Mshambuliaji wa Cameroon asitishiwa mkataba baada ya kupatikana na maambukizi ya ukimwi

on Monday, August 29, 2016 - No comments:

Egyptian club Al Ittihad sack Cameroon international Samuel Nlend after he tests positive for AIDS
Cameroon forward Samuel Nlend
Siku chache baada ya kusaini dili la kuichezea klabu ya Al Ittihad ya nchini Misri, Samuel Nlend (Miaka 21) amejikuta katika wakati mgumu baada ya mkataba wake kusitishwa kutokana na kukutwa na maambukizi ya virusi vya UKIMWI. Habari hizo ziliripotiwa na chombo cha habari kutoka Misri,   KingFut.com kuwa taaria hiyo ilitolewa na msemaji wa klabu hiyo alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari.
Hakuna sheria inayomkataza mtu kujishughulisha na masuala ya soka lakini Nlend hatoweza kupata nafasi ya kufanya kazi katika nchi nyingine kutokana na hali yake ya afya, aliongeza.
Nini maoni na matazamo wako juu ya suala hili? 
Usisite kuacha maoni yako hapa chini na tutayajibu.

Tagged as:
Unknown About Unknown

“You have no idea how much the last few days have meant to me," I began. "Meeting you has been the best thing that's ever happened to me.” Get the latest entertainment updates from Best Hope Media or call +255 655 987 588

Get Updates

Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.

Share This Post

Related posts

0 comments:

Like, share and send to friends