Huu ni ujumbe niliokutana nao leo katika mtandao wa kijamii wa facebook ambao umevuta hisia za watu wengi hasa wale kutoka dini ya kikristo.
Ujumbe huo umeandikwa katika lugha ya kiingereza lakini katika maana ya kishwahili tunaweza sema mwandishi alimaanisha "Haijalishi rahisi atakuwa nani, lakini Yesu atabaki kuwa mfalme.

0 comments: