WAMOJA ICT CONSULTING LIMITED KUSHIRIKI KATIKA KIPINDI CHA MAISHA NA TEKNOHAMA

on Thursday, October 17, 2013 - No comments:


Maofisa wa WAMOJA ICT Consulting Limited



Mtangazaji Maduhu na WAMOJA ICT Consulting Limited


Kampuni ya WAMOJA ICT Consulting Limited ya jijini Dar es salaam inayojihusisha na utoaji wa mafunzo ya teknohama nchini Tanzania imekubali kushirikiana na kipindi cha Maisha na Teknohama cha Morning Star Radio kinachosikika kila jumapili saa 3:00- saa 4:00 asubuhi kwa saa za Afrika Mashariki kushiriki katika kipindi hicho kila jumapili ya tatu ya kila mwezi.

Wakizungumza na mtangazaji wa kipindi cha Maisha na Teknohama, Mtangazaji Maduhu katika ofisi za kampuni hiyo zilizopo Mwenge,maofisa wa kampuni hiyo inayoundwa vijana wa kitanzania wakishirikiana na kijana toka Korea wamesema hiyo itakuwa fursa nyingine kwa wasikilizaji wa kipindi hicho kupata maarifa kuhusu teknohama.

Source: maishanateknohama

Unknown About Unknown

“You have no idea how much the last few days have meant to me," I began. "Meeting you has been the best thing that's ever happened to me.” Get the latest entertainment updates from Best Hope Media or call +255 655 987 588

Get Updates

Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.

Share This Post

Related posts

0 comments:

Like, share and send to friends