HAFLA YA MCHAPALO WA UZINDUZI WA INTANETI YA KASI YA TIGO 4G LTE JIJINI MWANZA YAFANA

on Thursday, March 17, 2016 - No comments:


Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe  Joseph Mkirikiti(katikati),Mbunge wa Nyamagana Stanslaus Mabula(kulia),Mbunge wa Ilemela Angelina Mabula(wa pili kuhoto),Mkuu wa Kitengo cha Biashara Olivier Prentout(kushoto) na  Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa Ali Maswanya(wa pili kulia)wakipiga ngoma ikiwa ni ishara ya  uzinduzi wa mtandao wa tigo wa 4G jijini Mwanza
Wageni waalikwa wa uzinduzi wa mtandao wa tigo wa 4G jijini Mwanza,wakibadilisha line zao ili wapate zinazoweza kuendana na kasi hiyo.

Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe  Joseph Mkirikiti(kulia),Mbunge wa Nyamagana Stanslaus Mabula(katikati) na Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa Ali Maswanya,wakifurahia jambo wakati wa uzinduzi wa mtandao wa tigo wa 4G jijini Mwanza.
Wageni waalikwa wa uzinduzi wa mtandao wa tigo wa 4G jijini Mwanza,wakinunua Modem  za 4G,ambapo ziliuzwa kwa punguzo la bei.

Tagged as:
Unknown About Unknown

“You have no idea how much the last few days have meant to me," I began. "Meeting you has been the best thing that's ever happened to me.” Get the latest entertainment updates from Best Hope Media or call +255 655 987 588

Get Updates

Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.

Share This Post

Related posts

0 comments:

Like, share and send to friends