What's New Here?

Showing posts with label News. Show all posts
Showing posts with label News. Show all posts
BAADA ya uamuzi wa kuwafukuza vyuo walimu wanne waliokuwa kwenye mafunzo ya vitendo katika Shule ya Sekondari ya Kutwa ya Mbeya (Mbeya Day), serikali imesema vyuo husika vinaweza kushauri adhabu mbadala iwapo vitajiridhisha kuwepo kwa mazingira tofauti na yaliyozingatiwa kwenye uamuzi wa kuwafukuza vyuo.
Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako alisema hayo juzi alipozungumza na waandishi wa habari mkoani Mbeya alikokuwa katika ziara kwenye shule mbalimbali mkoani humo.
Profesa Ndalichako alisema uamuzi uliochukuliwa na ofisi yake ulizingatia sheria ndogo zilizotungwa katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udsm) zinazoainisha makosa yanayoweza kumfukuzisha chuo mwanafunzi.
Hata hivyo, alisema uamuzi uliochukuliwa unaweza kutazamwa upya na vyuo husika iwapo uzito uliochukuliwa na wizara utaonekana kuwa katika mazingira na uhalisia wa tukio husika.

Walimu wa Mbeya Day wapewa nafuu ya adhabu yao, vyuo vyaachiwa madai yao

BAADA ya uamuzi wa kuwafukuza vyuo walimu wanne waliokuwa kwenye mafunzo ya vitendo katika Shule ya Sekondari ya Kutwa ya Mbeya (Mbeya Day), serikali imesema vyuo husika vinaweza kushauri adhabu mbadala iwapo vitajiridhisha kuwepo kwa mazingira tofauti na yaliyozingatiwa kwenye uamuzi wa kuwafukuza vyuo.
Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako alisema hayo juzi alipozungumza na waandishi wa habari mkoani Mbeya alikokuwa katika ziara kwenye shule mbalimbali mkoani humo.
Profesa Ndalichako alisema uamuzi uliochukuliwa na ofisi yake ulizingatia sheria ndogo zilizotungwa katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udsm) zinazoainisha makosa yanayoweza kumfukuzisha chuo mwanafunzi.
Hata hivyo, alisema uamuzi uliochukuliwa unaweza kutazamwa upya na vyuo husika iwapo uzito uliochukuliwa na wizara utaonekana kuwa katika mazingira na uhalisia wa tukio husika.
 uongozi wa kituo cha NICOPOLIC ACADEMY ukiwa na watoto wa kituo hicho wakitoa msaada wa watoto wenzao ambao ni wagonjwa katika hospitari ya wilaya ya Ludewa





 Kaimu mganga mkuu wa hospitari ya wilaya ya Ludewa Dkt.Frank Mwambasanga




Wodi ya watoto katika hospitari ya wilaya ya Ludewa 






Kituo cha watoto yatima na waishio katika mazingira hatarishi wilayani Ludewa katika mkoa wa Njombe kimetoa misaada mbalimbali kwa watoto wenzao ambao ni wagonjwa na wamelazwa katika wodi ya watoto hospitari ya wilaya ya Ludewa.

Akitoa msaada wa Sabuni na vitu vingine jana  kwa watoto waliolazwa katika hospitali hiyo Mkurugenzi wa NICO POLIC ACADEMY Bw. Augustino Mwinuka alisema kuwa lengo la kwenda na watoto wa kituo hicho ili kuwajulia hali watoto wagonjwa waliolazwa katika hospitari ya wilaya ya Ludewa ni kuwafundisha watoto wa NICO POLIS ACADEMY kuwa na matendo ya huruma.

Bw. Mwinuka alisema kuwa watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi wanatakiwa kujifunza upendo kwa kuonesha watoto wengine hivyo ni utaratibu wa kituo hicho kuwatembeza watoto hao katika kuisaidia jamii nyingine yenye shida zaidi ya watoto wanaotoka NICOPOLIS ACADEMY.

Alisema kuwa kituo hicho kinachukua watoto wa aina mbalimbali ambao ni watoto wenye ulemavu wangozi,watoto yatima na wanaoishi mazingira hatarishi pia baadhi ya wazazi huwaleta watoto wao ili waweze kupata elimu kwa kuchangia gharama nafuu.

“Tumewaleta watoto hawa kuwaona watoto wenzao ambao ni wagonjwa na kuwapatia vitu vichache ili kuwafundisha watoto tulionao katika kituo chetu waweze kuwa na moyo wa huruma na kuwajali wengine kwani watoto wengine tulio nao wameharibiwa kisaikolojia kutokana na maisha waliokuwa wakiishi kabla ya kuja kuishi katika kituo chetu hivyo inaweza kusaidia kuwaweka sawa katika jamii”,alisema Bw.Mwinuka.

Akitoa shukrani zake kwa uongozi wa kituo cha NICO POLIC ACADEMY kaimu mganga mkuu wa Hospitari ya wilaya ya Ludewa Daktari. Frank Mwambasanga alisema kuwa kituo hicho ni mfano wakuigwa kwani wameonesha kuwa wapo kwaajili ya jamii na si vinginevyo.

Dkt.Mwambasanga alisema kuwa kituo hicho kimetoa faraja kwa watoto hao ambao ni wagonjwa richa ya kuwa wamekuja kuwafundisha watoto wanaoishi kituoni hapo kushiriki katika shughuri za kijamii lakini kwa misaada yao na zawadi walizowabebea watoto wenzao nifaraja kubwa kwa wauguzi wao na wagonjwa kwa ujumla.

Aidha Dkt. Mwambasanga aliwataka wadau na viongozi wa shule mbalimbali wilayani hapa kuiga mfano wa kituo hicho ambacho kinatambua umuhimu wa kuwatembelea wagonjwa kwani kwa kufanya hivyo wagonjwa watafarijika kutokana na hali halisi kuwa shule za wilaya ya Ludewa hazina utamaduni wa kuwatembelea wagonjwa.


Mwisho.

Kituo cha watoto waishio katika mazingira hatarishi cha Nico Polic Academy chawatembelea wagonjwa.

 uongozi wa kituo cha NICOPOLIC ACADEMY ukiwa na watoto wa kituo hicho wakitoa msaada wa watoto wenzao ambao ni wagonjwa katika hospitari ya wilaya ya Ludewa





 Kaimu mganga mkuu wa hospitari ya wilaya ya Ludewa Dkt.Frank Mwambasanga




Wodi ya watoto katika hospitari ya wilaya ya Ludewa 






Kituo cha watoto yatima na waishio katika mazingira hatarishi wilayani Ludewa katika mkoa wa Njombe kimetoa misaada mbalimbali kwa watoto wenzao ambao ni wagonjwa na wamelazwa katika wodi ya watoto hospitari ya wilaya ya Ludewa.

Akitoa msaada wa Sabuni na vitu vingine jana  kwa watoto waliolazwa katika hospitali hiyo Mkurugenzi wa NICO POLIC ACADEMY Bw. Augustino Mwinuka alisema kuwa lengo la kwenda na watoto wa kituo hicho ili kuwajulia hali watoto wagonjwa waliolazwa katika hospitari ya wilaya ya Ludewa ni kuwafundisha watoto wa NICO POLIS ACADEMY kuwa na matendo ya huruma.

Bw. Mwinuka alisema kuwa watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi wanatakiwa kujifunza upendo kwa kuonesha watoto wengine hivyo ni utaratibu wa kituo hicho kuwatembeza watoto hao katika kuisaidia jamii nyingine yenye shida zaidi ya watoto wanaotoka NICOPOLIS ACADEMY.

Alisema kuwa kituo hicho kinachukua watoto wa aina mbalimbali ambao ni watoto wenye ulemavu wangozi,watoto yatima na wanaoishi mazingira hatarishi pia baadhi ya wazazi huwaleta watoto wao ili waweze kupata elimu kwa kuchangia gharama nafuu.

“Tumewaleta watoto hawa kuwaona watoto wenzao ambao ni wagonjwa na kuwapatia vitu vichache ili kuwafundisha watoto tulionao katika kituo chetu waweze kuwa na moyo wa huruma na kuwajali wengine kwani watoto wengine tulio nao wameharibiwa kisaikolojia kutokana na maisha waliokuwa wakiishi kabla ya kuja kuishi katika kituo chetu hivyo inaweza kusaidia kuwaweka sawa katika jamii”,alisema Bw.Mwinuka.

Akitoa shukrani zake kwa uongozi wa kituo cha NICO POLIC ACADEMY kaimu mganga mkuu wa Hospitari ya wilaya ya Ludewa Daktari. Frank Mwambasanga alisema kuwa kituo hicho ni mfano wakuigwa kwani wameonesha kuwa wapo kwaajili ya jamii na si vinginevyo.

Dkt.Mwambasanga alisema kuwa kituo hicho kimetoa faraja kwa watoto hao ambao ni wagonjwa richa ya kuwa wamekuja kuwafundisha watoto wanaoishi kituoni hapo kushiriki katika shughuri za kijamii lakini kwa misaada yao na zawadi walizowabebea watoto wenzao nifaraja kubwa kwa wauguzi wao na wagonjwa kwa ujumla.

Aidha Dkt. Mwambasanga aliwataka wadau na viongozi wa shule mbalimbali wilayani hapa kuiga mfano wa kituo hicho ambacho kinatambua umuhimu wa kuwatembelea wagonjwa kwani kwa kufanya hivyo wagonjwa watafarijika kutokana na hali halisi kuwa shule za wilaya ya Ludewa hazina utamaduni wa kuwatembelea wagonjwa.


Mwisho.
Kwa mara nyingine nchi ya Tanzania imeingia katika historia ya dunia. Moja ya maeneo ambayo yataona kupatwa kwa jua kwa asilimia zaidi ya tisini ni kutoka Tanzania eneo la mkoa wa Njombe na Mbeya, Nyanda za juu kusini mwa Tanzania.

Katika kijiji cha Litundu kilichopo katika wilaya mpya ya Wanging'ombe tayari uongozi kutoka ngazi mbalimbali za serikali umefanya maandalizi ya kuwapokea wageni watakaoelekea maeneo hayo ili kujionea tukio hilo ambalo hutokea kwa nadra sana katika sayari ya dunia na inasemekana litatokea tena ifikapo mwaka 2096 au 2097. Tukio la kupatwa kwa jua katika eneo hilo litatokea saa tatu na dakika tatu na sekunde 56 (03:03 asubuhi) na litadumu kwa muda wa dakila tatu na sekunde tano nukta sita (03m5.6s). Pia wametoa angalizo kwa wananchi wa maeneo hayo juu ya athari wanazoweza kuzipata kwa kuangalia jua bila kutumia vifaa maalumu.

Pia kutoka mkoa wa Mbeya eneo la Mbarali ndio eneo pekee ambalo watashuhudia tukio hilo kwa uzuri kabisa.

Jionee ramani inayoonyesha jinsi kupatwa kwa jua kutakavyotokea siku ya kesho tarehe 1, Septemba 2016

Kwa mara nyingine nchi ya Tanzania imeingia katika historia ya dunia. Moja ya maeneo ambayo yataona kupatwa kwa jua kwa asilimia zaidi ya tisini ni kutoka Tanzania eneo la mkoa wa Njombe na Mbeya, Nyanda za juu kusini mwa Tanzania.

Katika kijiji cha Litundu kilichopo katika wilaya mpya ya Wanging'ombe tayari uongozi kutoka ngazi mbalimbali za serikali umefanya maandalizi ya kuwapokea wageni watakaoelekea maeneo hayo ili kujionea tukio hilo ambalo hutokea kwa nadra sana katika sayari ya dunia na inasemekana litatokea tena ifikapo mwaka 2096 au 2097. Tukio la kupatwa kwa jua katika eneo hilo litatokea saa tatu na dakika tatu na sekunde 56 (03:03 asubuhi) na litadumu kwa muda wa dakila tatu na sekunde tano nukta sita (03m5.6s). Pia wametoa angalizo kwa wananchi wa maeneo hayo juu ya athari wanazoweza kuzipata kwa kuangalia jua bila kutumia vifaa maalumu.

Pia kutoka mkoa wa Mbeya eneo la Mbarali ndio eneo pekee ambalo watashuhudia tukio hilo kwa uzuri kabisa.

Kama unakumbuka kwa muda sasa maeneo ya kariakoo yamekuwa hayana wamachinga katika maeneo ya barabara na kuacha njia nyingi kuwa wazi. Lakini kufuatia tamko la Mh. Raisi wamachinga hao wamerejea kwa kasi kubwa za mitaa ya kariakoo pembezoni mwa barabara huku suala hilo likiwa limefurahiwa na asiilimia kubwa ya wamachinga hao. Lakini kwa upande mwingine baadhi ya watu imeonekana ni kero kwao hasa wamiliki wa maduka kwani wanasema kuwa wamachinga hao wamekuwa wakiuza vitu hivyo kwa bei ya chini na kusababisha wateja kukimbilia kwao. Pia wengine wamelalamikia suala hilo kwani wamachinga hao wamekuwa wakileta shida katika maeneo ya barabara kwa kupanga vitu hadi maeneo ya barabara. 

Kufuatia suala hilo Mh. Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam ametoa tamko kuhusiana na suala hilo. Msikilize hapo chini.

Chanzo cha video VOA Swahili

Sintofahamu ya wamachinga jijini Dar es salaam, Tanzania. Dina anakuelezea zaidi.


Kama unakumbuka kwa muda sasa maeneo ya kariakoo yamekuwa hayana wamachinga katika maeneo ya barabara na kuacha njia nyingi kuwa wazi. Lakini kufuatia tamko la Mh. Raisi wamachinga hao wamerejea kwa kasi kubwa za mitaa ya kariakoo pembezoni mwa barabara huku suala hilo likiwa limefurahiwa na asiilimia kubwa ya wamachinga hao. Lakini kwa upande mwingine baadhi ya watu imeonekana ni kero kwao hasa wamiliki wa maduka kwani wanasema kuwa wamachinga hao wamekuwa wakiuza vitu hivyo kwa bei ya chini na kusababisha wateja kukimbilia kwao. Pia wengine wamelalamikia suala hilo kwani wamachinga hao wamekuwa wakileta shida katika maeneo ya barabara kwa kupanga vitu hadi maeneo ya barabara. 

Kufuatia suala hilo Mh. Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam ametoa tamko kuhusiana na suala hilo. Msikilize hapo chini.

Chanzo cha video VOA Swahili
TANGAZO MUHIMU
Kwa Wakazi wa Kata za Makurumla, Mburahati, Manzese, Mabibo Sinza, Ubungo, Makuburi, Kimara, Mbezi, Msigani, Saranga, Goba, Kibamba na Kwembe. Ninyi ni wakaazi wa Wilaya Mpya ya Ubungo.
Kwa kila aliye na kero, ninapendekeza tuanze na zile kero sugu na kubwa kubwa na kama hakuna basi hata zile za kawaida. Kwa miezi miwili kutoka sasa Mimi na watumishi wenzangu wa Wilaya yetu, tutasikiliza na kuharakisha utatuzi au ushauri stahili.
Utolewaji wa Huduma kwa wananchi Wilayani Ubungo unazingatia Sera ya "Mlango Wazi". Serikali Ubungo inasema "Tuambie Ukweli ili tutende haki na wewe upate Haki yako"
Tafadhali na shime wana Ubungo, tujulishane ujumbe huu, ili ndani ya muda mfupi Ubungo iwe Wilaya ya Tofauti, itakuwa ngumu mwanzo ila itakuwa uhalisia mapema zaidi tukishirikiana.
Unaweza wasiliana nami moja kwa moja kupitia 0786146700 (nisipopokea tuma ujumbe mfupi-SMS) au kwa Mwezi huu wa Julai fika Ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Tutakuwepo kuwasikiliza na kuwahudumia.
Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano amenituma niwatumikie na kuwahudumia kama Mtumishi na Kiongozi wenu.
Mkuu wa Wilaya UBUNGO

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Humprey Polepole na sera ya "Mlango wazi"

TANGAZO MUHIMU
Kwa Wakazi wa Kata za Makurumla, Mburahati, Manzese, Mabibo Sinza, Ubungo, Makuburi, Kimara, Mbezi, Msigani, Saranga, Goba, Kibamba na Kwembe. Ninyi ni wakaazi wa Wilaya Mpya ya Ubungo.
Kwa kila aliye na kero, ninapendekeza tuanze na zile kero sugu na kubwa kubwa na kama hakuna basi hata zile za kawaida. Kwa miezi miwili kutoka sasa Mimi na watumishi wenzangu wa Wilaya yetu, tutasikiliza na kuharakisha utatuzi au ushauri stahili.
Utolewaji wa Huduma kwa wananchi Wilayani Ubungo unazingatia Sera ya "Mlango Wazi". Serikali Ubungo inasema "Tuambie Ukweli ili tutende haki na wewe upate Haki yako"
Tafadhali na shime wana Ubungo, tujulishane ujumbe huu, ili ndani ya muda mfupi Ubungo iwe Wilaya ya Tofauti, itakuwa ngumu mwanzo ila itakuwa uhalisia mapema zaidi tukishirikiana.
Unaweza wasiliana nami moja kwa moja kupitia 0786146700 (nisipopokea tuma ujumbe mfupi-SMS) au kwa Mwezi huu wa Julai fika Ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Tutakuwepo kuwasikiliza na kuwahudumia.
Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano amenituma niwatumikie na kuwahudumia kama Mtumishi na Kiongozi wenu.
Mkuu wa Wilaya UBUNGO
Mtu mmoja amejikuta matatizoni nchini Kenya baada ya bosi wake kuchoshwa naa tabia zake za wizi. Waswahili wanasema za mwizi arobaini, na arobaini za jamaa huyu hazikuwa mbali baada ya kujikuta akibugia majani kama mnyama.
Baada ya sakata la wizi kutokea, mwajiri wake aliamua kutumia uungwana wa kumuuliza na ndipo kijana huyo alipokataa na bosi akampa tahadhari kuwa litakalomkuta ni shauri yake. Ndipo maswahibu hayo yakampata kijana huyo na kuudhihirishia uuma kuwa tabia za wiziwizi zilikuwa ni zake kwani asingepatwa na balaa hilo kama si mwizi.
Iangalie video hapa chini oone yaliyomkuta jamaa

Wizi mbaya, akiona cha moto baada ya kuiba Shilingi elfu nne ya bosi wake.

Mtu mmoja amejikuta matatizoni nchini Kenya baada ya bosi wake kuchoshwa naa tabia zake za wizi. Waswahili wanasema za mwizi arobaini, na arobaini za jamaa huyu hazikuwa mbali baada ya kujikuta akibugia majani kama mnyama.
Baada ya sakata la wizi kutokea, mwajiri wake aliamua kutumia uungwana wa kumuuliza na ndipo kijana huyo alipokataa na bosi akampa tahadhari kuwa litakalomkuta ni shauri yake. Ndipo maswahibu hayo yakampata kijana huyo na kuudhihirishia uuma kuwa tabia za wiziwizi zilikuwa ni zake kwani asingepatwa na balaa hilo kama si mwizi.
Iangalie video hapa chini oone yaliyomkuta jamaa

MH: UMMY MWALIMU, Takwimu zilizopo zinaonesha kuwa Mkoa wa Dar es Salaam pamoja na Dodoma imekuwa ikiongoza kwa vitendo vya mapenzi ya jinsia moja.
Wizara ya Afya Maendeo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imepiga marufuku matumizi ya vilainishi vinavyotumiwa na baadhi ya makundi yanayojihusisha na mapenzi ya jinsia moja.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema vitendo vya mapenzi ya jinsia moja ni kinyume na sheria zilizoweka nchini na pia havitambuliki kabisa. 
Amesisitiza kuwa serikali imeamua kuzuia vilainishi hivyo ambavyo vimekuwa vikitumiwa na baadhi ya makundi yanayojiusisha na mapenzi ya jinsia moja ili kupunguza ongezeko la maambukizi ya VVU.

Da es salaam na Dodoma zaongoza kwa mapenzi ya jinsia moja


MH: UMMY MWALIMU, Takwimu zilizopo zinaonesha kuwa Mkoa wa Dar es Salaam pamoja na Dodoma imekuwa ikiongoza kwa vitendo vya mapenzi ya jinsia moja.
Wizara ya Afya Maendeo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imepiga marufuku matumizi ya vilainishi vinavyotumiwa na baadhi ya makundi yanayojihusisha na mapenzi ya jinsia moja.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema vitendo vya mapenzi ya jinsia moja ni kinyume na sheria zilizoweka nchini na pia havitambuliki kabisa. 
Amesisitiza kuwa serikali imeamua kuzuia vilainishi hivyo ambavyo vimekuwa vikitumiwa na baadhi ya makundi yanayojiusisha na mapenzi ya jinsia moja ili kupunguza ongezeko la maambukizi ya VVU.
In this photo taken in 2011, South Africa rally driver Gugu Zulu gestures next to his car. A South African trying to summit Kenya's Mount Kilimanjaro to mark Mandela Day has died. A statement from the Nelson Mandela Foundation said details are "sketchy" but that it appeared Gugu Zulu had problems breathing early Monday July 18, 2016, as his group tried to reach Africa's highest peak.

Taarifa hiyo iliripotiwa na mtandao huo tarehe 18 mwezi huu juu ya kifo cha mpandaji huyo wa mlima aliyeongozana na watu kadhaa akiwemo mke wake Letshego. Ziara hiyo ya kupanda mlima Kilimanjaro iliyojulikana kwa jina la Trek4Mandela iliyokuwa na lengo la kusaidia watoto waishio katika mazingira hatarishi.

Kuipata taarifa hiyo bofya hapa (Correction: South Africa-Climber Dies story)

Mtandao wa Miami Herald lakanusha taarifa yake ya kuwa Mlima Kilimanjaro upo nchini Kenya

In this photo taken in 2011, South Africa rally driver Gugu Zulu gestures next to his car. A South African trying to summit Kenya's Mount Kilimanjaro to mark Mandela Day has died. A statement from the Nelson Mandela Foundation said details are "sketchy" but that it appeared Gugu Zulu had problems breathing early Monday July 18, 2016, as his group tried to reach Africa's highest peak.

Taarifa hiyo iliripotiwa na mtandao huo tarehe 18 mwezi huu juu ya kifo cha mpandaji huyo wa mlima aliyeongozana na watu kadhaa akiwemo mke wake Letshego. Ziara hiyo ya kupanda mlima Kilimanjaro iliyojulikana kwa jina la Trek4Mandela iliyokuwa na lengo la kusaidia watoto waishio katika mazingira hatarishi.

Kuipata taarifa hiyo bofya hapa (Correction: South Africa-Climber Dies story)
WANACHUO 382 kati ya 7,805 waliokuwa wanasoma Stashahada Maalumu ya Ualimu wa Elimu ya Sekondari katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), wamerudishwa chuoni baada ya kukidhi vigezo vinavyotakiwa.
Aidha wanafunzi wengine 52 waliopata daraja la nne kinyume na matakwa ya programu hiyo hawataendelea na masomo kwa kuwa hawana sifa hiyo.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako alisema hayo Dar es Salaam jana, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu wanafunzi hao ambao walirejeshwa nyumbani na serikali Mei 28, mwaka huu. Profesa Ndalichako alisema baada ya hatua ya kuwaondoa wanafunzi hao chuoni kuchukuliwa, serikali ilifanya uchambuzi kwa lengo la kujiridhisha na sifa zao.
Alisema sifa zilizotakiwa ni ufaulu wa daraja la kwanza hadi la tatu na alama mbili au zaidi za ufaulu katika masomo ya Sayansi na Hisabati. Alisema wanafunzi hao waliorudishwa UDOM wana ufaulu wa daraja la kwanza hadi la pili, ambao pia wamefaulu masomo mawili ya sayansi kwa kiwango cha C – A. “Wanafunzi hao 382, wa mwaka wa kwanza ni 134 na wa mwaka wa pili ni 248. Hao ndio pekee watakaorudishwa katika Chuo Kikuu cha Dodoma ili wakamalizie mafunzo yao katika chuo hicho,” alisema.
Profesa Ndalichako alisema wanafunzi wengine 4,586 wa mwaka wa kwanza wa programu hiyo maalumu ya Stashahada ya Ualimu wa Elimu ya Sekondari waliokidhi vigezo vya ufaulu, watahamishiwa katika vyuo vya ualimu vya Morogoro, Butimba, Mpwapwa, Songea na Tukuyu kuendelea na masomo yao.
Vile vile wanafunzi 1,337 wa mwaka wa pili, watahamishiwa kwenye vyuo vya ualimu vya Korogwe na Kasulu kumalizia masomo yao. “Wanafunzi 290 waliokuwa wamedahiliwa kusoma programu maalumu ya Stashahada ya Ualimu wa Elimu ya Sekondari masomo ya Sayansi na Hisabati ambao hawana sifa stahiki wanashauriwa kuomba mafunzo yanayolingana na sifa walizonazo kwenye chuo chochote wanachotaka wao,” alisema Waziri huyo.

Idadi ya wanafunzi waliokidhi vigezo (CHuo kikuu Dodoma)yawa chini ya asilimia 5

WANACHUO 382 kati ya 7,805 waliokuwa wanasoma Stashahada Maalumu ya Ualimu wa Elimu ya Sekondari katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), wamerudishwa chuoni baada ya kukidhi vigezo vinavyotakiwa.
Aidha wanafunzi wengine 52 waliopata daraja la nne kinyume na matakwa ya programu hiyo hawataendelea na masomo kwa kuwa hawana sifa hiyo.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako alisema hayo Dar es Salaam jana, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu wanafunzi hao ambao walirejeshwa nyumbani na serikali Mei 28, mwaka huu. Profesa Ndalichako alisema baada ya hatua ya kuwaondoa wanafunzi hao chuoni kuchukuliwa, serikali ilifanya uchambuzi kwa lengo la kujiridhisha na sifa zao.
Alisema sifa zilizotakiwa ni ufaulu wa daraja la kwanza hadi la tatu na alama mbili au zaidi za ufaulu katika masomo ya Sayansi na Hisabati. Alisema wanafunzi hao waliorudishwa UDOM wana ufaulu wa daraja la kwanza hadi la pili, ambao pia wamefaulu masomo mawili ya sayansi kwa kiwango cha C – A. “Wanafunzi hao 382, wa mwaka wa kwanza ni 134 na wa mwaka wa pili ni 248. Hao ndio pekee watakaorudishwa katika Chuo Kikuu cha Dodoma ili wakamalizie mafunzo yao katika chuo hicho,” alisema.
Profesa Ndalichako alisema wanafunzi wengine 4,586 wa mwaka wa kwanza wa programu hiyo maalumu ya Stashahada ya Ualimu wa Elimu ya Sekondari waliokidhi vigezo vya ufaulu, watahamishiwa katika vyuo vya ualimu vya Morogoro, Butimba, Mpwapwa, Songea na Tukuyu kuendelea na masomo yao.
Vile vile wanafunzi 1,337 wa mwaka wa pili, watahamishiwa kwenye vyuo vya ualimu vya Korogwe na Kasulu kumalizia masomo yao. “Wanafunzi 290 waliokuwa wamedahiliwa kusoma programu maalumu ya Stashahada ya Ualimu wa Elimu ya Sekondari masomo ya Sayansi na Hisabati ambao hawana sifa stahiki wanashauriwa kuomba mafunzo yanayolingana na sifa walizonazo kwenye chuo chochote wanachotaka wao,” alisema Waziri huyo.

Nchini kenya waziri wa fedha Henry Rotich leo amewasilisha bungeni bajeti ya makadirio ya matumizi ya pesa za serikali katika kipindi cha mwaka 2016-2017.
Bajeti hiyo ya jumla ya shilingi trilioni 2.26 inatarajiwa kufadhiliwa kupitia ukusanyaji wa ushuru na mikopo kutoka kwa washirika wa kimaendeleo. Serikali inalenga kukopa shilingi bilioni 778 hatua ambayo itaongeza deni la kenya ambalo kufikia sasa ni shilingi trilioni 3.32.
Matumizi zaidi itaelekezwa kwa ujenzi wa miundo mbinu ikiwa ni pamoja ujenzi wa reli ya kisasa, kuimarisha usalama, huduma za afya na pia kuziwezesha serikali za majimbo.
Kama ilivyo ada bajeti inaposomwa kuna wale wa wanaofaidi na wale wanaopoteza. Gesi ya kupikia na chakula cha mifugo umeondolewa ushuru, Huku ushuru wa petroli na mafuta taa ukiongezwa. Bidhaa za mafuta ya urembo zikiwekewa ushuru wa asilimia kumi kwa mara ya kwanza.
Waziri ametenga shilingi bilioni 4.3 kwa huduma za bure za wanawake wajawazito kujifungua,milioni 19.7 kwa maandalizi ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2017 na shilingi milioni 7.9 kwa watoto mayatima.


Nchini Tanzania makadirio ya bajeti ya mwaka 2016 na 2017 ni trilioni 29,5 pesa za Tanzania ikiizidi bajeti ya mwaka wa 2015 na 2016 kwa trilioni 7.1.
Waziri wa Fedha nchini Tanzania Phillip Mpango alisema kuwa kati ya fedha hizo, Shilingi trilioni 18.46 zitatokana na jumla ya mapato ya ndani.
Kiwango hicho kimezidi shilingi trilioni 3.64 za bajeti iliyopita ambayo ililenga kukusanya shilingi trilioni 4.82.
Shilingi trilioni 17.72 zitakuwa kwa ajili ya matumizi ya kawaida, huku trilioni 11.82 sawa na asilimia 40 ya bajeti nzima, zikitengwa kwa ajili ya shughuli za maendeleo.
Bwana Mpango alisema washirika wa maendeleo wanatarajiwa kuchangia shilingi trilioni 3.6, ikiwa ni ongezeko la shilingi trilioni 1.7 ikilinganishwa na shilingi trilioni 1.88 zilizokuwa zinategemewa kwenye bajeti iliyopita.
Makadirio ya bajeti nchini Uganda mwaka 2016 na 2017 iliyosomwa leo ni ya jumla ya dola bilion 7.5 ambayo ni sawa na trillioni 27. 3 pesa za Uganda, tofauti na bajeti ya mwaka uliopita ya mwaka 2015 na 2016 ambayo ilikuwa ni dola bilioni 6.9.
Bajei kubwa mwaka huu nchini Uganda imeelekezwa kwa wizara ya kazi na uchukuzi ambayo ilipewa dola blioni 1.1 huku wizara ya ulinzia ikipewa dola milioni 435. Wizara ya afya imepata dola milioni 525.
Wizara ya nishati na maendeleo ya madini ilipata dola milioni 695 huku Wizara ya kilimo ambayo nidiyo muhimu nchi Uganda ikiewa dola milioni 522.

Makadirio ya bajeti Kenya,Tanzania na Uganda yakamilika


Nchini kenya waziri wa fedha Henry Rotich leo amewasilisha bungeni bajeti ya makadirio ya matumizi ya pesa za serikali katika kipindi cha mwaka 2016-2017.
Bajeti hiyo ya jumla ya shilingi trilioni 2.26 inatarajiwa kufadhiliwa kupitia ukusanyaji wa ushuru na mikopo kutoka kwa washirika wa kimaendeleo. Serikali inalenga kukopa shilingi bilioni 778 hatua ambayo itaongeza deni la kenya ambalo kufikia sasa ni shilingi trilioni 3.32.
Matumizi zaidi itaelekezwa kwa ujenzi wa miundo mbinu ikiwa ni pamoja ujenzi wa reli ya kisasa, kuimarisha usalama, huduma za afya na pia kuziwezesha serikali za majimbo.
Kama ilivyo ada bajeti inaposomwa kuna wale wa wanaofaidi na wale wanaopoteza. Gesi ya kupikia na chakula cha mifugo umeondolewa ushuru, Huku ushuru wa petroli na mafuta taa ukiongezwa. Bidhaa za mafuta ya urembo zikiwekewa ushuru wa asilimia kumi kwa mara ya kwanza.
Waziri ametenga shilingi bilioni 4.3 kwa huduma za bure za wanawake wajawazito kujifungua,milioni 19.7 kwa maandalizi ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2017 na shilingi milioni 7.9 kwa watoto mayatima.


Nchini Tanzania makadirio ya bajeti ya mwaka 2016 na 2017 ni trilioni 29,5 pesa za Tanzania ikiizidi bajeti ya mwaka wa 2015 na 2016 kwa trilioni 7.1.
Waziri wa Fedha nchini Tanzania Phillip Mpango alisema kuwa kati ya fedha hizo, Shilingi trilioni 18.46 zitatokana na jumla ya mapato ya ndani.
Kiwango hicho kimezidi shilingi trilioni 3.64 za bajeti iliyopita ambayo ililenga kukusanya shilingi trilioni 4.82.
Shilingi trilioni 17.72 zitakuwa kwa ajili ya matumizi ya kawaida, huku trilioni 11.82 sawa na asilimia 40 ya bajeti nzima, zikitengwa kwa ajili ya shughuli za maendeleo.
Bwana Mpango alisema washirika wa maendeleo wanatarajiwa kuchangia shilingi trilioni 3.6, ikiwa ni ongezeko la shilingi trilioni 1.7 ikilinganishwa na shilingi trilioni 1.88 zilizokuwa zinategemewa kwenye bajeti iliyopita.
Makadirio ya bajeti nchini Uganda mwaka 2016 na 2017 iliyosomwa leo ni ya jumla ya dola bilion 7.5 ambayo ni sawa na trillioni 27. 3 pesa za Uganda, tofauti na bajeti ya mwaka uliopita ya mwaka 2015 na 2016 ambayo ilikuwa ni dola bilioni 6.9.
Bajei kubwa mwaka huu nchini Uganda imeelekezwa kwa wizara ya kazi na uchukuzi ambayo ilipewa dola blioni 1.1 huku wizara ya ulinzia ikipewa dola milioni 435. Wizara ya afya imepata dola milioni 525.
Wizara ya nishati na maendeleo ya madini ilipata dola milioni 695 huku Wizara ya kilimo ambayo nidiyo muhimu nchi Uganda ikiewa dola milioni 522.

Chuo kikuu cha Dodoma
Wanafunzi katika chuo kikuu cha Dodoma nchini Tanzania wamefukuzwa chuoni humo baada ya kuzuka kwa mgogoro kati ya serikali na wahadhiri wa chuo hicho.
Wanafunzi hao waliagizwa kuondoka katika chuo hicho kufikia saa kumi na mbili jioni siku ya Jumapili.

Ilani
Ilani hiyo imesema kuwa kulikuwa na makosa katika mafunzo ya wanafunzi wanaosomea shahada ya elimu ikiwemo sayansi,hesabati,teknolojia hivyobasi serikali imewataka wanafaunzi hao kuondoka chuoni humo hadi ilani nyengine itakapotolewa.
Maelezo kuhusu mgogoro huo kati ya wahadhiri wa chuo hicho na serikali hayajulikani.

WANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA DODOMA WAFUKUZWA

Chuo kikuu cha Dodoma
Wanafunzi katika chuo kikuu cha Dodoma nchini Tanzania wamefukuzwa chuoni humo baada ya kuzuka kwa mgogoro kati ya serikali na wahadhiri wa chuo hicho.
Wanafunzi hao waliagizwa kuondoka katika chuo hicho kufikia saa kumi na mbili jioni siku ya Jumapili.

Ilani
Ilani hiyo imesema kuwa kulikuwa na makosa katika mafunzo ya wanafunzi wanaosomea shahada ya elimu ikiwemo sayansi,hesabati,teknolojia hivyobasi serikali imewataka wanafaunzi hao kuondoka chuoni humo hadi ilani nyengine itakapotolewa.
Maelezo kuhusu mgogoro huo kati ya wahadhiri wa chuo hicho na serikali hayajulikani.
MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO ULIOFANYIKA TAREHE 25/05/2016 KATIKA OFISI ZA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA - MBEZI JUU 

KWA KUZINGATIA MATOKEO HAYO WANAOSTAHILI KUHUDHURIA USAILI WA KUJIELEZA UTAKAOFANYIKA TAREHE 26/05/2016 KATIKA OFISI ZA BARAZA LA MITIHANI MKABALA NA TBC KUANZIA SAA 1.30 ASUBUHI NI WAFUATAO:

  1. KADA YA EXAMINATIONS OFFICER II - CHEMISTRY – WASAILIWA WALIOSHIKA NAFASI YA 1 – 6
  2. KADA YA EXAMINATIONS OFFICER II - BIOLOGY – WASAILIWA WALIOSHIKA NAFASI YA 1 – 6
  3. KADA YA OFFICE ASSISTANT II – WASAILIWA WALIOSHIKA NAFASI YA 1 – 4 
WASAILIWA WOTE WANATAKIWA KUFIKA NA VYETI HALISI (ORIGINAL CERTIFICATES) KUANZIA KIDATO CHA NNE, SITA, STASHAHADA, STASHAHADA YA JUU, SHAHADA NA KUENDELEA KUTEGEMEANA NA SIFA ZA MUOMBAJI.



Matokeo ya usaili wa mchujo uliofanyika tarehe 25/05/2016 katika ofisi za baraza la mitihani la tanzania

MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO ULIOFANYIKA TAREHE 25/05/2016 KATIKA OFISI ZA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA - MBEZI JUU 

KWA KUZINGATIA MATOKEO HAYO WANAOSTAHILI KUHUDHURIA USAILI WA KUJIELEZA UTAKAOFANYIKA TAREHE 26/05/2016 KATIKA OFISI ZA BARAZA LA MITIHANI MKABALA NA TBC KUANZIA SAA 1.30 ASUBUHI NI WAFUATAO:

  1. KADA YA EXAMINATIONS OFFICER II - CHEMISTRY – WASAILIWA WALIOSHIKA NAFASI YA 1 – 6
  2. KADA YA EXAMINATIONS OFFICER II - BIOLOGY – WASAILIWA WALIOSHIKA NAFASI YA 1 – 6
  3. KADA YA OFFICE ASSISTANT II – WASAILIWA WALIOSHIKA NAFASI YA 1 – 4 
WASAILIWA WOTE WANATAKIWA KUFIKA NA VYETI HALISI (ORIGINAL CERTIFICATES) KUANZIA KIDATO CHA NNE, SITA, STASHAHADA, STASHAHADA YA JUU, SHAHADA NA KUENDELEA KUTEGEMEANA NA SIFA ZA MUOMBAJI.



Taarifa hii ilitolewa baada ya ile ya siku sitini zilizotolewa na bodi iliyowataka wanufaika hao wa mkopo kutoka chombo hicho chenye dhamana ya kutoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu wenye uhitaji wa mikopo kwa ajili ya kukidhi mahitaji yao ya chakula, malazi na ada, ikiwataka kuanza mara moja kurejesha mkopo huo na kwa wale ambao bado hawajawasiliana na bodi kwa ajili basi wafanya hivyo ndani ya ssiku 30 zilizoongezwa.
Soma taarifa yote hapa ...

Taarifa ya bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu (HESLB) kwa wadaiwa

Taarifa hii ilitolewa baada ya ile ya siku sitini zilizotolewa na bodi iliyowataka wanufaika hao wa mkopo kutoka chombo hicho chenye dhamana ya kutoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu wenye uhitaji wa mikopo kwa ajili ya kukidhi mahitaji yao ya chakula, malazi na ada, ikiwataka kuanza mara moja kurejesha mkopo huo na kwa wale ambao bado hawajawasiliana na bodi kwa ajili basi wafanya hivyo ndani ya ssiku 30 zilizoongezwa.
Soma taarifa yote hapa ...

Mitambo ya kampuni ya SIETCO ya raia wa China ikiwa kazini katika ujenzi wa barabara hiyo  

 Mitambo ya kampuni ya SIETCO ya raia wa China ikiwa kazini katika ujenzi wa barabara hiyo 



Mitambo ya kampuni ya SIETCO ya raia wa China ikiwa kazini katika ujenzi wa barabara hiyo  

Mitambo ya kampuni ya SIETCO ya raia wa China ikiwa kazini katika ujenzi wa barabara hiyo 

Ujenzi wa barabara kwa kiwango cha Lami katika mji wa Ludewa kuunganisha na Ludewa Kijijini inaendelea kwa kasi kubwa kutokana na kampuni ya kichina ya SIETCO kufanya kazi hiyo vizuri katika maeneo mengine na hatimaye kupewa tenda nyingine tena ya ujenzi wa maeneo ya mlima unaotoka katika mtaa wa Mkondachi na kuelekea Ludewa Kijijini,

Endelea kutembela mtandao huu ili kupata habari kamili ya ujenzi wa barabara ya Lami wilayani Ludewa.

Imeandaliwa na Nickson Mahundi

Ujenzi wa barabara ya lami waendelea kwa kasi Wilayani Ludewa


Mitambo ya kampuni ya SIETCO ya raia wa China ikiwa kazini katika ujenzi wa barabara hiyo  

 Mitambo ya kampuni ya SIETCO ya raia wa China ikiwa kazini katika ujenzi wa barabara hiyo 



Mitambo ya kampuni ya SIETCO ya raia wa China ikiwa kazini katika ujenzi wa barabara hiyo  

Mitambo ya kampuni ya SIETCO ya raia wa China ikiwa kazini katika ujenzi wa barabara hiyo 

Ujenzi wa barabara kwa kiwango cha Lami katika mji wa Ludewa kuunganisha na Ludewa Kijijini inaendelea kwa kasi kubwa kutokana na kampuni ya kichina ya SIETCO kufanya kazi hiyo vizuri katika maeneo mengine na hatimaye kupewa tenda nyingine tena ya ujenzi wa maeneo ya mlima unaotoka katika mtaa wa Mkondachi na kuelekea Ludewa Kijijini,

Endelea kutembela mtandao huu ili kupata habari kamili ya ujenzi wa barabara ya Lami wilayani Ludewa.

Imeandaliwa na Nickson Mahundi
 Hiki ndicho kituo cha watoto waishio katika  mazingira hatarishi na wenye ulemavu wa ngozi wilayani Ludewa

Mkurugenzi mtendaji wa NICOPOLIS ACADEMY Bw.Augustino Mwinuka akisoma ripoti ya kituo hicho na changamoto zake 


viwanja vya watoto vya kituo cha NICOPOLIS ACADEMY 
Raia wa Ujerumani wakiwa na wenyeji wao katika kituo cha NICOPOLIS ACADEMY 
PROF; LUDWIG GERNHARDT  raia wa ujerumani akiwatambulisha alioongozana nao na kueleza dhumuni la msaada wake
Watoto wenye ulemavu wa Ngozi wanaotunzwa katika kituo hicho 
Mwenyeji wa Wajerumani hao Bw.Willybad Mwinuka akiwakaribisha wageni wake 
  PROF; LUDWIG GERNHARDT akitoa zawadi kwa watoto hao
Ngoma ya saili ya Mganda kutoka Boma la Mzalendo ikitumbuiza katika ugeni huo 




 Mkurugenzi wa kituo hicho na wageni wake wakifuatilia burudani kutoka katika vikundi vya ngoma


Kituo cha watoto waishio katika mazingira hatarishi na wenye ulemavu wa ngozi kijulikanacho kwa jina la NICOPOLIS ACADEMY PRE and PRIMARY ENGLISH MEDIUM SCHOOL kilichoko wilayani Ludewa katika mkoa wa Njombe ambacho kinakabiliwa na changamoto kubwa ya fedha ya uendeshaji wa kituo hicho hivi karibuni kiliweza kutembelea na raia wa Ujeruman na kujua changamoto zao.


Akiwakaribisha wageni hao kutoka nchini Ujeruman ambao ni familia ya  Mkurugenzi PROF; LUDWIG GERNHARDT mtendaji wa kituo hicho Bw.Augustino Mwinuka alisema kuwa kituo hicho ambacho kinaonesha kuwa msaada mkubwa kwa jamii ya Ludewa kwa siku za mbeleni kimekuwa kikiendeshwa kwa michango ya wafadhiri wan je ya nchi na ndani japokuwa ni kidogo lakini hakuna namna.


Bw.Mwinuka alisema kuwa PROF; LUDWIG GERNHARDT  amekuwa msaada mkubwa kwani mpaka sasa kuna baadhi ya vitu ambavyo ameshakisaidia kituo hicho kama vile vitanda kumi double deck na magodoro yake,vitanda viwili vya watumishi na magodoro yake,meza mbili na viti vitano vya ofisini,viti ishirini vya wanafunzi.


Vifaa vingine ni blanket ishirini na mashuka ishirini ya wanafunzi komputa moja na modem moja,vitabu vyenye thamani ya shilingi laki mbili,kuku jogoo mmoja,mbuzi mmoja,mayai arobaini na nane na lita tano za Asali hivyo kukifanya kituo hicho kupata ahueni ya namna ya kujiendesha.


“Kituo chetu ni kichanga lakini ni msaada mkubwa kwa wanaludewa kwani mpaka sasa limeshakuwa kimbilio la wengi ingawa bado tunakabiliwa na changamoto kubwa ya ukosefu wa fedha za kununulia mahitaji kwaajili ya watoto hawa hivyo tunaiomba jamii kutuunga mkono kwani ni kituo pekee wilayani Ludewa kinachoendeshwa na watu binafsi na kwa michango ya wadau”,alisema Bw.Mwinuka. 


Bw.Mwinuka alisema kuwa uongozi wa kituo hicho umeamua kuanza ufyatuaji wa tofari kwaajili ya kujengea mabweni ya wanafunzi ndani ya mwaka huu kwani kituo kinatarajia kupokea wanafunzi zaidi ya 200 baada ya miaka miwili kwani uhitaji wa watoto kuomba nafasi katika kituo hicho ni mkubwa lakini wameshindwa kuwapokeakutokana na ukweli kwamba hakuna vyumba vya kuwalaza.


Mkurugenzi wa kituo hicho anawaomba wananchi na wadau mbalimbali kuchangia kwa hali na mali ili kuweza kukamilisha ujenzi wa mabweni hayo kwani watoto hao mpaka sasa wanaishi katika nyumba ya mtu ambako kituo kimelazimika kuikodi na kuiweka kama bweni la watoto hao.


Akiongea na wananchi pamoja na uongozi wa kituo hicho hivi karibuni alisema kuwa PROF; LUDWIG GERNHARDT  baada ya kuombwa msaada wa kuchangia kituo cha  NICOPOLIS ACADEMY aliguswa na changamoto wanazokabiliana nazo hivyo yeye na familia yake waliona ni vyema wakajitolea msaada huo.


PROF; LUDWIG GERNHARDT alisema kuwa imekuwa kawaida yeye kutoa misaada mbalimbali katika nchi ya Tanzania hasa wilaya ya Ludewa katika vikundi na shule mbalimbali lakini mara nyingine anavunjika moyo pale anapoona misaada hiyo haitumiki kama ilivyoombwa na walengwa.


Aliwaasa viongozi wa kituo hicho kutoshawishika na wengine wenye nia ovu na misaada ya wafadhiri badala yake waendelee kuwaomba wadau mbalimbali katika kuhakikisha watoto hawa wenye mazingira hatarishi na wenye ulemavu wa ngozi wanapata maisha bora hivyo ataendelea kuunga mkono juhudi hizo ambazo zimeanza vizuri na zinaonekana kwa macho.


Aidha mwenyeji wa Wajerumani hao nchini Tanzania ambaye ndiye alikuwa akiwatembeza maeneo mbalimba nchi Bw.Willbad Mwinuka alisema kuwa ugeni huo umekuwa ni ugeni wa Baraka kubwa wilayani Ludewa kwani ni miaka mingi hivi sasa wamekuwa wakitoa misaada mbalimbali hasa katika kuwalipia ada za shule watoto wanaoishi mazingira hatarishi.


Bw.Mwinuka alitoa angalisho kuwa wale wote wanaopata misaada na vitu mbalimbali kutoka kwa Mjerumani huyo wanapaswa kufikishwa kwa walengwa kama vilivyo ili kumtia moyo mfadhiri kuendelea kuifadhiri wilaya ya Ludewa pia jamii inayoguswa na uwepo wa watoto hao inapaswa kujitolea na sio kusubiri kutoka kwa wenzetu wan je ya nchi kwani iko siku moja watasitisha kutusaidia.


Mwisho.


Mkurugenzi wa kituo  sim no 0765059184

Kituo chakulelea watoto waishio katika mazingira hatarishi Wilayani Ludewa chakabiliwa na changamoto lukuki

 Hiki ndicho kituo cha watoto waishio katika  mazingira hatarishi na wenye ulemavu wa ngozi wilayani Ludewa

Mkurugenzi mtendaji wa NICOPOLIS ACADEMY Bw.Augustino Mwinuka akisoma ripoti ya kituo hicho na changamoto zake 


viwanja vya watoto vya kituo cha NICOPOLIS ACADEMY 
Raia wa Ujerumani wakiwa na wenyeji wao katika kituo cha NICOPOLIS ACADEMY 
PROF; LUDWIG GERNHARDT  raia wa ujerumani akiwatambulisha alioongozana nao na kueleza dhumuni la msaada wake
Watoto wenye ulemavu wa Ngozi wanaotunzwa katika kituo hicho 
Mwenyeji wa Wajerumani hao Bw.Willybad Mwinuka akiwakaribisha wageni wake 
  PROF; LUDWIG GERNHARDT akitoa zawadi kwa watoto hao
Ngoma ya saili ya Mganda kutoka Boma la Mzalendo ikitumbuiza katika ugeni huo 




 Mkurugenzi wa kituo hicho na wageni wake wakifuatilia burudani kutoka katika vikundi vya ngoma


Kituo cha watoto waishio katika mazingira hatarishi na wenye ulemavu wa ngozi kijulikanacho kwa jina la NICOPOLIS ACADEMY PRE and PRIMARY ENGLISH MEDIUM SCHOOL kilichoko wilayani Ludewa katika mkoa wa Njombe ambacho kinakabiliwa na changamoto kubwa ya fedha ya uendeshaji wa kituo hicho hivi karibuni kiliweza kutembelea na raia wa Ujeruman na kujua changamoto zao.


Akiwakaribisha wageni hao kutoka nchini Ujeruman ambao ni familia ya  Mkurugenzi PROF; LUDWIG GERNHARDT mtendaji wa kituo hicho Bw.Augustino Mwinuka alisema kuwa kituo hicho ambacho kinaonesha kuwa msaada mkubwa kwa jamii ya Ludewa kwa siku za mbeleni kimekuwa kikiendeshwa kwa michango ya wafadhiri wan je ya nchi na ndani japokuwa ni kidogo lakini hakuna namna.


Bw.Mwinuka alisema kuwa PROF; LUDWIG GERNHARDT  amekuwa msaada mkubwa kwani mpaka sasa kuna baadhi ya vitu ambavyo ameshakisaidia kituo hicho kama vile vitanda kumi double deck na magodoro yake,vitanda viwili vya watumishi na magodoro yake,meza mbili na viti vitano vya ofisini,viti ishirini vya wanafunzi.


Vifaa vingine ni blanket ishirini na mashuka ishirini ya wanafunzi komputa moja na modem moja,vitabu vyenye thamani ya shilingi laki mbili,kuku jogoo mmoja,mbuzi mmoja,mayai arobaini na nane na lita tano za Asali hivyo kukifanya kituo hicho kupata ahueni ya namna ya kujiendesha.


“Kituo chetu ni kichanga lakini ni msaada mkubwa kwa wanaludewa kwani mpaka sasa limeshakuwa kimbilio la wengi ingawa bado tunakabiliwa na changamoto kubwa ya ukosefu wa fedha za kununulia mahitaji kwaajili ya watoto hawa hivyo tunaiomba jamii kutuunga mkono kwani ni kituo pekee wilayani Ludewa kinachoendeshwa na watu binafsi na kwa michango ya wadau”,alisema Bw.Mwinuka. 


Bw.Mwinuka alisema kuwa uongozi wa kituo hicho umeamua kuanza ufyatuaji wa tofari kwaajili ya kujengea mabweni ya wanafunzi ndani ya mwaka huu kwani kituo kinatarajia kupokea wanafunzi zaidi ya 200 baada ya miaka miwili kwani uhitaji wa watoto kuomba nafasi katika kituo hicho ni mkubwa lakini wameshindwa kuwapokeakutokana na ukweli kwamba hakuna vyumba vya kuwalaza.


Mkurugenzi wa kituo hicho anawaomba wananchi na wadau mbalimbali kuchangia kwa hali na mali ili kuweza kukamilisha ujenzi wa mabweni hayo kwani watoto hao mpaka sasa wanaishi katika nyumba ya mtu ambako kituo kimelazimika kuikodi na kuiweka kama bweni la watoto hao.


Akiongea na wananchi pamoja na uongozi wa kituo hicho hivi karibuni alisema kuwa PROF; LUDWIG GERNHARDT  baada ya kuombwa msaada wa kuchangia kituo cha  NICOPOLIS ACADEMY aliguswa na changamoto wanazokabiliana nazo hivyo yeye na familia yake waliona ni vyema wakajitolea msaada huo.


PROF; LUDWIG GERNHARDT alisema kuwa imekuwa kawaida yeye kutoa misaada mbalimbali katika nchi ya Tanzania hasa wilaya ya Ludewa katika vikundi na shule mbalimbali lakini mara nyingine anavunjika moyo pale anapoona misaada hiyo haitumiki kama ilivyoombwa na walengwa.


Aliwaasa viongozi wa kituo hicho kutoshawishika na wengine wenye nia ovu na misaada ya wafadhiri badala yake waendelee kuwaomba wadau mbalimbali katika kuhakikisha watoto hawa wenye mazingira hatarishi na wenye ulemavu wa ngozi wanapata maisha bora hivyo ataendelea kuunga mkono juhudi hizo ambazo zimeanza vizuri na zinaonekana kwa macho.


Aidha mwenyeji wa Wajerumani hao nchini Tanzania ambaye ndiye alikuwa akiwatembeza maeneo mbalimba nchi Bw.Willbad Mwinuka alisema kuwa ugeni huo umekuwa ni ugeni wa Baraka kubwa wilayani Ludewa kwani ni miaka mingi hivi sasa wamekuwa wakitoa misaada mbalimbali hasa katika kuwalipia ada za shule watoto wanaoishi mazingira hatarishi.


Bw.Mwinuka alitoa angalisho kuwa wale wote wanaopata misaada na vitu mbalimbali kutoka kwa Mjerumani huyo wanapaswa kufikishwa kwa walengwa kama vilivyo ili kumtia moyo mfadhiri kuendelea kuifadhiri wilaya ya Ludewa pia jamii inayoguswa na uwepo wa watoto hao inapaswa kujitolea na sio kusubiri kutoka kwa wenzetu wan je ya nchi kwani iko siku moja watasitisha kutusaidia.


Mwisho.


Mkurugenzi wa kituo  sim no 0765059184
Maji maji Selebuka ni tamasha linaloandaliwa na Kampuni binafsi iitwayo Tanzania Mwandi ikishirikiana na shirika lisilo la kiserikali liitwalo Songea Mississippi (SO-MI). Shirika hili linahusika na mambo ya maendeleo ya jamii na elimu kwa wanaSongea kwa ushirikiano kati ya Songea Tanzania na Mississippi Marekani tangu lilipoanzishwa 2008.

Tamasha la Majimaji Selebuka 2016 linahusisha mambo yafuatayo;
  1. Mbio za nyika (Marathon)
  2. Mbio za baiskeli (Cycling)
  3. Ngoma za asili (Traditional Dances)
  4. Mdahalo wa shule za sekondari (Schools debate)
  5. Maonyesho ya ujasiliamali na biashara (Trade fair and entreprenuership)
  6. Utalii wa ndani (Local tourism)
Mwaka huu tamasha la Majimaji Selebuka litafanyika kuanzia tarehe 28 Mei hadi tarehe 04 Juni 2016 katika viwanja vya Makumbusho ya Mashujaa wa vita vya majimaji mjini Songea katika mkoa wa Ruvuma Tanzania.

Tamasha hili linafanywa kwa lengo la:
  1. Kuibua vipaji na kuviendeleza kupitia michuano ya kimichezo. Kutakuwa na mashindano ya Mbio za Nyika(Marathon) 42km, 21km, 10km na 5km(Run for fun), na Mbio za baiskeli ambazo tunaamini kwa mwaka huu zitakuwa za aina yake kwa sababu tunategemea kupata washiriki wa mbio za baiskeli kutoka nchi za jirani kama Rwanda.
  2. Kuibua na kutambua fursa za kiuchumi hasa kwa wajasiriamali wa mkoa wa Ruvuma kupitia maonyesho ya shughuli za wajasiriamali pamoja na biashara katika viwanja vya Makumbusho ya vita vya majimaji kwa siku saba mfululizo kuanzia tarehe 28 Mei hadi tarehe 04 Juni 2016. Lengo likiwa ni kupanua soko la wajasiriamali kwa watu tofauti kwani kutakuwa na wageni mbali mbali kutoka ndani na nje ya nchi.
  3. Tamasha pia linalenga kuiendeleza elimu kupitia midahalo wa shule za sekondari.Katika kipengele hiki wanafunzi kutoka shule mbalimbali kutoka ndani na nje ya mkoa wa Ruvuma, watapata nafasi ya kuchuana katika mdahalo ulioandaliwa na waratibu wa tamasha hili la Majimaji Selebuka. Mdahalo utafanyika tarehe 01 mpaka tarehe 02 Juni, 2016.
  4. Pia tamasha linalenga kuibua fursa za kiutalii zanazopatikana mko wa Ruvuma kupitia Utalii wa ndani.
Tutaanza tamasha kwa Mbio za Nyika (Marathon) ambazo zitafanyika siku ya ufunguzi tarehe 28 Mei 2016 kuanzia saa 12 asubuhi. Na tutafunga dimba kwa Mbio za baiskeli siku ya kilele cha tamasha la Majimaji Selebuka tarehe 04 Juni 2016. Ulinzi na usalama utakuwepo wa kutosha hivyo watu wasiwe na wasiwasi juu ya hilo.

Zawadi mbalimbali zitatolewa kwa washindi watakaoshiriki katika Tamasha la Majimaji Selebuka 2016. Kama vile Medali, Vikombe, Ngao, Vyeti,Fedha taslimu pamoja na zawadi nyingine kutoka kwa wadhamini wa kila tukio. Lakini pia kwa washindi watatu wa mbio za baiskeli watapata nafasi ya kwenda nchini Rwanda kwa ajili ya mafunzo ya mbio za baiskeli za kimataifa.

Kwa sasa fomu za ushiriki zinapatikana kwenye tovuti yetu ambayo niwww.somi.international kwenye kipengere cha ‘DOWNLOADS’ hivyo basi kila mtu popote alipo anaweza kuingia na kuzichukua mda wowote anaotaka yeye.
Ada ya kushiriki katika tamasha itakuwa kama ifuatavyo;
  • Mbio za Nyika (Marathon); 42km – 10000/=, 21km – 5000/=, 10km – 3000/= na 5km(Run for fun) - Bure
  • Mbio za baiskeli; 50km – 10000/=
  • Ngoma za asili; kila kikundi – 10000/=
  • Maonyesho ya ujasiliamali; Kikundi – 50000/=, Mtu mmojammoja – 10000/=

Kwa maelezo zaidi tafadhari tembelea website zifuatazo;
Songea Mississippi; www.somi.international
Tanzania Mwandi; www.tanzaniamwandi.com


Imeandaliwa na;
Reinafrida M Rwezaura
Mratibu wa tamasha la Majimaji Selebuka

Maandalizi ya tamasha la Maji Maji Selebuka yazidi kupamba moto zikiwa zimebaki wiki mbili kuanza.

Maji maji Selebuka ni tamasha linaloandaliwa na Kampuni binafsi iitwayo Tanzania Mwandi ikishirikiana na shirika lisilo la kiserikali liitwalo Songea Mississippi (SO-MI). Shirika hili linahusika na mambo ya maendeleo ya jamii na elimu kwa wanaSongea kwa ushirikiano kati ya Songea Tanzania na Mississippi Marekani tangu lilipoanzishwa 2008.

Tamasha la Majimaji Selebuka 2016 linahusisha mambo yafuatayo;
  1. Mbio za nyika (Marathon)
  2. Mbio za baiskeli (Cycling)
  3. Ngoma za asili (Traditional Dances)
  4. Mdahalo wa shule za sekondari (Schools debate)
  5. Maonyesho ya ujasiliamali na biashara (Trade fair and entreprenuership)
  6. Utalii wa ndani (Local tourism)
Mwaka huu tamasha la Majimaji Selebuka litafanyika kuanzia tarehe 28 Mei hadi tarehe 04 Juni 2016 katika viwanja vya Makumbusho ya Mashujaa wa vita vya majimaji mjini Songea katika mkoa wa Ruvuma Tanzania.

Tamasha hili linafanywa kwa lengo la:
  1. Kuibua vipaji na kuviendeleza kupitia michuano ya kimichezo. Kutakuwa na mashindano ya Mbio za Nyika(Marathon) 42km, 21km, 10km na 5km(Run for fun), na Mbio za baiskeli ambazo tunaamini kwa mwaka huu zitakuwa za aina yake kwa sababu tunategemea kupata washiriki wa mbio za baiskeli kutoka nchi za jirani kama Rwanda.
  2. Kuibua na kutambua fursa za kiuchumi hasa kwa wajasiriamali wa mkoa wa Ruvuma kupitia maonyesho ya shughuli za wajasiriamali pamoja na biashara katika viwanja vya Makumbusho ya vita vya majimaji kwa siku saba mfululizo kuanzia tarehe 28 Mei hadi tarehe 04 Juni 2016. Lengo likiwa ni kupanua soko la wajasiriamali kwa watu tofauti kwani kutakuwa na wageni mbali mbali kutoka ndani na nje ya nchi.
  3. Tamasha pia linalenga kuiendeleza elimu kupitia midahalo wa shule za sekondari.Katika kipengele hiki wanafunzi kutoka shule mbalimbali kutoka ndani na nje ya mkoa wa Ruvuma, watapata nafasi ya kuchuana katika mdahalo ulioandaliwa na waratibu wa tamasha hili la Majimaji Selebuka. Mdahalo utafanyika tarehe 01 mpaka tarehe 02 Juni, 2016.
  4. Pia tamasha linalenga kuibua fursa za kiutalii zanazopatikana mko wa Ruvuma kupitia Utalii wa ndani.
Tutaanza tamasha kwa Mbio za Nyika (Marathon) ambazo zitafanyika siku ya ufunguzi tarehe 28 Mei 2016 kuanzia saa 12 asubuhi. Na tutafunga dimba kwa Mbio za baiskeli siku ya kilele cha tamasha la Majimaji Selebuka tarehe 04 Juni 2016. Ulinzi na usalama utakuwepo wa kutosha hivyo watu wasiwe na wasiwasi juu ya hilo.

Zawadi mbalimbali zitatolewa kwa washindi watakaoshiriki katika Tamasha la Majimaji Selebuka 2016. Kama vile Medali, Vikombe, Ngao, Vyeti,Fedha taslimu pamoja na zawadi nyingine kutoka kwa wadhamini wa kila tukio. Lakini pia kwa washindi watatu wa mbio za baiskeli watapata nafasi ya kwenda nchini Rwanda kwa ajili ya mafunzo ya mbio za baiskeli za kimataifa.

Kwa sasa fomu za ushiriki zinapatikana kwenye tovuti yetu ambayo niwww.somi.international kwenye kipengere cha ‘DOWNLOADS’ hivyo basi kila mtu popote alipo anaweza kuingia na kuzichukua mda wowote anaotaka yeye.
Ada ya kushiriki katika tamasha itakuwa kama ifuatavyo;
  • Mbio za Nyika (Marathon); 42km – 10000/=, 21km – 5000/=, 10km – 3000/= na 5km(Run for fun) - Bure
  • Mbio za baiskeli; 50km – 10000/=
  • Ngoma za asili; kila kikundi – 10000/=
  • Maonyesho ya ujasiliamali; Kikundi – 50000/=, Mtu mmojammoja – 10000/=

Kwa maelezo zaidi tafadhari tembelea website zifuatazo;
Songea Mississippi; www.somi.international
Tanzania Mwandi; www.tanzaniamwandi.com


Imeandaliwa na;
Reinafrida M Rwezaura
Mratibu wa tamasha la Majimaji Selebuka
Siku ya tarehe 13 mwezi wa tatu mwaka huu bodi ya mikopo ilitoa tamko juu ya ulipaji wa mikopo kwa wanafunzio waliohitimu vyuo vikuu tangu mwaka 1994 juu ya urejeshaji wa mikopo hiyo. Tangazo hilo lilionyesha kuwa tamko hilo litaanza kufanya kazi siku iliyofuatia yaani tarehe 14 machi.
  1. Je, wamefanikisha kwa kiasi gani kukusanya mikopo hiyo kwa wadaiwa husika?
  2. Vipi kuhusu lengo lao la ukusanyaji wa bilioni nane kwa mwezi! limefanikiwa kwa kiasi gani?
  3. Na, je wadaiwa hao waliandaliwa kisaikolojia kuanza kulipa deni hilo kwa sasa kwa kipato wanachopata?
  4. Na wale wa sekta binafsi watarejesha kwa mtindo upi?
Hayo ni baadhi tu ya maswali ambayo nimekuwa nikijiuliza juu ya tamko hili ambalo inaonyesha limekuwa na utata kidogo kwa wadaiwa wenyewe kwani wengi wamekuwa wakilalamika juu ya hali ya maisha ya sasa ukilinganisha na kipato kidogo ambacho wamekuwa wakikipata. Pia ukiangalia kwa undani utagundua ni asimilimia ndogo sana ya wadaiwa wa mikopo hiyo wapo katika sekta binafsi na ajira zisizorasmi.

Kama hukubahatika kuliona tamko hilo la HESLB ifuatilie hapa ..

Siku 60 zilizotolewa na bodi ya mikopo ya elimu ya juu (HESLB) kwa wadaiwa zafika ukomo. Kifuatacho ...

Siku ya tarehe 13 mwezi wa tatu mwaka huu bodi ya mikopo ilitoa tamko juu ya ulipaji wa mikopo kwa wanafunzio waliohitimu vyuo vikuu tangu mwaka 1994 juu ya urejeshaji wa mikopo hiyo. Tangazo hilo lilionyesha kuwa tamko hilo litaanza kufanya kazi siku iliyofuatia yaani tarehe 14 machi.
  1. Je, wamefanikisha kwa kiasi gani kukusanya mikopo hiyo kwa wadaiwa husika?
  2. Vipi kuhusu lengo lao la ukusanyaji wa bilioni nane kwa mwezi! limefanikiwa kwa kiasi gani?
  3. Na, je wadaiwa hao waliandaliwa kisaikolojia kuanza kulipa deni hilo kwa sasa kwa kipato wanachopata?
  4. Na wale wa sekta binafsi watarejesha kwa mtindo upi?
Hayo ni baadhi tu ya maswali ambayo nimekuwa nikijiuliza juu ya tamko hili ambalo inaonyesha limekuwa na utata kidogo kwa wadaiwa wenyewe kwani wengi wamekuwa wakilalamika juu ya hali ya maisha ya sasa ukilinganisha na kipato kidogo ambacho wamekuwa wakikipata. Pia ukiangalia kwa undani utagundua ni asimilimia ndogo sana ya wadaiwa wa mikopo hiyo wapo katika sekta binafsi na ajira zisizorasmi.

Kama hukubahatika kuliona tamko hilo la HESLB ifuatilie hapa ..
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 11 Mei, 2016 amewasili Jijini Kampala nchini Uganda ambapo kesho anatarajiwa kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais Mteule wa Jamhuri ya Uganda Mheshimiwa Yoweri Kaguta Museveni.
Rais Magufuli ametua katika uwanja wa ndege wa Entebe majira ya saa tano za asubuhi na kupokelewa na Waziri wa Ujenzi na usafirishaji wa Uganda Mheshimiwa John Byabagambi na kisha kuelekea Ikulu ya Entebe ambako amepokelewa rasmi na mwenyeji wake Mheshimiwa Rais Yoweri Kaguta Museveni.
Akiwa katika Ikulu ya Entebe Rais Magufuli amekagua gwaride rasmi lililoandaliwa kwa heshima yake na pia amepigiwa mizinga 21.

Raisi J. P Magufuli kuhudhuria sherehe za kuapishwa raisi mpya wa Uganda

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 11 Mei, 2016 amewasili Jijini Kampala nchini Uganda ambapo kesho anatarajiwa kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais Mteule wa Jamhuri ya Uganda Mheshimiwa Yoweri Kaguta Museveni.
Rais Magufuli ametua katika uwanja wa ndege wa Entebe majira ya saa tano za asubuhi na kupokelewa na Waziri wa Ujenzi na usafirishaji wa Uganda Mheshimiwa John Byabagambi na kisha kuelekea Ikulu ya Entebe ambako amepokelewa rasmi na mwenyeji wake Mheshimiwa Rais Yoweri Kaguta Museveni.
Akiwa katika Ikulu ya Entebe Rais Magufuli amekagua gwaride rasmi lililoandaliwa kwa heshima yake na pia amepigiwa mizinga 21.

VACANCIES


Home
The University of Dar es Salaam (UDSM) invites applications from suitably qualified Tanzanians to be considered for immediate employment to fill the following vacant posts:
Click the link Here to see the Vacant Posts.

Nafasi za kazi chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM)

VACANCIES


Home
The University of Dar es Salaam (UDSM) invites applications from suitably qualified Tanzanians to be considered for immediate employment to fill the following vacant posts:
Click the link Here to see the Vacant Posts.

May 06 2016 Rais Magufuli alizungumza na wawananchi kwa nyakati tofauti katika mikoa ya Singida na Manyara wakati waliposimamisha msafara wake uliokuwa ukitoka Dodoma kwenda Arusha. Rais Magufuli alitoa maagizo kwa wafanyabiashara wanaoficha sukari kuanza kuisambaza mara moja, vinginevyo serikali itachukua hatua kali.

Sasa taarifa iliyotolewa leo jijini Dar es salaam na Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Valentine Mlolowa  kuwa Taasisi hiyo imeanza uchunguzi dhidi ya suala hilo kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi. 

TAKUKURU ilitembelea Maghala ya mfanyabiasha Haruni Daudi Zacharia ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Al-Naeem yaliyoko Mbagala na Tabata ambaye ni miongoni mwa wafanyabiashara wakubwa wa sukari hapa nchini na anayetuhumiwa kuficha bidhaa hiyo haya ndio waliyoyabaini…..

TAKUKURU imebaini kuwepo kwa njama za dhati za kutouza sukari iliyokutwa katika maghala hayo kulikofanywa na mfanyabiashara huyo kwani hata sehemu ya Maghala ilipo sukari hiyo hapakuwa na dalili za upakiaji wa sukari hiyo ili iweze kusambazwa

Katika eneo la Kitumbini kumekuwa na wananchi wengi wanaohitaji bidhaa hiyo na wachache sana waliweza kuuziwa licha ya ukweli kwamba sukari ilikuwepo.

Kumekuwepo na mikakati ya dhati iliyokuwa ikifanywa na mfanyabiasha huyo kwa kununua sukari yote toka viwanda vya ndani na kisha kuihifadhi na kuuza bidhaa hiyo kidogo kidogo kwa wastani wa tani 250 kwa siku wakati alikuwa na uwezo wa kuuza zaidi jambo lililochangia uhaba wa sukari katika soko.

Source. Jestina-George Blog

Shehena ya sukari tani 4579.2 zakutwa kwenye maghala Mbagala


May 06 2016 Rais Magufuli alizungumza na wawananchi kwa nyakati tofauti katika mikoa ya Singida na Manyara wakati waliposimamisha msafara wake uliokuwa ukitoka Dodoma kwenda Arusha. Rais Magufuli alitoa maagizo kwa wafanyabiashara wanaoficha sukari kuanza kuisambaza mara moja, vinginevyo serikali itachukua hatua kali.

Sasa taarifa iliyotolewa leo jijini Dar es salaam na Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Valentine Mlolowa  kuwa Taasisi hiyo imeanza uchunguzi dhidi ya suala hilo kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi. 

TAKUKURU ilitembelea Maghala ya mfanyabiasha Haruni Daudi Zacharia ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Al-Naeem yaliyoko Mbagala na Tabata ambaye ni miongoni mwa wafanyabiashara wakubwa wa sukari hapa nchini na anayetuhumiwa kuficha bidhaa hiyo haya ndio waliyoyabaini…..

TAKUKURU imebaini kuwepo kwa njama za dhati za kutouza sukari iliyokutwa katika maghala hayo kulikofanywa na mfanyabiashara huyo kwani hata sehemu ya Maghala ilipo sukari hiyo hapakuwa na dalili za upakiaji wa sukari hiyo ili iweze kusambazwa

Katika eneo la Kitumbini kumekuwa na wananchi wengi wanaohitaji bidhaa hiyo na wachache sana waliweza kuuziwa licha ya ukweli kwamba sukari ilikuwepo.

Kumekuwepo na mikakati ya dhati iliyokuwa ikifanywa na mfanyabiasha huyo kwa kununua sukari yote toka viwanda vya ndani na kisha kuihifadhi na kuuza bidhaa hiyo kidogo kidogo kwa wastani wa tani 250 kwa siku wakati alikuwa na uwezo wa kuuza zaidi jambo lililochangia uhaba wa sukari katika soko.

Source. Jestina-George Blog

Like, share and send to friends

Jiunge nasi