Je, Utaku na kipi? Waza upya!

on Friday, May 13, 2016 - No comments:


Na, ankali Ulamaa.
Watu hufa na vingi, wengine hufa na aibu zao, wengine hufa na sifa zao kutegemea na yale waliyoyafanya kabla hawajafa. Sijui wewe unadhani kwamaisha unayoishi utakufaje. 

Najua unamengi kichwani kwako, una ndoto nyingi tena ndoto kubwa, sijui unamipango gani kuhakikisha ndoto hizo zinakuwa halisi na watu wanaokuzunguka na kuishi nawewe wanaziona ndoto zako. 

Haisaidii kitu kuziongea tu ndoto zako kwa kinywa pasipo watu kuziona, kesho ukifa watu watasahau maneno yako lakini wanaweza kuvikumbuka vile ulivyovifanya hususan kama vimeyagusa maisha yao. 

Jitahidi sana usife na ndoto zako bali ufe na kumbukumbu za yale uliyoyafanya. 

Die with memories not with dreams









Tagged as: ,
Unknown About Unknown

“You have no idea how much the last few days have meant to me," I began. "Meeting you has been the best thing that's ever happened to me.” Get the latest entertainment updates from Best Hope Media or call +255 655 987 588

Get Updates

Subscribe to our e-mail newsletter to receive updates.

Share This Post

Related posts

0 comments:

Like, share and send to friends