Breaking News

Watangaza nia kuwania kiti cha Ubunge kilichoachwa na Marehemu Deo Filikunjombe waendelea kuchukua fomu akiwemo mdogowake marehemu na Msanii Masanja Mkandamizaji

on Thursday, November 5, 2015 - No comments:

Masanja Mkandamizaji
MSANII maarufu na mwigizaji Emmanuel Mgaya maarufu kwa jina la (Masanja mkandamizaji) ameahidi kuvaa viatu vya Deo H. Filikunjombe kwa kuwaletea maendeleo wananchi wa jimbo la Ludewa na kusema ana uwezo mkubwa na kasi kama ya marehemu Filikunjombe ambaye alikuwa rafiki yake.
Ameyasema hayo alipokuja kuchukua fomu ya kugombea kupata ridhaa ya Chama cha Mapinduzi,jumla ya watu tisa akiwemo mdogo wa marehemu Fillipo Filikunjombe ambaye ni mwanasheria wa TCRA wamechukua fomu ili kuweza kuomba ridhaa. Wengine waliochukua fomu ni pamoja na James Mgaya, DEo Ngalawa, Simoni Ngatunga, Eng. Chaula, Mstaafu Mpangala na Johnson Mgimba.

Tagged as:
Unknown About Unknown

“You have no idea how much the last few days have meant to me," I began. "Meeting you has been the best thing that's ever happened to me.” Get the latest entertainment updates from Best Hope Media or call +255 655 987 588

Get Updates

Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.

Share This Post

0 comments:

Like, share and send to friends