Taarifa hiyo iliripotiwa na mtandao huo tarehe 18 mwezi huu juu ya kifo cha mpandaji huyo wa mlima aliyeongozana na watu kadhaa akiwemo mke wake Letshego. Ziara hiyo ya kupanda mlima Kilimanjaro iliyojulikana kwa jina la Trek4Mandela iliyokuwa na lengo la kusaidia watoto waishio katika mazingira hatarishi.
Kuipata taarifa hiyo bofya hapa (Correction: South Africa-Climber Dies story)
0 comments: