AFARIKI NDANI YA SANDUKU AKISAFIRISHWA

on Tuesday, August 4, 2015 - No comments:

 
Mtu ndani ya sanduku
Maafisa wa polisi nchini Uhispania wamemkamata raia mmoja wa Morroco baada ya nduguye ambaye alikuwa anasafrishwa hadi nchini Uhispania ndani ya sanduku kukosa hewa na nusra afariki.
Watu hao walikuwa wakiabiri feri kutoka eneo la Uhispania la Melilla kaskazini mwa Afrika hadi katika mji wa Bandari wa Almeria kusini mwa Uhispania wakati mzee huyo alipogundua kwamba nduguye hapumui na kuwashauri wafanyikazi wa feri hiyo.
Licha ya kujaribu kumfufua mtu huyo alifariki.
Maafisa wa polisi wamemshtaki nduguye ambaye alikuwa akisafiri kwa kutumia pasipopti ya Ufaransa kwa mauaji ya kutokusudia.

Tagged as:
Unknown About Unknown

“You have no idea how much the last few days have meant to me," I began. "Meeting you has been the best thing that's ever happened to me.” Get the latest entertainment updates from Best Hope Media or call +255 655 987 588

Get Updates

Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.

Share This Post

Related posts

0 comments:

Like, share and send to friends