Wizi mbaya, akiona cha moto baada ya kuiba Shilingi elfu nne ya bosi wake.

on Thursday, July 21, 2016 - No comments:

Mtu mmoja amejikuta matatizoni nchini Kenya baada ya bosi wake kuchoshwa naa tabia zake za wizi. Waswahili wanasema za mwizi arobaini, na arobaini za jamaa huyu hazikuwa mbali baada ya kujikuta akibugia majani kama mnyama.
Baada ya sakata la wizi kutokea, mwajiri wake aliamua kutumia uungwana wa kumuuliza na ndipo kijana huyo alipokataa na bosi akampa tahadhari kuwa litakalomkuta ni shauri yake. Ndipo maswahibu hayo yakampata kijana huyo na kuudhihirishia uuma kuwa tabia za wiziwizi zilikuwa ni zake kwani asingepatwa na balaa hilo kama si mwizi.
Iangalie video hapa chini oone yaliyomkuta jamaa

Tagged as:
Unknown About Unknown

“You have no idea how much the last few days have meant to me," I began. "Meeting you has been the best thing that's ever happened to me.” Get the latest entertainment updates from Best Hope Media or call +255 655 987 588

Get Updates

Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.

Share This Post

Related posts

0 comments:

Like, share and send to friends