WEZESHA WASANII WA NYUMBANI KUINUA KIPATO CHAO,

on Wednesday, August 14, 2013 - No comments:

Inakadiriwa katika ulimwengu kuna watu wanaoongea kiswahili wasiopungua milioni 130. Endapo kati yao  asilimia moja tu (1%) watanunua filamu ya Bongo (Bongo Movie) itapatikana pesa ya Kitanzania shilingi bilioni 6.5 (Tsh 6.5 billion). Na katika hiyo pesa asilimia ishirini tu (20%)akipewa msanii basi atapata kiasi cha sh bilioni 1.3 (Tsh 1.3 billion). 
Je ndugu zangu watanzania tusingekuwa na wasanii matajiri na wenye majina makubwa kama akina Smith au Angelina Jolie? 
Tafakari chukua hatua kwa kununua nakala halisi ya muvi kutoka Tanzania ili kukuza kipato cha wasanii wetu, waweze kuiwakilisha na kuitambulisha vyema Tanzania katika tasnia ya filamu na si filamu tu hata katika muziki kutoka nyumbani.

Re-written by: Tumsifu Kaoza

Tagged as:
Unknown About Unknown

“You have no idea how much the last few days have meant to me," I began. "Meeting you has been the best thing that's ever happened to me.” Get the latest entertainment updates from Best Hope Media or call +255 655 987 588

Get Updates

Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.

Share This Post

Related posts

0 comments:

Like, share and send to friends