Mradi wa shule za kata aisee umefeli hamna ata shule moja kata ambayo ipo kwenye hii orodha ya vinara bora katika matokeo haya. Tutafakari haya kwa kina,
- Je kubadili madaraja kumesaidia lolote katika kupandisha ubora wa elimu Tanzania?
- Je kuna mafanikio yoyote katika mradi huo wa shule za kata?
- Je mwakani matokeo yatabadilika kutokana na Big Results Now (BRN)?
- Ni kipi kifanyike ili kuinua matokeo ya kidato cha nne?
Hizi ndio shule 10 bora matokeo kidato cha nne 2013:
- St.Francis Girls (Mbeya)
- Marian Boys (Pwani)
- Feza Girls (Dar-es-salaam)
- Precious Blood (Arusha)
- Canossa (Dar-es-salaam)
- Marian Girls (Pwani)
- Anwarite Girls (Kilimanjaro)
- Abbey (Mtwara)
- Rosmini (Tanga)
- DonBosco Seminary (Iringa)
- Robina S Nicholaus (Marian Girls - Pwani)
- Magreth Kakoko (St. Francis Girls - Mbeya)
- Joyceline Leonard Marealle (Canossa - Dar-es-salaam)
- Sarafina W. Mariki (Marian Girls - Pwani)
- Abby T Sembuche (Marian Girls - Pwani)
- Sunday Mrutu (Anne Marie - Dar-es-salaam)
- Nelson Rugola Anthony (Kaizirege - Kagera)
- Emmanuel Mihuba Gregory (Kaizirege - Kagera)
- Janeth Urassa (Marian Girls - Pwani)
- Angel Ngulumbi (St. Francis Girls - Mbeya)
0 comments: