Ujumbe ulioandikwa nyuma ya gari unaohusicha imani ya kikristu na uchaguzi mkuu 2015 wawa gumzo facebook

on Wednesday, August 5, 2015 - No comments:

 
Huu ni ujumbe niliokutana nao leo katika mtandao wa kijamii wa facebook ambao umevuta hisia za watu wengi hasa wale kutoka dini ya kikristo.
Ujumbe huo umeandikwa katika lugha ya kiingereza lakini katika maana ya kishwahili tunaweza sema mwandishi alimaanisha "Haijalishi rahisi atakuwa nani, lakini Yesu atabaki kuwa mfalme.

Tagged as: , ,
Unknown About Unknown

“You have no idea how much the last few days have meant to me," I began. "Meeting you has been the best thing that's ever happened to me.” Get the latest entertainment updates from Best Hope Media or call +255 655 987 588

Get Updates

Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.

Share This Post

Related posts

0 comments:

Like, share and send to friends