SHULE BORA ISHIRINI (20) ZILIZOFANYA VIZURI KATIKA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE MWAKA 2012

on Tuesday, February 19, 2013 - No comments:

Ubora wa ufaulu wa shule umepangwa kwa kutumia kigezo cha “Grade Point Average” (GPA) kuanzia A = 1 hadi F = 5.  Shule zenye watahiniwa 40 na zaidi ziko 3,391. Shule ya kwanza hadi ya ishirini zimeainishwa kwenye Jedwali lifuatalo :

NAFASIJINA LA SHULEIDADI YA WATAHINIWAMKOA
1ST. FRANCIS GIRLS90MBEYA
2MARIAN BOYS S.S75PWANI
3FEZA BOYS S.S69DAR ES SALAAM
4MARIAN GIRLS S.S88PWANI
5ROSMINI  S S78TANGA
6CANOSSA S.S66DAR ES SALAAM
7JUDE MOSHONO S S51ARUSHA
8ST. MARY’S MAZINDE JUU83TANGA
9ANWARITE GIRLS S S49KILIMANJARO
10KIFUNGILO GIRLS S S86TANGA
11FEZA GIRLS49DAR ES SALAAM
12KANDOTO SAYANSI GIRLS SS124KILIMANJARO
13DON BOSCO SEMINARY SS43IRINGA
14ST.JOSEPH MILLENIUM133DAR ES SALAAM
15ST.JOSEPH’S ITERAMBOGO SS64KIGOMA
16ST.JAMES SEMINARY SS44KILIMANJARO
17MZUMBE SS104MOROGORO
18KIBAHA SS108PWANI
19NYEGEZI SEMINARY SS68MWANZA
20TENGERU BOYS SS76ARUSHA

Tagged as:
Unknown About Unknown

“You have no idea how much the last few days have meant to me," I began. "Meeting you has been the best thing that's ever happened to me.” Get the latest entertainment updates from Best Hope Media or call +255 655 987 588

Get Updates

Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.

Share This Post

Related posts

0 comments:

Like, share and send to friends