Usiku wa ulaya unarudi tena leo pale ambapo miamba ya soka barani ulaya itachuana katika robo fainali raundi ya pili ili kupata timu zitakazofuzu kuingia hatua ya nusu fainali.
Real Madrid wanatakiwa wafunge zaidi ya magoli mawili kwa bila ili kuindoa Wolfsburg katika mashindano hayo.
Rekodi zinaonesha ni timu mbili tu ziliwahi kuvuka baada ya kufungwa mechi ya kwanza ugenini kwa magoli mawili ikiwemo Real Madrid yenyewe pale ilipogeuza matokeo na kuifunga Red Star Belgrade 1987.
Kwa upande mwingine ushindani utakua kati ya Man.City ya England na PSG ya Ufaransa baada ya mechi ya awali kuisha kwa sare ya magoli 2-2 iliyofanyika nchini Ufaransa.
Hii hapa ratiba ya leo mechi za marudiano robo fainali mabingwa ulaya.
Habari, Michezo, Siasa, Elimu, Muziki na Matangazo
KUSUKA AU KUNYOA ROBO FAINALI MABINGWA ULAYA RAUNDI YA PILI
on Tuesday, April 12, 2016
-
No comments:
Tagged as: Sports
About Unknown
“You have no idea how much the last few days have meant to me," I began. "Meeting you has been the best thing that's ever happened to me.” Get the latest entertainment updates from Best Hope Media or call +255 655 987 588
Get Updates
Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.
Share This Post
Related posts
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Like, share and send to friends
KARIBU
Popular Posts
-
KUWENI NA SUBIRA WADAU WETU TCU WAMEIONDOA ILE SELECTION STATUS FUATA HATUA HIZI ILI KUWEZA KUONA CHUO ULICHOCHAGULIWA Ingia kwenye website...
-
KUPATA MATOKEO YA DARASA LA SABA MWAKA 2015 BOFYA HAPA... (2015 RESULTS CLICK HERE) NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2013 E...
-
CHUO CHA UHASIBU ARUSHA CHATANGAZA MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA CHUO HICHO KATIKA FANI MBALIMBALI KWA MWAKA WA MASOMO 2012/2013 The...
-
Kupata matokeo ya kidato cha nne 2013 BOFYA HAPA Kupata matokeo ya QT 2013 BOFYA HAPA MATOKEO CSEE 2013 ...
-
S4567 SACRED HEART S4568 ROYAL S4569 ST MARIE EUGENIE S4570 MAGUNGU S4571 KIJUNGU S4572 IPWAGA S4573 UWANJA WA TAIFA S4574 ITONA S4575 MESSA...
-
MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2015 BOFYA HAPA Kupata matokeo hayo bofya hapo chini MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2013 (NATIONAL FORM FOUR RESUL...
-
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI MWAKA WA MASOMO 2012/2013 MAELEK...
-
Bofya hapa kuangalia matokeo ya darasa la saba Waweza pia kuchagua mkoa unaotaka kwa kubofya kwenye mkoa husika ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA ...
-
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa, anawatangazia vijana wenye sifa za kujiunga na mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa kwa kujitolea kwa mwaka 2...
-
The following candidates have been selected to join LGTI for the academic year 2013/2014 which starts on Saturday, the 24th of ...
0 comments: