Habari, Michezo, Siasa, Elimu, Muziki na Matangazo
What's New Here?
Showing posts with label udom. Show all posts
Showing posts with label udom. Show all posts
Waliochaguliwa Chuo Kikuu Dodoma 2016/2017 na online admission letters (Selected candidates UDOM 2016/2017)
WANACHUO 382 kati ya 7,805 waliokuwa wanasoma Stashahada Maalumu ya Ualimu wa Elimu ya Sekondari katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), wamerudishwa chuoni baada ya kukidhi vigezo vinavyotakiwa.
Aidha wanafunzi wengine 52 waliopata daraja la nne kinyume na matakwa ya programu hiyo hawataendelea na masomo kwa kuwa hawana sifa hiyo.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako alisema hayo Dar es Salaam jana, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu wanafunzi hao ambao walirejeshwa nyumbani na serikali Mei 28, mwaka huu. Profesa Ndalichako alisema baada ya hatua ya kuwaondoa wanafunzi hao chuoni kuchukuliwa, serikali ilifanya uchambuzi kwa lengo la kujiridhisha na sifa zao.
Alisema sifa zilizotakiwa ni ufaulu wa daraja la kwanza hadi la tatu na alama mbili au zaidi za ufaulu katika masomo ya Sayansi na Hisabati. Alisema wanafunzi hao waliorudishwa UDOM wana ufaulu wa daraja la kwanza hadi la pili, ambao pia wamefaulu masomo mawili ya sayansi kwa kiwango cha C – A. “Wanafunzi hao 382, wa mwaka wa kwanza ni 134 na wa mwaka wa pili ni 248. Hao ndio pekee watakaorudishwa katika Chuo Kikuu cha Dodoma ili wakamalizie mafunzo yao katika chuo hicho,” alisema.
Profesa Ndalichako alisema wanafunzi wengine 4,586 wa mwaka wa kwanza wa programu hiyo maalumu ya Stashahada ya Ualimu wa Elimu ya Sekondari waliokidhi vigezo vya ufaulu, watahamishiwa katika vyuo vya ualimu vya Morogoro, Butimba, Mpwapwa, Songea na Tukuyu kuendelea na masomo yao.
Vile vile wanafunzi 1,337 wa mwaka wa pili, watahamishiwa kwenye vyuo vya ualimu vya Korogwe na Kasulu kumalizia masomo yao. “Wanafunzi 290 waliokuwa wamedahiliwa kusoma programu maalumu ya Stashahada ya Ualimu wa Elimu ya Sekondari masomo ya Sayansi na Hisabati ambao hawana sifa stahiki wanashauriwa kuomba mafunzo yanayolingana na sifa walizonazo kwenye chuo chochote wanachotaka wao,” alisema Waziri huyo.
Idadi ya wanafunzi waliokidhi vigezo (CHuo kikuu Dodoma)yawa chini ya asilimia 5
WANACHUO 382 kati ya 7,805 waliokuwa wanasoma Stashahada Maalumu ya Ualimu wa Elimu ya Sekondari katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), wamerudishwa chuoni baada ya kukidhi vigezo vinavyotakiwa.
Aidha wanafunzi wengine 52 waliopata daraja la nne kinyume na matakwa ya programu hiyo hawataendelea na masomo kwa kuwa hawana sifa hiyo.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako alisema hayo Dar es Salaam jana, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu wanafunzi hao ambao walirejeshwa nyumbani na serikali Mei 28, mwaka huu. Profesa Ndalichako alisema baada ya hatua ya kuwaondoa wanafunzi hao chuoni kuchukuliwa, serikali ilifanya uchambuzi kwa lengo la kujiridhisha na sifa zao.
Alisema sifa zilizotakiwa ni ufaulu wa daraja la kwanza hadi la tatu na alama mbili au zaidi za ufaulu katika masomo ya Sayansi na Hisabati. Alisema wanafunzi hao waliorudishwa UDOM wana ufaulu wa daraja la kwanza hadi la pili, ambao pia wamefaulu masomo mawili ya sayansi kwa kiwango cha C – A. “Wanafunzi hao 382, wa mwaka wa kwanza ni 134 na wa mwaka wa pili ni 248. Hao ndio pekee watakaorudishwa katika Chuo Kikuu cha Dodoma ili wakamalizie mafunzo yao katika chuo hicho,” alisema.
Profesa Ndalichako alisema wanafunzi wengine 4,586 wa mwaka wa kwanza wa programu hiyo maalumu ya Stashahada ya Ualimu wa Elimu ya Sekondari waliokidhi vigezo vya ufaulu, watahamishiwa katika vyuo vya ualimu vya Morogoro, Butimba, Mpwapwa, Songea na Tukuyu kuendelea na masomo yao.
Vile vile wanafunzi 1,337 wa mwaka wa pili, watahamishiwa kwenye vyuo vya ualimu vya Korogwe na Kasulu kumalizia masomo yao. “Wanafunzi 290 waliokuwa wamedahiliwa kusoma programu maalumu ya Stashahada ya Ualimu wa Elimu ya Sekondari masomo ya Sayansi na Hisabati ambao hawana sifa stahiki wanashauriwa kuomba mafunzo yanayolingana na sifa walizonazo kwenye chuo chochote wanachotaka wao,” alisema Waziri huyo.
THE UNIVERSITY OF DODOMA
CERTIFICATE AND TRANSCRIPTS FOR -2012 COHORT GRADUATES
Be informed that Certificate & Transcripts for all those who graduated on 21st & 22nd November 2012 can now be collected from the Admission Office – Central Administration Block of the University of Dodoma beginning from 17th April, 2013 during the following hours, 10.am – 4pm Mondays - Fridays.
Certificate and Transcripts shall be issued in person when ONE has submitted the following documents:
1. A valid Photo Identity Card e.g. Employers ID/ Passport/ Vote Registration Card/Bank Card / New Driver License / Tanzania ID card.
2. Bank payment slip for Tshs. 15,000/= Transcript fees and an additional of Tshs. 5,000 for each certified true copy (if required) as per Senate endorsement. Payment should be made to CRDB – UDOM Acc. 0IJ1083343300.
3. Clearance from the Bursar’s Office indicating that you have paid all outstanding debts to the University.
Issued by: The Office of the Deputy Vice Chancellor (Academic, Research and Consultancy) 12th April, 2013
Download this document here
CERTIFICATE AND TRANSCRIPTS FOR -2012 COHORT GRADUATES
Be informed that Certificate & Transcripts for all those who graduated on 21st & 22nd November 2012 can now be collected from the Admission Office – Central Administration Block of the University of Dodoma beginning from 17th April, 2013 during the following hours, 10.am – 4pm Mondays - Fridays.
Certificate and Transcripts shall be issued in person when ONE has submitted the following documents:
1. A valid Photo Identity Card e.g. Employers ID/ Passport/ Vote Registration Card/Bank Card / New Driver License / Tanzania ID card.
2. Bank payment slip for Tshs. 15,000/= Transcript fees and an additional of Tshs. 5,000 for each certified true copy (if required) as per Senate endorsement. Payment should be made to CRDB – UDOM Acc. 0IJ1083343300.
3. Clearance from the Bursar’s Office indicating that you have paid all outstanding debts to the University.
Issued by: The Office of the Deputy Vice Chancellor (Academic, Research and Consultancy) 12th April, 2013
Download this document here
CERTIFICATES AND TRANSCRIPT FOR - 2012 COHORT GRADUATES, THE UNIVERSITY OF DODOMA
THE UNIVERSITY OF DODOMA
CERTIFICATE AND TRANSCRIPTS FOR -2012 COHORT GRADUATES
Be informed that Certificate & Transcripts for all those who graduated on 21st & 22nd November 2012 can now be collected from the Admission Office – Central Administration Block of the University of Dodoma beginning from 17th April, 2013 during the following hours, 10.am – 4pm Mondays - Fridays.
Certificate and Transcripts shall be issued in person when ONE has submitted the following documents:
1. A valid Photo Identity Card e.g. Employers ID/ Passport/ Vote Registration Card/Bank Card / New Driver License / Tanzania ID card.
2. Bank payment slip for Tshs. 15,000/= Transcript fees and an additional of Tshs. 5,000 for each certified true copy (if required) as per Senate endorsement. Payment should be made to CRDB – UDOM Acc. 0IJ1083343300.
3. Clearance from the Bursar’s Office indicating that you have paid all outstanding debts to the University.
Issued by: The Office of the Deputy Vice Chancellor (Academic, Research and Consultancy) 12th April, 2013
Download this document here
CERTIFICATE AND TRANSCRIPTS FOR -2012 COHORT GRADUATES
Be informed that Certificate & Transcripts for all those who graduated on 21st & 22nd November 2012 can now be collected from the Admission Office – Central Administration Block of the University of Dodoma beginning from 17th April, 2013 during the following hours, 10.am – 4pm Mondays - Fridays.
Certificate and Transcripts shall be issued in person when ONE has submitted the following documents:
1. A valid Photo Identity Card e.g. Employers ID/ Passport/ Vote Registration Card/Bank Card / New Driver License / Tanzania ID card.
2. Bank payment slip for Tshs. 15,000/= Transcript fees and an additional of Tshs. 5,000 for each certified true copy (if required) as per Senate endorsement. Payment should be made to CRDB – UDOM Acc. 0IJ1083343300.
3. Clearance from the Bursar’s Office indicating that you have paid all outstanding debts to the University.
Issued by: The Office of the Deputy Vice Chancellor (Academic, Research and Consultancy) 12th April, 2013
Download this document here
Subscribe to:
Posts (Atom)
Like, share and send to friends
KARIBU
Popular Posts
-
KUPATA MATOKEO YA DARASA LA SABA MWAKA 2015 BOFYA HAPA... (2015 RESULTS CLICK HERE) NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2013 E...
-
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI MWAKA WA MASOMO 2012/2013 MAELEK...
-
S4567 SACRED HEART S4568 ROYAL S4569 ST MARIE EUGENIE S4570 MAGUNGU S4571 KIJUNGU S4572 IPWAGA S4573 UWANJA WA TAIFA S4574 ITONA S4575 MESSA...
-
KUWENI NA SUBIRA WADAU WETU TCU WAMEIONDOA ILE SELECTION STATUS FUATA HATUA HIZI ILI KUWEZA KUONA CHUO ULICHOCHAGULIWA Ingia kwenye website...
-
Bofya hapa kuangalia matokeo ya darasa la saba Waweza pia kuchagua mkoa unaotaka kwa kubofya kwenye mkoa husika ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA ...
-
Thank you for your patience while our technical experts were solving technical glitches in our servers. Loans Allocation...
-
BACKGROUND INFORMATION Nurdin Bilali Ally Known by his Stage name Shetta was born on 16th July 1990 at Amana Hospital, Ilala,Dar es salaam. ...
-
Ikiwa ni miezi kazaa tangu vijana wa darasa la saba tangu wafanye mitihani yao ya kuhitimu darasa la saba muda ,muafaka ambao umekuwa ukingo...
-
Kupata matokeo ya kidato cha nne 2013 BOFYA HAPA Kupata matokeo ya QT 2013 BOFYA HAPA MATOKEO CSEE 2013 ...
-
MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2015 BOFYA HAPA Kupata matokeo hayo bofya hapo chini MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2013 (NATIONAL FORM FOUR RESUL...
