwa na hofu kuu.
Akiwa na furaha alikubali kunipeleka, kwa kuwa ilikuwa Jumamosi watoto wengi walikuwa mitaani wakienda na kurudi kutoka ziwani na ndoo kichwani, samaki mkononi.
''Mbona kila anayetoka ziwani anarudi na samaki?''Namuuliza rafiki yangu mpya nikiachana kabisa na mwenyeji wangu ambaye alikuwa shuleni.
''Wamewanunua wengine wanapewa tuu, kama yule pale kapewa''Anaongea akimwonesha mama mmoja aliyekuwa na rundo la samaki wabichi mikononi.
''Umejuaje?''
''Nimejua kwa kuwa samaki wale si wa kununua wale unapewa tuu''
''Kwa hiyo hata sie tutapewa?''
''Ndiyo tukikuta wanatoka kuvua tutapewa na wewe mgeni ndo utajaziwa''
'Ila naona aibu kuomba''Naongea nikimtazama usoni yule rafiki.
''Usijali wakiniona nipo na wewe halafu nikaenda utaona maajabu ya kaseja kufunga magoli''Alijigamba akimalizia na kicheko.
''Kaseja si golikipa atafungaje magoli?''Namuuliza kwa kumtega.
''Aliwafunga Yanga kwa penati kipindi cha marehemu Mafisango siku ile ya tano bila, pia akiwa Yanga aliwahi kufunga magoli mawili kama sikosei pia alitoa pasi ya goli siku ile Okwi alipofunga dhidi ya waarabu kwenye ule usiku wa maajabu tulipotia kitumbua mchanga''Ananikumbusha mengi juu ya umahiri wa Juma Kaseja na kuniacha mdomo wazi.
''Lakini pia alikosa penati kule Sudan''Namkumbusha.
''Nakumbuka achana na kukosa penati yule jamaa anadaka sana penati , kama nifanyavyo mie''Ananikumbusha hilo rafiki yangu huyo.
''Naaam huyo ndiye Juma Kaseja'' Naongea wakati huo tulikuwa tumeshafika ziwani tunaamua kukaa kwenye mchanga ufukweni.
Tukutane kesho katika kisa hiki cha kweli kumuhusu Tanzania one aliyebaki kwenye soka.
Katika kijiji kimoja kilicho kusini Magharibi mwa nchi ya Tanzania kikipakana na Nchi ya Malawi  kwa upande wake wa Magharibi na Msumbiji kwa upande wa Kusini , ni mwisho wa safari yangu ndefu iliyoanzia Dar es Salaam , Mbeya Mjini Kyela  hatimaye nikafika kwenye kijiji hiki.Ni safari ichoshayo kwani ni safari yangu ya kwanza ya ziwani ,tofauti na nilivyotoka jijini Dar es salaam hadi Kyela  kutoka Kyela hadi katika kijiji hiki imekuwa ni safari ya roho mkononi sala zote zimeisha njiani maana nimekuwa muoga sana kimeli kidogo ambacho kimekuwa kikizimika karibu kila baada ya Kilomita kumi kilikuwa kikitikiswa hata na kiwimbi kidogo kisicho na nguvu ya kubomoa tuta la viazi.
Jioni hii nimeshuka Melini na kumshukuru Mungu kwa kunifikisha salama nikijiapiza kutosafiri tena majini na kuelekea ziliko nyumba za wenyeji wangu ambaye alionekana kuchoka kunisubiri kwani ni siku ya tatu ananisubiri lakini Meli imechelewa kutokana na hitilafu 'zinazosemwa' kuwa ''zipo juu ya uwezo wao''.Nageuka nyuma mara mbili mbili kulitazama ziwa hili ambalo kwa siku kadhaa nilihisi kama lingekuwa kaburi langu lakini Mungu kaniepusha.Miale ya jua inapiga juu ya maji na kuleta madhari fulani ya tumaini, tumaini la maisha ambayo kuzama kwa jua ni maandalizi ya kuchomoza kwake baada ya saa kumi na mbili.
Naachana na ziwa na machweo yale na kufuata barabara inayoelekea yaliko makazi nikiwa katika kundi la wasafiri wengi ambao kwa safari ile walikuwa si tuu marafiki bali kama ndugu na mmoja wa wasafiri hao alikuwa ameamua kunipeleka hadi kwa mwenyeji wangu.
Nilijivunia Utanzania wangu, tuna sifa ya ukarimu.
Mita chache kutoka ziwani nakutana na uwanda  mkubwa ulio na nyasi  zilizolingana ni kama uwanja uliopandwa nyasi kwa ajili ya michezo.Kuna kundi la vijana ambao wanaendelea na michezo yao,kundi lingine ni la watoto wakiwa na mifugo mbali mbali ikila nyasi ,mbuzi na ng'ombe wanaonekana kuwa na haraka kwani wanakula majani huku watoto kadhaa nyuma yao na bakora wakielekezwa ziwani,nadhani kunywa maji kabla ya kupelekwa zizini.
Kundi lingine lilikuwa ni la watoto waliokuwa wakicheza mpira kwenye kiuwanja kidogo kilichokuwa pembeni tuu mwa ule uwanja wa wakubwa.
Hapo nikamwona mtoto mmoja akiacha kucheza mpira na kumkimbilia mwenyeji niliyekuwa nimetanguzana naye , kumbe ni baba yake.
Baada ya salamu na bashasha za baba na mwana ,mtoto yule ananigeukia na kunisalimu.Tunasalimiana na naanza kumuuliza maswali , mara shule mara ziwani na nikafika alipopapenda, kwenye mpira.
''Unacheza mpira kama nani?''Namuuliza swali ambalo ni kama alisubiri nimuulize.
''Kaseja, Tanzania One''Ananijibu akirukaruka akionekana kunizoea sana hana  habari tena na baba yake.
''Kwa hiyo wewe ni golikipa?''
''Ndiyo nadaka hadi penati kama kaseja'' Anaongea akinionesha kwa kidole nyuma ya fulana yake ya bluu , nakaza jicho sioni chochote.
''Namba moja''Naongea baada  ya kufanikiwa kuiona moja iliyoandika kwa wino wa kalamu yakili bila mpangilio inaonekana aliandika mwenyewe.
''Huioni Juma Kaseja hapo?'' Ananiuliza mtoto akiwa na furaha sana, hapo nayaona pia hayo maandishi.
''Umeshawahi kumwona Kaseja?'' Namuuliza swali ambalo ni kama linamfanya awe mpole akifikiria kitu.
''Ninayo picha yake, wakileta umeme tutakuwa tunamwona Kaseja kwenye TV''Ananieleza na kumhurumia yule mtoto kwani nahisi kama umeme huo utawafikia kabla ya kaseja hajaachana na soka.
''Utamwona tuu mdogo wangu''Namfariji.
''Nitamwona baba alisema Mbeya City wakicheza na Majimaji tutaenda nimwone kaseja''Namtazama baba yake ambaye anaonekana kuumizwa na ahadi ya mwanaye, namhurumia.
Tunafika nyumbani kwa mwenyeji wangu , namsalimu kisha  naagana na Kaseja Mdogo na baba yake''
Naendelea na taratibu nyingine hadi usiku  kisha nalala na mwenyeji wngu ambaye ni binamu yangu anayefundisha huko kwenye shule moja ya msingi.
Asubuhi, naamka kwa kuchelewa saa tano kamili tena naamshwa kwa ajili ya kifungua kinywa, natamani kuoga maana nilikuwa na uchovu sana naingia kwenye bafu ambalo hata buibui wameweka makazi kama halijawahi kutumika.
''Wenyewe tunaoga ziwani''Naambiwa na mwenyeji wangu akinieleza utaratibu wao, unaamka na kwenda ziwani kuswaki  na kuoga.
''Kifungua kinywa kipya kidogo, samaki aliyekwaushwa na chai, pia kuna ndizi zilizopikwa na samaki wabichi''
''Hizo ndizi amekuletea  yule mwenyeji wako wa jana alokuja na baba yake'' 
''Nani kasej....?''Sifanikiwi kumaliza swali langu nasalimiwa na yule mtoto mkononi ana kipande cha gazeti.
Baada ya salamu napewa kipande cha gazeti ambalo bila kuuliza inaonekana alilibandika ukutani na ugali wa mhogo, ni gazeti la malawi  lina picha ya kaseja.
''Huyo ndiye kaseja kaka'' Anaongea yule mtoto akiwa na furaha.
''Naam ni Kaseja...
KESHO JIONI TUNAENDELEA NA KISA HIKI CHA KASEJA

Juma Kaseja, tajiri anayedakia Mbeya City FC (Sehemu ya Kwanza)

Katika kijiji kimoja kilicho kusini Magharibi mwa nchi ya Tanzania kikipakana na Nchi ya Malawi  kwa upande wake wa Magharibi na Msumbiji kwa upande wa Kusini , ni mwisho wa safari yangu ndefu iliyoanzia Dar es Salaam , Mbeya Mjini Kyela  hatimaye nikafika kwenye kijiji hiki.Ni safari ichoshayo kwani ni safari yangu ya kwanza ya ziwani ,tofauti na nilivyotoka jijini Dar es salaam hadi Kyela  kutoka Kyela hadi katika kijiji hiki imekuwa ni safari ya roho mkononi sala zote zimeisha njiani maana nimekuwa muoga sana kimeli kidogo ambacho kimekuwa kikizimika karibu kila baada ya Kilomita kumi kilikuwa kikitikiswa hata na kiwimbi kidogo kisicho na nguvu ya kubomoa tuta la viazi.
Jioni hii nimeshuka Melini na kumshukuru Mungu kwa kunifikisha salama nikijiapiza kutosafiri tena majini na kuelekea ziliko nyumba za wenyeji wangu ambaye alionekana kuchoka kunisubiri kwani ni siku ya tatu ananisubiri lakini Meli imechelewa kutokana na hitilafu 'zinazosemwa' kuwa ''zipo juu ya uwezo wao''.Nageuka nyuma mara mbili mbili kulitazama ziwa hili ambalo kwa siku kadhaa nilihisi kama lingekuwa kaburi langu lakini Mungu kaniepusha.Miale ya jua inapiga juu ya maji na kuleta madhari fulani ya tumaini, tumaini la maisha ambayo kuzama kwa jua ni maandalizi ya kuchomoza kwake baada ya saa kumi na mbili.
Naachana na ziwa na machweo yale na kufuata barabara inayoelekea yaliko makazi nikiwa katika kundi la wasafiri wengi ambao kwa safari ile walikuwa si tuu marafiki bali kama ndugu na mmoja wa wasafiri hao alikuwa ameamua kunipeleka hadi kwa mwenyeji wangu.
Nilijivunia Utanzania wangu, tuna sifa ya ukarimu.
Mita chache kutoka ziwani nakutana na uwanda  mkubwa ulio na nyasi  zilizolingana ni kama uwanja uliopandwa nyasi kwa ajili ya michezo.Kuna kundi la vijana ambao wanaendelea na michezo yao,kundi lingine ni la watoto wakiwa na mifugo mbali mbali ikila nyasi ,mbuzi na ng'ombe wanaonekana kuwa na haraka kwani wanakula majani huku watoto kadhaa nyuma yao na bakora wakielekezwa ziwani,nadhani kunywa maji kabla ya kupelekwa zizini.
Kundi lingine lilikuwa ni la watoto waliokuwa wakicheza mpira kwenye kiuwanja kidogo kilichokuwa pembeni tuu mwa ule uwanja wa wakubwa.
Hapo nikamwona mtoto mmoja akiacha kucheza mpira na kumkimbilia mwenyeji niliyekuwa nimetanguzana naye , kumbe ni baba yake.
Baada ya salamu na bashasha za baba na mwana ,mtoto yule ananigeukia na kunisalimu.Tunasalimiana na naanza kumuuliza maswali , mara shule mara ziwani na nikafika alipopapenda, kwenye mpira.
''Unacheza mpira kama nani?''Namuuliza swali ambalo ni kama alisubiri nimuulize.
''Kaseja, Tanzania One''Ananijibu akirukaruka akionekana kunizoea sana hana  habari tena na baba yake.
''Kwa hiyo wewe ni golikipa?''
''Ndiyo nadaka hadi penati kama kaseja'' Anaongea akinionesha kwa kidole nyuma ya fulana yake ya bluu , nakaza jicho sioni chochote.
''Namba moja''Naongea baada  ya kufanikiwa kuiona moja iliyoandika kwa wino wa kalamu yakili bila mpangilio inaonekana aliandika mwenyewe.
''Huioni Juma Kaseja hapo?'' Ananiuliza mtoto akiwa na furaha sana, hapo nayaona pia hayo maandishi.
''Umeshawahi kumwona Kaseja?'' Namuuliza swali ambalo ni kama linamfanya awe mpole akifikiria kitu.
''Ninayo picha yake, wakileta umeme tutakuwa tunamwona Kaseja kwenye TV''Ananieleza na kumhurumia yule mtoto kwani nahisi kama umeme huo utawafikia kabla ya kaseja hajaachana na soka.
''Utamwona tuu mdogo wangu''Namfariji.
''Nitamwona baba alisema Mbeya City wakicheza na Majimaji tutaenda nimwone kaseja''Namtazama baba yake ambaye anaonekana kuumizwa na ahadi ya mwanaye, namhurumia.
Tunafika nyumbani kwa mwenyeji wangu , namsalimu kisha  naagana na Kaseja Mdogo na baba yake''
Naendelea na taratibu nyingine hadi usiku  kisha nalala na mwenyeji wngu ambaye ni binamu yangu anayefundisha huko kwenye shule moja ya msingi.
Asubuhi, naamka kwa kuchelewa saa tano kamili tena naamshwa kwa ajili ya kifungua kinywa, natamani kuoga maana nilikuwa na uchovu sana naingia kwenye bafu ambalo hata buibui wameweka makazi kama halijawahi kutumika.
''Wenyewe tunaoga ziwani''Naambiwa na mwenyeji wangu akinieleza utaratibu wao, unaamka na kwenda ziwani kuswaki  na kuoga.
''Kifungua kinywa kipya kidogo, samaki aliyekwaushwa na chai, pia kuna ndizi zilizopikwa na samaki wabichi''
''Hizo ndizi amekuletea  yule mwenyeji wako wa jana alokuja na baba yake'' 
''Nani kasej....?''Sifanikiwi kumaliza swali langu nasalimiwa na yule mtoto mkononi ana kipande cha gazeti.
Baada ya salamu napewa kipande cha gazeti ambalo bila kuuliza inaonekana alilibandika ukutani na ugali wa mhogo, ni gazeti la malawi  lina picha ya kaseja.
''Huyo ndiye kaseja kaka'' Anaongea yule mtoto akiwa na furaha.
''Naam ni Kaseja...
KESHO JIONI TUNAENDELEA NA KISA HIKI CHA KASEJA
Usiku wa ulaya unarudi tena leo pale ambapo miamba ya soka barani ulaya itachuana katika robo fainali raundi ya pili ili kupata timu zitakazofuzu kuingia hatua ya nusu fainali.

Real Madrid wanatakiwa wafunge zaidi ya magoli mawili kwa bila ili kuindoa Wolfsburg katika mashindano hayo.
Rekodi zinaonesha ni timu mbili tu ziliwahi kuvuka baada ya kufungwa mechi ya kwanza  ugenini kwa magoli mawili ikiwemo Real Madrid yenyewe pale ilipogeuza matokeo na kuifunga Red Star Belgrade 1987.

Kwa upande mwingine ushindani utakua kati ya  Man.City ya England na PSG ya Ufaransa  baada ya mechi ya awali kuisha kwa sare ya magoli 2-2 iliyofanyika nchini Ufaransa.

Hii hapa ratiba ya leo mechi za marudiano robo fainali mabingwa ulaya.







KUSUKA AU KUNYOA ROBO FAINALI MABINGWA ULAYA RAUNDI YA PILI

Usiku wa ulaya unarudi tena leo pale ambapo miamba ya soka barani ulaya itachuana katika robo fainali raundi ya pili ili kupata timu zitakazofuzu kuingia hatua ya nusu fainali.

Real Madrid wanatakiwa wafunge zaidi ya magoli mawili kwa bila ili kuindoa Wolfsburg katika mashindano hayo.
Rekodi zinaonesha ni timu mbili tu ziliwahi kuvuka baada ya kufungwa mechi ya kwanza  ugenini kwa magoli mawili ikiwemo Real Madrid yenyewe pale ilipogeuza matokeo na kuifunga Red Star Belgrade 1987.

Kwa upande mwingine ushindani utakua kati ya  Man.City ya England na PSG ya Ufaransa  baada ya mechi ya awali kuisha kwa sare ya magoli 2-2 iliyofanyika nchini Ufaransa.

Hii hapa ratiba ya leo mechi za marudiano robo fainali mabingwa ulaya.







Wamewahi kukutana mara misimu minne huku Al-Ahly ikiwa imeshinda mara tano jumla ya magoli 15 na manne zaidi walipopigiana matuta katika ya mechi nane na Yanga ikishinda mara moja jumla ya magoli 2 na matatu zaidi walipopigiana penati baada ya kutoshana nguvu. Jumla ya sare ni mbili tu.


Ligi ya Mabingwa Afrika; 1982
>>>RAUNDI YA PILI:
Al- Ahly 5-0 Yanga (Misri)
Yanga SC 1-1 Al- Ahly (Dar)

Ligi ya Mabingwa; 1988
>>>RAUNDI YA KWANZA:
Yanga 0-0 Al-Ahly (Dar)
Al- Ahly 4-0 Yanga (Misri)


Ligi ya Mabingwa; 2009
>>>RAUNDI YA KWANZA
Al Ahly 3-0 Yanga (Misri)
Yanga 0-1 Al Ahly (Dar)


Ligi ya Mabingwa; 2014
>>>RAUNDI YA KWANZA
Yanga SC 1-0 Al Ahly (Dar)
Al Ahly 1-0 Yanga SC (Misri)
(Yanga ilitolewa kwa penalti 4-3)

Hii ndio rekodi ya Yanga na Al-Ahly tangu walipoanza kukutana miaka ya 80.

Wamewahi kukutana mara misimu minne huku Al-Ahly ikiwa imeshinda mara tano jumla ya magoli 15 na manne zaidi walipopigiana matuta katika ya mechi nane na Yanga ikishinda mara moja jumla ya magoli 2 na matatu zaidi walipopigiana penati baada ya kutoshana nguvu. Jumla ya sare ni mbili tu.


Ligi ya Mabingwa Afrika; 1982
>>>RAUNDI YA PILI:
Al- Ahly 5-0 Yanga (Misri)
Yanga SC 1-1 Al- Ahly (Dar)

Ligi ya Mabingwa; 1988
>>>RAUNDI YA KWANZA:
Yanga 0-0 Al-Ahly (Dar)
Al- Ahly 4-0 Yanga (Misri)


Ligi ya Mabingwa; 2009
>>>RAUNDI YA KWANZA
Al Ahly 3-0 Yanga (Misri)
Yanga 0-1 Al Ahly (Dar)


Ligi ya Mabingwa; 2014
>>>RAUNDI YA KWANZA
Yanga SC 1-0 Al Ahly (Dar)
Al Ahly 1-0 Yanga SC (Misri)
(Yanga ilitolewa kwa penalti 4-3)



Social Media
 2,667,696 Fans
 44,584 Talking About This
 2,213,543 Followers
 82.6 Klout Score


Alexandra Patricia "Alex" Morgan (Kuzaliwa, Julai 2, 1989)  ni mwanasoka Mmarekani kutoka Diamond Bar, iliyoko katika jiji la California. Ni mmoja ya wachezaji wakubwa aliyebobea katika mambo ya soka na mwanachama wa timu ya soka ya wanawake, Marekani.
Morgan alikuwa ni mwanasoka mwenye umri mdogo zaidi katika timu ya taifa katika kikoso cha timu ya taifa ya wanawake iliyoshiriki kombe la dunia la wanawake mwaka 2011.
Umuhimu mkubwa wa Morgan ulionekana pale ambapo aliiwezesha timu yake ya taifa ya wanawake kuchukua ushindi katika kufuzu kucheza kombe la dunia la mwaka 2011, huko Ujerumani na kuifanikishia timu yake kuchukua medali ya shaba katika michuano hiyo mikubwa kabisa ya soka duniani. Pia kufanikiwa kushiriki katika michuano ya Olympic, London.
Baadae mwaka 2012, aliiwezesha timu yake kutoka kidedea katika michuano ya Olympic na kutwaa medani za dhahabu.
Alex Morgan akipambana vikali na Saki Kumagai wa Japani katika moja ya mechi ambayo Marekani ilitoka na ubingwa na kutwaa medali ya dhahabu
Alex amefanikiwa kuchukua tuzo ya mwanasoka wa kike wa mwaka 2012 nchini marekani (2012 U.S. Soccer Female Player) na mwanasoka bora wa mwaka wa dunia, tuzo iliyotolewa na FIFA (FIFA Player of the Year).

Nje na soka Alex akishirikiana na Simon na Schuster wamefanikiwa kuandika kitabu kilichoongoza kwa mauzo na kushika namba saba kwa mauzo kilichoitwa "The Kicks" mwaka 2013, na kufuatiwa na maandiko mengine kama "Sabotage season" , kilichotoka mwaka 2013 pia.
Moja ya kitabu kilichoandikwa na Alex Morgan
Imeandaliwa na Mr. Kaozat (kaozat1@gmail.com | 0655 987 588)

Alex Morgan, mwanasoka wa kike mwenye wafuasi wengi zaidi katika mitandao ya kijamii duniani




Social Media
 2,667,696 Fans
 44,584 Talking About This
 2,213,543 Followers
 82.6 Klout Score


Alexandra Patricia "Alex" Morgan (Kuzaliwa, Julai 2, 1989)  ni mwanasoka Mmarekani kutoka Diamond Bar, iliyoko katika jiji la California. Ni mmoja ya wachezaji wakubwa aliyebobea katika mambo ya soka na mwanachama wa timu ya soka ya wanawake, Marekani.
Morgan alikuwa ni mwanasoka mwenye umri mdogo zaidi katika timu ya taifa katika kikoso cha timu ya taifa ya wanawake iliyoshiriki kombe la dunia la wanawake mwaka 2011.
Umuhimu mkubwa wa Morgan ulionekana pale ambapo aliiwezesha timu yake ya taifa ya wanawake kuchukua ushindi katika kufuzu kucheza kombe la dunia la mwaka 2011, huko Ujerumani na kuifanikishia timu yake kuchukua medali ya shaba katika michuano hiyo mikubwa kabisa ya soka duniani. Pia kufanikiwa kushiriki katika michuano ya Olympic, London.
Baadae mwaka 2012, aliiwezesha timu yake kutoka kidedea katika michuano ya Olympic na kutwaa medani za dhahabu.
Alex Morgan akipambana vikali na Saki Kumagai wa Japani katika moja ya mechi ambayo Marekani ilitoka na ubingwa na kutwaa medali ya dhahabu
Alex amefanikiwa kuchukua tuzo ya mwanasoka wa kike wa mwaka 2012 nchini marekani (2012 U.S. Soccer Female Player) na mwanasoka bora wa mwaka wa dunia, tuzo iliyotolewa na FIFA (FIFA Player of the Year).

Nje na soka Alex akishirikiana na Simon na Schuster wamefanikiwa kuandika kitabu kilichoongoza kwa mauzo na kushika namba saba kwa mauzo kilichoitwa "The Kicks" mwaka 2013, na kufuatiwa na maandiko mengine kama "Sabotage season" , kilichotoka mwaka 2013 pia.
Moja ya kitabu kilichoandikwa na Alex Morgan
Imeandaliwa na Mr. Kaozat (kaozat1@gmail.com | 0655 987 588)




Mbwana Samata awanyanyua juu kwa shangwe maelfu ya mashabiki






Jumatatu ya tarehe 4/4/2016 beki wa Manchester United alianza mazoezi mepesi.
Beki huyo aliumia mwezi septemba mwaka 2015 wakati wa mechi za makundi ya ligi ya Mabingwa dhidi ya PSV EINDHOVEN ya Uholanzi ameanza rasmi mazoezi mepesi ya kurejea uwanjani.
Ni habari njema kwa Mashabiki wa Manchester United kwani beki huyo mwenye miaka 20 ni tegemezi na ni  bora kwa kizazi hiki na kijacho cha mashetani wekundu hao.

MANCHESTER UNITED BEKI WENU ANARUDI


Jumatatu ya tarehe 4/4/2016 beki wa Manchester United alianza mazoezi mepesi.
Beki huyo aliumia mwezi septemba mwaka 2015 wakati wa mechi za makundi ya ligi ya Mabingwa dhidi ya PSV EINDHOVEN ya Uholanzi ameanza rasmi mazoezi mepesi ya kurejea uwanjani.
Ni habari njema kwa Mashabiki wa Manchester United kwani beki huyo mwenye miaka 20 ni tegemezi na ni  bora kwa kizazi hiki na kijacho cha mashetani wekundu hao.



Timu ya soka ya Chelsea ya Uingereza wametoa taarifa rasmi za ujio wa kocha wao mpya mtaliano Anthonio Conte ambaye anachukua nafasi ya kocha aliyefukuzwa Jose Mourinho lakini akipokea kazi kutoka kwa kocha wa muda Guus Hiddink.
Ujio wa kocha huyo unakuja na changamoto nyingi sio tu za kutwaa mataji na kucheza kwa kiwango cha juu lakini kwa jinsi atakavyokabiliana na mambo mbalimbali klabuni hapo.
Yafuatayo ni maswali mambo ambayo kocha huyo inabidi ayaweke sawa  kabla ya msimu mpya kuanza ili kuwa na timu bora .

1. Atampa mkataba mpya kapteni John Terry ambaye muda wake unaisha mwishoni wa msimu huu?

2. Ataweza kupandisha kiwango cha Eden Hazard au atamuuza kwa kwa kuwa anatakiwa na PSG na Real Madrid

3.Ataendana na sera za Chelsea za kununua  na kuuza wachezaji?

4.Atawapa nafasi za kucheza chipukizi?

5.Wachezaji wa mkopo kama Qudarado na wengineo atawarudisha?

6.Ataweza kuirudisha ligi ya mabingwa kwa kuwa ni dhahiri msimu ujao Chelsea haitashiriki  ligi hiyo enye heshima kubwa ulaya na duniani kote.

TUSUBIRI NA TUONE

Karibu Anthonio Conte lakini haya yanakuhusu,kibarua chako kinaanzia hapa.



Timu ya soka ya Chelsea ya Uingereza wametoa taarifa rasmi za ujio wa kocha wao mpya mtaliano Anthonio Conte ambaye anachukua nafasi ya kocha aliyefukuzwa Jose Mourinho lakini akipokea kazi kutoka kwa kocha wa muda Guus Hiddink.
Ujio wa kocha huyo unakuja na changamoto nyingi sio tu za kutwaa mataji na kucheza kwa kiwango cha juu lakini kwa jinsi atakavyokabiliana na mambo mbalimbali klabuni hapo.
Yafuatayo ni maswali mambo ambayo kocha huyo inabidi ayaweke sawa  kabla ya msimu mpya kuanza ili kuwa na timu bora .

1. Atampa mkataba mpya kapteni John Terry ambaye muda wake unaisha mwishoni wa msimu huu?

2. Ataweza kupandisha kiwango cha Eden Hazard au atamuuza kwa kwa kuwa anatakiwa na PSG na Real Madrid

3.Ataendana na sera za Chelsea za kununua  na kuuza wachezaji?

4.Atawapa nafasi za kucheza chipukizi?

5.Wachezaji wa mkopo kama Qudarado na wengineo atawarudisha?

6.Ataweza kuirudisha ligi ya mabingwa kwa kuwa ni dhahiri msimu ujao Chelsea haitashiriki  ligi hiyo enye heshima kubwa ulaya na duniani kote.

TUSUBIRI NA TUONE
Viongozi wa ligi kuu ya Uingereza LEICESTER CITY jana waliongeza wigo wa tofauti za alama mpaka kufikia 7 kati yake na timu inayoshika nafasi ya pili Totenham.
Leicester city wana alama 69 wakati Toten ham wana alama 62 ikiwa kila moja imebakiza michezo 6 tu.Leicester City walipata ushindi katika uwanja wao wa King Power kwa goli lao pekee liliofungwa na kapteni wao WES MORGAN katika dakika ya 38 kuunganisha krosi ya winga  wa kushoto CHRISTIAN FUCHS. 
Katika mechi nyingine iliyochezwa jana Manchester United waliifunga Everton ka goli moja la ANTHONY MARTIAL dakika ya 54 akiunganisha mpira uliopigwa na beki kinda FOSU MENSAH  nafasi ya MARCOS 
Picha kwa hisani ya www.dailymail.co.uk

HUU HAPA MSIMAMO WA LIGI KUU UINGEREZA



















LEICESTER CITY HAWASHIKIKI,WANAISHI NDOTO ZAO. MAN UNITED NAO KICHEKO

Viongozi wa ligi kuu ya Uingereza LEICESTER CITY jana waliongeza wigo wa tofauti za alama mpaka kufikia 7 kati yake na timu inayoshika nafasi ya pili Totenham.
Leicester city wana alama 69 wakati Toten ham wana alama 62 ikiwa kila moja imebakiza michezo 6 tu.Leicester City walipata ushindi katika uwanja wao wa King Power kwa goli lao pekee liliofungwa na kapteni wao WES MORGAN katika dakika ya 38 kuunganisha krosi ya winga  wa kushoto CHRISTIAN FUCHS. 
Katika mechi nyingine iliyochezwa jana Manchester United waliifunga Everton ka goli moja la ANTHONY MARTIAL dakika ya 54 akiunganisha mpira uliopigwa na beki kinda FOSU MENSAH  nafasi ya MARCOS 
Picha kwa hisani ya www.dailymail.co.uk

HUU HAPA MSIMAMO WA LIGI KUU UINGEREZA




















Wachezaji wa ligi kuu ya Uingereza wanatumia madawa yaliyopigwa marufuku

Serikali ya Uingereza imeanzisha uchunguzi wa dharura kufuatia ufichuzi kuwa wachezaji nyota wa kandanda nchini Uingereza wamekuwa wakitumia madawa yaliyopigwa marufuku ya kuongeza nguvu mwilini.
Gazeti la Sunday Times limechapisha rhttps://www.blogger.com/blogger.g?blogID=5420544876886876991#editor/target=post;postID=5548928251777649508ipoti ya uchunguzi iliyothibitisha kuwa sio tu wasakataji dimba bali hata waendesha baiskeli, wachezaji Kriketi na hata wachezaji wa tenisi wamekuwa wakipokea matibabu kutoka kwa daktari mmoja ambaye anajulikana kwa kupeana madawa hayo yaliyopigwa marufuku ya kututumua misuli.
Daktari Mark Bonar ambaye anazahanati yake mjini London Uingereza amekuwa akiwatoza wachezaji nyota maelfu ya pauni za Uingereza kwa matibabu hayo fiche ambayo imegunduliwa kuwa ni matibabu ya madawa yaliyopigwa marufuku na shirikisho la kupambana na madawa haramu WADA.

Wateja wakuu wa Dkt Bonar yasemekana ni wachezaji wa timu kuu katika ligi maarufu zaidi duniani ligi ya Uingereza.
Uchunguzi pia umebaini kuwa dkt Bonar amekuwa akiwapa wachezaji nyota 150 dawa aina ya EPO Steroids na hata homoni zinazokua kwa haraka ambazo ni haramu katika michezo katika kipindi cha miaka 6 sasa.
Serikali ya Uingereza imeanzisha uchunguzi dhidi ya taasisi ya kupambana na kuenea kwa madawa hayo haramu kufuatia ufichuzi huo.
Hakuna ushahidi kuwa timu za ligi kuu ya Uingereza zilifahamu mbinu za dkt Bonar.
 
dkt Bonar amekuwa akiwapa wachezaji nyota 150 dawa aina ya EPO Steroids na hata homoni zinazokua kwa haraka
Aidha Sunday Times linasema kuwa halina ushahidi 'huru' kuwa dkt Bonar aliwapa madawa hayo ya kututumua misuli wachezaji wangapi wanaochezea vilabu vya ligi kuu ya Uingereza EPL.
Hata hivyo wachezaji kadhaa walioulizwa iwapo walipewa madawa hayo ya kututumua misuli na dkt Bonar walikataa kujibu na wengine wakakanusha madai hayo ya daktari huyo.
Dkt Bonar hata hivyo anasema kuwa hakuwapa wachezaji hao madawa hayo kwa nia ya kuimarisha uwezo wao uwanjani ila anadai aliwapa madawa hayo ilikuwatibu dhidi ya maradhi mbali mbali waliokuwa wanaugua.
Uchunguzi huu unatokana na ufichuzi wa mchezaji mmoja aliyekwenda kwa idara ya serikali kumshtaki dkt Bonar kwa kumpa dawa iliyopigwa marufuku.
Mchezaji huyo ambaye ametaka jina lake libanwe anasema alipigwa na butwaa dkt Bonar aliposisitiza kuwa anastahili kumeza dawa hiyo haramu.
Sunday Times lilitumia mwanariadha chipukizi kumrekodi daktari huyo akijigamba jinsi alivyowatibu wachezaji wengi tu nyota akitumia mbinu zizo hizo japo ni marufuku

Baadhi ya wachezaji wa EPL wanatumia madawa haramu


Wachezaji wa ligi kuu ya Uingereza wanatumia madawa yaliyopigwa marufuku

Serikali ya Uingereza imeanzisha uchunguzi wa dharura kufuatia ufichuzi kuwa wachezaji nyota wa kandanda nchini Uingereza wamekuwa wakitumia madawa yaliyopigwa marufuku ya kuongeza nguvu mwilini.
Gazeti la Sunday Times limechapisha rhttps://www.blogger.com/blogger.g?blogID=5420544876886876991#editor/target=post;postID=5548928251777649508ipoti ya uchunguzi iliyothibitisha kuwa sio tu wasakataji dimba bali hata waendesha baiskeli, wachezaji Kriketi na hata wachezaji wa tenisi wamekuwa wakipokea matibabu kutoka kwa daktari mmoja ambaye anajulikana kwa kupeana madawa hayo yaliyopigwa marufuku ya kututumua misuli.
Daktari Mark Bonar ambaye anazahanati yake mjini London Uingereza amekuwa akiwatoza wachezaji nyota maelfu ya pauni za Uingereza kwa matibabu hayo fiche ambayo imegunduliwa kuwa ni matibabu ya madawa yaliyopigwa marufuku na shirikisho la kupambana na madawa haramu WADA.

Wateja wakuu wa Dkt Bonar yasemekana ni wachezaji wa timu kuu katika ligi maarufu zaidi duniani ligi ya Uingereza.
Uchunguzi pia umebaini kuwa dkt Bonar amekuwa akiwapa wachezaji nyota 150 dawa aina ya EPO Steroids na hata homoni zinazokua kwa haraka ambazo ni haramu katika michezo katika kipindi cha miaka 6 sasa.
Serikali ya Uingereza imeanzisha uchunguzi dhidi ya taasisi ya kupambana na kuenea kwa madawa hayo haramu kufuatia ufichuzi huo.
Hakuna ushahidi kuwa timu za ligi kuu ya Uingereza zilifahamu mbinu za dkt Bonar.
 
dkt Bonar amekuwa akiwapa wachezaji nyota 150 dawa aina ya EPO Steroids na hata homoni zinazokua kwa haraka
Aidha Sunday Times linasema kuwa halina ushahidi 'huru' kuwa dkt Bonar aliwapa madawa hayo ya kututumua misuli wachezaji wangapi wanaochezea vilabu vya ligi kuu ya Uingereza EPL.
Hata hivyo wachezaji kadhaa walioulizwa iwapo walipewa madawa hayo ya kututumua misuli na dkt Bonar walikataa kujibu na wengine wakakanusha madai hayo ya daktari huyo.
Dkt Bonar hata hivyo anasema kuwa hakuwapa wachezaji hao madawa hayo kwa nia ya kuimarisha uwezo wao uwanjani ila anadai aliwapa madawa hayo ilikuwatibu dhidi ya maradhi mbali mbali waliokuwa wanaugua.
Uchunguzi huu unatokana na ufichuzi wa mchezaji mmoja aliyekwenda kwa idara ya serikali kumshtaki dkt Bonar kwa kumpa dawa iliyopigwa marufuku.
Mchezaji huyo ambaye ametaka jina lake libanwe anasema alipigwa na butwaa dkt Bonar aliposisitiza kuwa anastahili kumeza dawa hiyo haramu.
Sunday Times lilitumia mwanariadha chipukizi kumrekodi daktari huyo akijigamba jinsi alivyowatibu wachezaji wengi tu nyota akitumia mbinu zizo hizo japo ni marufuku

Like, share and send to friends

Jiunge nasi