What's New Here?

Showing posts with label udom. Show all posts
Showing posts with label udom. Show all posts

Waliochaguliwa Chuo Kikuu Dodoma 2016/2017 na online admission letters (Selected candidates UDOM 2016/2017)

WANACHUO 382 kati ya 7,805 waliokuwa wanasoma Stashahada Maalumu ya Ualimu wa Elimu ya Sekondari katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), wamerudishwa chuoni baada ya kukidhi vigezo vinavyotakiwa.
Aidha wanafunzi wengine 52 waliopata daraja la nne kinyume na matakwa ya programu hiyo hawataendelea na masomo kwa kuwa hawana sifa hiyo.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako alisema hayo Dar es Salaam jana, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu wanafunzi hao ambao walirejeshwa nyumbani na serikali Mei 28, mwaka huu. Profesa Ndalichako alisema baada ya hatua ya kuwaondoa wanafunzi hao chuoni kuchukuliwa, serikali ilifanya uchambuzi kwa lengo la kujiridhisha na sifa zao.
Alisema sifa zilizotakiwa ni ufaulu wa daraja la kwanza hadi la tatu na alama mbili au zaidi za ufaulu katika masomo ya Sayansi na Hisabati. Alisema wanafunzi hao waliorudishwa UDOM wana ufaulu wa daraja la kwanza hadi la pili, ambao pia wamefaulu masomo mawili ya sayansi kwa kiwango cha C – A. “Wanafunzi hao 382, wa mwaka wa kwanza ni 134 na wa mwaka wa pili ni 248. Hao ndio pekee watakaorudishwa katika Chuo Kikuu cha Dodoma ili wakamalizie mafunzo yao katika chuo hicho,” alisema.
Profesa Ndalichako alisema wanafunzi wengine 4,586 wa mwaka wa kwanza wa programu hiyo maalumu ya Stashahada ya Ualimu wa Elimu ya Sekondari waliokidhi vigezo vya ufaulu, watahamishiwa katika vyuo vya ualimu vya Morogoro, Butimba, Mpwapwa, Songea na Tukuyu kuendelea na masomo yao.
Vile vile wanafunzi 1,337 wa mwaka wa pili, watahamishiwa kwenye vyuo vya ualimu vya Korogwe na Kasulu kumalizia masomo yao. “Wanafunzi 290 waliokuwa wamedahiliwa kusoma programu maalumu ya Stashahada ya Ualimu wa Elimu ya Sekondari masomo ya Sayansi na Hisabati ambao hawana sifa stahiki wanashauriwa kuomba mafunzo yanayolingana na sifa walizonazo kwenye chuo chochote wanachotaka wao,” alisema Waziri huyo.

Idadi ya wanafunzi waliokidhi vigezo (CHuo kikuu Dodoma)yawa chini ya asilimia 5

WANACHUO 382 kati ya 7,805 waliokuwa wanasoma Stashahada Maalumu ya Ualimu wa Elimu ya Sekondari katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), wamerudishwa chuoni baada ya kukidhi vigezo vinavyotakiwa.
Aidha wanafunzi wengine 52 waliopata daraja la nne kinyume na matakwa ya programu hiyo hawataendelea na masomo kwa kuwa hawana sifa hiyo.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako alisema hayo Dar es Salaam jana, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu wanafunzi hao ambao walirejeshwa nyumbani na serikali Mei 28, mwaka huu. Profesa Ndalichako alisema baada ya hatua ya kuwaondoa wanafunzi hao chuoni kuchukuliwa, serikali ilifanya uchambuzi kwa lengo la kujiridhisha na sifa zao.
Alisema sifa zilizotakiwa ni ufaulu wa daraja la kwanza hadi la tatu na alama mbili au zaidi za ufaulu katika masomo ya Sayansi na Hisabati. Alisema wanafunzi hao waliorudishwa UDOM wana ufaulu wa daraja la kwanza hadi la pili, ambao pia wamefaulu masomo mawili ya sayansi kwa kiwango cha C – A. “Wanafunzi hao 382, wa mwaka wa kwanza ni 134 na wa mwaka wa pili ni 248. Hao ndio pekee watakaorudishwa katika Chuo Kikuu cha Dodoma ili wakamalizie mafunzo yao katika chuo hicho,” alisema.
Profesa Ndalichako alisema wanafunzi wengine 4,586 wa mwaka wa kwanza wa programu hiyo maalumu ya Stashahada ya Ualimu wa Elimu ya Sekondari waliokidhi vigezo vya ufaulu, watahamishiwa katika vyuo vya ualimu vya Morogoro, Butimba, Mpwapwa, Songea na Tukuyu kuendelea na masomo yao.
Vile vile wanafunzi 1,337 wa mwaka wa pili, watahamishiwa kwenye vyuo vya ualimu vya Korogwe na Kasulu kumalizia masomo yao. “Wanafunzi 290 waliokuwa wamedahiliwa kusoma programu maalumu ya Stashahada ya Ualimu wa Elimu ya Sekondari masomo ya Sayansi na Hisabati ambao hawana sifa stahiki wanashauriwa kuomba mafunzo yanayolingana na sifa walizonazo kwenye chuo chochote wanachotaka wao,” alisema Waziri huyo.
                                      THE UNIVERSITY OF DODOMA
            CERTIFICATE AND TRANSCRIPTS FOR -2012    COHORT GRADUATES
Be informed that Certificate & Transcripts for all those who  graduated on 21st & 22nd November 2012 can now be collected from the Admission Office – Central Administration Block of the University of Dodoma beginning from 17th April, 2013 during the following hours, 10.am – 4pm Mondays - Fridays.

Certificate and Transcripts shall be issued in person when ONE has submitted the following documents:
1.  A  valid  Photo  Identity  Card  e.g.  Employers  ID/  Passport/  Vote Registration Card/Bank Card / New Driver License / Tanzania ID card. 

2.  Bank payment slip for Tshs. 15,000/= Transcript fees and an additional of Tshs.  5,000  for  each certified  true  copy  (if  required)  as  per  Senate endorsement.  Payment  should  be  made  to CRDB  –  UDOM  Acc. 0IJ1083343300.

3.  Clearance  from  the  Bursar’s Office indicating that you have paid all outstanding debts to the University.


Issued by: The Office of the Deputy Vice Chancellor (Academic, Research and Consultancy) 12th  April,  2013 


Download this document here

CERTIFICATES AND TRANSCRIPT FOR - 2012 COHORT GRADUATES, THE UNIVERSITY OF DODOMA

                                      THE UNIVERSITY OF DODOMA
            CERTIFICATE AND TRANSCRIPTS FOR -2012    COHORT GRADUATES
Be informed that Certificate & Transcripts for all those who  graduated on 21st & 22nd November 2012 can now be collected from the Admission Office – Central Administration Block of the University of Dodoma beginning from 17th April, 2013 during the following hours, 10.am – 4pm Mondays - Fridays.

Certificate and Transcripts shall be issued in person when ONE has submitted the following documents:
1.  A  valid  Photo  Identity  Card  e.g.  Employers  ID/  Passport/  Vote Registration Card/Bank Card / New Driver License / Tanzania ID card. 

2.  Bank payment slip for Tshs. 15,000/= Transcript fees and an additional of Tshs.  5,000  for  each certified  true  copy  (if  required)  as  per  Senate endorsement.  Payment  should  be  made  to CRDB  –  UDOM  Acc. 0IJ1083343300.

3.  Clearance  from  the  Bursar’s Office indicating that you have paid all outstanding debts to the University.


Issued by: The Office of the Deputy Vice Chancellor (Academic, Research and Consultancy) 12th  April,  2013 


Download this document here

Like, share and send to friends

Jiunge nasi