CHELSEA YAIVURUGA LIVERPOOL MABAO 2 KWA NUNGE NA KUWAFANYA KUWA WAPILI KUTOKA KILELENI KATIKA LIGI YA UINGEREZA KWA POINTI 78

on Sunday, April 27, 2014 - No comments:


Baada ya kujishindia mechi hiyo kwa kishindo, Chelsea wako wapili kutoka kileleni kwa kujikusanyia pointi 78 ikitanguliwa na Liverpool ikiwa na pointi 80 na kuwafanya kuwa vinara katika ligi hiyo. Mabao ya Chelsea yametiwa nyavuni na mshambuliaji machachari kabisa Demba Ba and Willian. Manchester City ipo katika nafasi ya 3 ikiwa na pointi 74, huku Arsenal wakiendelea kuwa katika nafasi ya 4 wakiwa na pointi 70 kibindoni. Everton katika nafasi ya 5 wakiwa na pointi 69 mkononi.

Tagged as:
Unknown About Unknown

“You have no idea how much the last few days have meant to me," I began. "Meeting you has been the best thing that's ever happened to me.” Get the latest entertainment updates from Best Hope Media or call +255 655 987 588

Get Updates

Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.

Share This Post

Related posts

0 comments:

Like, share and send to friends