SHULE KUMI BORA ZILIZONGOZA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE NECTA RESULTS 2013 (TOP TEN BEST SCHOOLS 2013) NA TOP TEN STUDENTS NECTA RESULTS 2013

on Friday, February 21, 2014 - No comments:

Mradi wa shule za kata aisee umefeli hamna ata shule moja kata ambayo ipo kwenye hii orodha ya vinara bora katika matokeo haya. Tutafakari haya kwa kina,
  • Je kubadili madaraja kumesaidia lolote katika kupandisha ubora wa elimu Tanzania?
  • Je kuna mafanikio yoyote katika mradi huo wa shule za kata?
  • Je mwakani matokeo yatabadilika kutokana na Big Results Now (BRN)?
  • Ni kipi kifanyike ili kuinua matokeo ya kidato cha nne?
Hizi ndio shule 10 bora matokeo kidato cha nne 2013:
  1. St.Francis Girls (Mbeya)
  2. Marian Boys (Pwani)
  3. Feza Girls (Dar-es-salaam)
  4. Precious Blood (Arusha)
  5. Canossa (Dar-es-salaam)
  6. Marian Girls (Pwani)
  7. Anwarite Girls (Kilimanjaro)
  8. Abbey (Mtwara)
  9. Rosmini (Tanga)
  10. DonBosco Seminary (Iringa)
Hawa ndio wanafunzi 10 bora matokeo kidato cha nne 2013:
  1. Robina S Nicholaus (Marian Girls - Pwani)
  2. Magreth Kakoko (St. Francis Girls - Mbeya)
  3. Joyceline Leonard Marealle (Canossa - Dar-es-salaam)
  4. Sarafina W. Mariki (Marian Girls - Pwani)
  5. Abby T Sembuche (Marian Girls - Pwani)
  6. Sunday Mrutu (Anne Marie - Dar-es-salaam)
  7. Nelson Rugola Anthony (Kaizirege - Kagera)
  8. Emmanuel Mihuba Gregory (Kaizirege - Kagera)
  9. Janeth Urassa (Marian Girls - Pwani)
  10. Angel Ngulumbi (St. Francis Girls - Mbeya)

Tagged as:
Unknown About Unknown

“You have no idea how much the last few days have meant to me," I began. "Meeting you has been the best thing that's ever happened to me.” Get the latest entertainment updates from Best Hope Media or call +255 655 987 588

Get Updates

Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.

Share This Post

Related posts

0 comments:

Like, share and send to friends